MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
Huko mnakoelekea mtakuja kuuliza dawa za kuongeza makalio na mahips
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijafika bugando lkn wana hiyo idaraBugando hicho kitengo kipo?
Kwanini nisilimanye ariff?!Pini la kibingwa sana ilo..ila sidhani kama Fetty wap yupo!!Kuna August AlsinaKafanye teeth whitening bwana mdogo ukija town darisalade mamanzi watakuwa wanakushangaa tu na hizo gold slugs zako
Gold Slugs(Dj Khaled ft Chris Brown,Fetty Wap) unalijua hili pini?
Hii dawa ya meno inauzwa shilingi ngapi!!tumia hiyoView attachment 1654851
Mmh!! 🙄Unaweza chukua kipande cha mkaa ukasugua meno, au unasaga ule unga unatumia pamoja na mswaki kusugua meno. Fanya hivyo mara kwa mara
Wap hapoNenda ukasafishwe meno huwaga ni shi elfu 50 kama huna bima ya afya.
Ukitoka hapo meno yako utayapenda sana
Na pia acha kutumia dawa za meno ambazo hazieleweki pigia mswaki dawa ya SENSODINE utaona matokeo yatakavokuwa mazuri[emoji41]
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Ndo hivyoMmh!! 🙄
Sawa, kumbe na wazungu wamo jfNdo hivyo
Nunua dawa ya sensodyn inaondoa hyo HaliMi ninatatizo la ganzi kwenye meno,nimeshahangaika sana bila ufumbuzi.hapa nina miaka nanasi nakunywa juice tu, lakini siwezi kutafuna,kachumbari ndio siigusi kabisa.
Jf international babySawa, kumbe na wazungu wamo jf
Unaweza chukua kipande cha mkaa ukasugua meno, au unasaga ule unga unatumia pamoja na mswaki kusugua meno. Fanya hivyo mara kwa mara
Duu, umeuzwaNimetumia mkaa wiki ya tano sasa ,sioni mabadiliko kabisa ...
Nguvu zote ,unataka ning'oe meno kabisa mkuuuPiga mswaki kwa nguvu zote
Hakika utakuja kunishukuru