Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,361
- 21,680
- Thread starter
- #81
Acha tu mkuu ,nimesaga mkaa ,nakaa na majivu meuzi ndan hadi kuna siku rafiki yangu alijua najihusisha na ushirikina ..Duu, umeuzwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha tu mkuu ,nimesaga mkaa ,nakaa na majivu meuzi ndan hadi kuna siku rafiki yangu alijua najihusisha na ushirikina ..Duu, umeuzwa
Hapa kuna 2 issues : meno kuwa na ukoko kwa ndani, hii ndiyo inabidi uende kwa dentist waukwangue ule ukoko au utando (calcium deposits) na baadae unaambiwa utumie medicated tooth paste kama sensodine. Pili ni meno kuwa na rangi ya njano kwa nje, hii ndiyo umeambiwa dawa ni mkaa.Nenda ukasafishwe meno huwaga ni shi elfu 50 kama huna bima ya afya.
Ukitoka hapo meno yako utayapenda sana
Na pia acha kutumia dawa za meno ambazo hazieleweki pigia mswaki dawa ya SENSODINE utaona matokeo yatakavokuwa mazuri[emoji41]
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Umetumia au umeona tangazo tuu??tumia hiyoView attachment 1654851
Si umeambiwa ukaoshe meno hospital.Nimetumia mkaa wiki ya tano sasa ,sioni mabadiliko kabisa ...
Hhaahaaaaa Hela ya kusajili CB anayo pep mkuuSi umeambiwa ukaoshe meno hospital.
Au huna hela?,,hela ya kusajili mabeki kila msimu mnatoa wapi?..kidding.
Jina lako limenikumbusha maisha shule ya Msingi! kuree Tarime ! Mwenyekiti wa kijiji Marwa chomete alikaribishwa shuleni kuongelea nidhamu ya wanafunzi, Mwanae alikuwa mkorofi akichelewa anarukia dirishani huyoo! drsani! alisema, namnukuu!!Nenda magomeni hospital magomeni kanisani pale ukifika hapo ulizia doctor kobelo kisha muone uyo mwambie unataka kusafisha meno ni dentint mzuri sana ndie alie nisafisha mimi meno yangu na kunishauri kwamba watu wote tunatakiwa kufanya hivyo kwa mwaka mara 1 nilikua siwez kusmile kwa kujiamini sahivi meno yangu yako poa nayapenda masafii naweza hata kupewa tangazo la whitedent[emoji16]
Chukua KITUNGUU SWAUMU kitafune kisha chukua mswaki sugula meno na Kisha sukutuaHabari wakuu.
Naweza pata wapi dawa ya kung'alisha meno tofuati na hizi Colgate na dawa nyingine.
Kama kuna dawa nzuri.
Msaada tafadhali
Ha ha haNimetumia mkaa wiki ya tano sasa ,sioni mabadiliko kabisa ...
Sh ngap kusafisha menoNenda magomeni hospital magomeni kanisani pale ukifika hapo ulizia doctor kobelo kisha muone uyo mwambie unataka kusafisha meno ni dentint mzuri sana ndie alie nisafisha mimi meno yangu na kunishauri kwamba watu wote tunatakiwa kufanya hivyo kwa mwaka mara 1 nilikua siwez kusmile kwa kujiamini sahivi meno yangu yako poa nayapenda masafii naweza hata kupewa tangazo la whitedent[emoji16]
Mkaa sio mzuri kwa menoMkaa uasage asubuhii. Then sugulia meno ukichanganya na dawa kidogo inakuwa fresh.
Ukimaliza kusugulia mkuu then unamalizia na dawa ya kawaida ya meno.
Kila la heri.
Walishamsoma huyo ukute hata risit mm nilienda safisha fizi na bima ninayo nikiwa room wakaniambia eti bima haiwez fiz moja kusafisha 40000 nikiwaambia kwaio tunalipia kule reception wakaniambia hpn unalipia hapa hapa nikawaambia basi nasepq hela sina wakaniambia basi kaa tutakusaidia tu wakanosafisha nikasepaElite Dental clinic ni laki tisa arobaini nikawaambia isiwe tabu
NaMBa Zake za simu . Gharama ilikuwa tsh ngapi?Nenda magomeni hospital magomeni kanisani pale ukifika hapo ulizia doctor kobelo kisha muone uyo mwambie unataka kusafisha meno ni dentint mzuri sana ndie alie nisafisha mimi meno yangu na kunishauri kwamba watu wote tunatakiwa kufanya hivyo kwa mwaka mara 1 nilikua siwez kusmile kwa kujiamini sahivi meno yangu yako poa nayapenda masafii naweza hata kupewa tangazo la whitedent[emoji16]
Hospital gani wanafanya kwa elf 50 kusafisha meno? Tafadhali nijuzeNenda ukasafishwe meno huwaga ni shi elfu 50 kama huna bima ya afya.
Ukitoka hapo meno yako utayapenda sana
Na pia acha kutumia dawa za meno ambazo hazieleweki pigia mswaki dawa ya SENSODINE utaona matokeo yatakavokuwa mazuri[emoji41]
Inaitwaje na inapatikana wapi?tumia hiyoView attachment 1654851
Anasafisha kwa bei gani?Nenda magomeni hospital magomeni kanisani pale ukifika hapo ulizia doctor kobelo kisha muone uyo mwambie unataka kusafisha meno ni dentint mzuri sana ndie alie nisafisha mimi meno yangu na kunishauri kwamba watu wote tunatakiwa kufanya hivyo kwa mwaka mara 1 nilikua siwez kusmile kwa kujiamini sahivi meno yangu yako poa nayapenda masafii naweza hata kupewa tangazo la whitedent[emoji16]
Gombeyehealthcare, piga simu namba 0678211747. Utafikishiwa hudama popote paleHabari wakuu.
Naweza pata wapi dawa ya kung'alisha meno tofuati na hizi Colgate na dawa nyingine.
Kama kuna dawa nzuri.
Msaada tafadhali.