Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,361
- 21,680
Umeniwahi.. [emoji4]Jaribu mkaa
Mkaa inakuaje MkuuJaribu mkaa
Naomba kujua mkaa unaweza vipi kung'alisha menoUmeniwahi.. [emoji4]
Unaweza chukua kipande cha mkaa ukasugua meno, au unasaga ule unga unatumia pamoja na mswaki kusugua meno. Fanya hivyo mara kwa maraNaomba kujua mkaa unaweza vip kung'alisha meno
Nenda ukasafishwe meno huwaga ni shi elfu 50 kama huna bima ya afya.Habari wakuu.
Naweza pata wapi dawa ya kung'alisha meno tofuati na hizi Colgate na dawa nyingine.
Kama kuna dawa nzuri.
Msaada tafadhali
Mimi huwa napigia SENSODINE halafu naenda zangu live band!🙂🙂🙂Nenda ukasafishwe meno huwaga ni shi elfu 50 kama huna bima ya afya.
Ukitoka hapo meno yako utayapenda sana
Na pia acha kutumia dawa za meno ambazo hazieleweki pigia mswaki dawa ya SENSODINE utaona matokeo yatakavokuwa mazuri[emoji41]
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
jaribu hiiHabari wakuu.
Naweza pata wapi dawa ya kung'alisha meno tofuati na hizi Colgate na dawa nyingine.
Kama kuna dawa nzuri.
Msaada tafadhali
tumia hiyoHabari wakuu.
Naweza pata wapi dawa ya kung'alisha meno tofuati na hizi Colgate na dawa nyingine.
Kama kuna dawa nzuri.
Msaada tafadhali
Nenda magomeni hospital magomeni kanisani pale ukifika hapo ulizia doctor kobelo kisha muone uyo mwambie unataka kusafisha meno ni dentint mzuri sana ndie alie nisafisha mimi meno yangu na kunishauri kwamba watu wote tunatakiwa kufanya hivyo kwa mwaka mara 1 nilikua siwez kusmile kwa kujiamini sahivi meno yangu yako poa nayapenda masafii naweza hata kupewa tangazo la whitedent[emoji16]Inapatikana wapi hii huduma ya kusafishwa?
Nenda magomeni hospital magomeni kanisani pale ukifika hapo ulizia doctor kobelo kisha muone uyo mwambie unataka kusafisha meno ni dentint mzuri sana ndie alie nisafisha mimi meno yangu na kunishauri kwamba watu wote tunatakiwa kufanya hivyo kwa mwaka mara 1 nilikua siwez kusmile kwa kujiamini sahivi meno yangu yako poa nayapenda masafii naweza hata kupewa tangazo la whitedent[emoji16]
Ata mmNimekupenda bure mwaya.
Jaribu mkaa
NdioMmmhhh!!!_ mkaa jaman
Nenda magomeni hospital magomeni kanisani pale ukifika hapo ulizia doctor kobelo kisha muone uyo mwambie unataka kusafisha meno ni dentint mzuri sana ndie alie nisafisha mimi meno yangu na kunishauri kwamba watu wote tunatakiwa kufanya hivyo kwa mwaka mara 1 nilikua siwez kusmile kwa kujiamini sahivi meno yangu yako poa nayapenda masafii naweza hata kupewa tangazo la whitedent[emoji16]
Hapa uko sahihi.Unaweza chukua kipande cha mkaa ukasugua meno, au unasaga ule unga unatumia pamoja na mswaki kusugua meno. Fanya hivyo mara kwa mara