The Legacy
JF-Expert Member
- Jun 1, 2022
- 5,879
- 11,318
Yeah! Sio kiviile ila nikikutana nae nampa hi alafu napita hivi mm sipendi ujinga.Inaonesha mpo mbali mbali
Mbinu nzur sana hiiManeno yote ya nini unaeza usimjibu hata moja...unafanya kudelete kila kitu chake unatulia afu huoneshi kinyongo, hautii huruma, yaani unakaza ile nothing has happened atafurahia show
Yaani wewe ni kama mm kabisa na hii ndio fomula nzuri kwenye maisha hasa sehemu ya mahusiano. Mi huwa nikiingia kwenye mahusiano may be nikimchepuko kikianza kuzingua tu napiga chini na sihangaiki nae.Hpn mkuu nina mke 1 na mtoto mmoja ila amini nakwambia ktk maisha yng sijawahi kuteseka na mapenz.
Kwa sabab sijawahi kuwatilia maanani sana wanawake
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti nachapa rapa mapema tuHii nimeishika tangu utoto wangu na imeshanisaidia sana kuepuka matatizo yasiyo ya lazima.
Maana kiukweli mwanamke akishakukinai ni lazima atakupiga chini tu, hata ufanye nini! Na mimi nimejifunza siku hizi nikishaona dalili tu za kukinaiwa namuwahi, nachapa lapa kwa spidi kali sana..! Ikitokea akaniwahi yeye basi nakua mpole sitaki mambo mengi
Kwahiyo baada ya hapo makande yakawa hayashuki, ukila unahisi unakula mawe π"Nlijaribugi huo mchezo kipindi tupo sculi yule binti hakufanya utani alimwandikia barua best yangu anampenda na alihakikisha naiona" aliskika mlevi moja
Yeah ivo ndo inavyotakiwa kwa mwanaume.Yaani wewe ni kama mm kabisa na hii ndio fomula nzuri kwenye maisha hasa sehemu ya mahusiano. Mi huwa nikiingia kwenye mahusiano may be nikimchepuko kikianza kuzingua tu napiga chini na sihangaiki nae.
ππππhisia za mapenzi kwa kiasi kikubwa hubebwa na nyege!,ukiwa na nyege kali hautaacha kumuwaza unaempenda sasa kazitoe utamsahau yani kikubwa hakikisha haukai na upwiru usikaenao...!
Afu dada To yeye hivi uliletaga feedback yako?Mapenzi yana nguvu mapenz hayajaribiwi mkuu
Jichanganye sasa ili ukasimulie wenzako, uwe shahidi wa hayo mambo.Hayo mambo hayapo bali ni utapeli tu kwa watu wenye fikra fupi
Mambo hayo huwaga ni utapeli tu......Jichanganye sasa ili ukasimulie wenzako, uwe shahidi wa hayo mambo.
sasa umeandika nini?Habari za sikukuu ya pasaka natumai wote ni wazima waungwana, niende Moja Kwa moja kwenye mada ni kwamba hapa kazini Kuna dada mmoja tulitokea kupendana sana Sasa juzi tukapishana kauli nikatikisa kiberiti mwenzangu kamwaga njiti kabisa.
Nilikuwa nampima tu kwamba tuachane akakubali Sasa nimeweka ngumu lakini naona kabisa nashindwa kibaya Kila saa namuona anavyo chat na majamaa wengine Wanacheka nini.
Kwakweli nje navumilia lakini nachomeka mwenye mbinu yeyote anipe jamani ya kumpotezea unaye mpenda halafu mpo karibu, ushauri pia kukosolewa naruhusu karibuni sana.
View attachment 2950288
Kila mtu na imani yake kaka, kama hujaona utaamini vipi sasa..?Mambo hayo huwaga ni utapeli tu......
Na tena kama mko karibu unamsalimia kwa furaha na amani kama yote ila ndo ivo hauna time nayeMbinu nzur sana hii