Wakuu nimeachwa mwenzenu

Wakuu nimeachwa mwenzenu

Huyu ndugu yetu anasuka Bomu...mtu ana behave hivi kabla ya ndoa akiolewa je?...Sabab yenyewe eti binti hapendi jamaa aqoute au kutaniana na wanawake wa humu...Yaani a socialise na wanaume tu... Wakiingia kwenye ndoa anaweza akamzuia kuongea na wanawake kabisa au asiwe na namba ya ke yoyote hata marafiki aliosoma nao...Mimi naona kaepushwa balaa ila yeye anaona mkosi...Haya Na amfuate huko aliko ambembeleze waingie ndoani.
Bibie ana wivu uliopitiliza na kilichochangia ile kuanzisha humu mahusiano inategemea walianza vipi mahusiano yao kama walianza kutaniana kisha wakaingia kwenye love nadhani bibie akiona jamaa anataniana na mwingine nafsi haiamini kama ni matani ama kweli.
 
Bibie ana wivu uliopitiliza na kilichochangia ile kuanzisha humu mahusiano inategemea walianza vipi mahusiano yao kama walianza kutaniana kisha wakaingia kwenye love nadhani bibie akiona jamaa anataniana na mwingine nafsi haiamini kama ni matani ama kweli.
Kweli mkuu...halafu jamaa ndo hivyo akubali kutotaniana na wanawake tena...akiingia jf aqoute wanaume tu.
 
Yeye anatakiwa ajiulize ubaya wa humu ukiwa kwenye mahusiano lazima ukubali kuacha baadhi ya tabia kutaniana na mengineyo naona huyu mtoa mada alishindwa hili
Kweli...kupunguza mazoea kiasi fulani na upande mwingine ni muhimu.
 
Kwanza kabisa kabla ya kukupa pole na kukusaidia kimawazo.
HUYO MWANAMKE ULIMPATIA WAP!!? HUMU JAMII FORUM AU!!🤔🤔
 
Huwa nasema kwamba,Mapenzi ni kama siasa,Unamkumbuka Lowasa alivyoama? Na wanasiasa wwngine?

Alafu Haya mambo haya, ni bora ukawa unapenda kwa timing( upo kama vile haupo wanaita Don't care hivi,huku ukijiamini tu,ukisema upende mazima,au uzame sana basii utapata tabu kama mda huu hivi unavyoonekana.
Exactly mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
I rather die than to live without this womna.
Sikutegemea kua mimi ipo siku nitalia kisa mapenzi
I don't deserve this

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha ujinga ww unatuaibisha wanaume wenzio ww, au ni mgen wa mapenzi? Unalia liaaa watu tunapgwa vibuti kila kukicha mpk tumesha komaa nasisi tukaanza kupga vibuti unafkr mchezo? Usimwamin mtu yeyote hata kama anakupenda vp.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu Kama nyie mm nikikutana nao ni makofi na kiboko tu,unakujahuku Lilia Lia Kama mwanamke kwani ulizaliwa nae ,,alafu kijana ww sidhani Kama unazaidi ya miaka 25 ww ,,tafuta hela au Kama unasoma Soma kwanza then tafuta hela ,acha uchuro hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa mkuu yaan mm limenishangaza linavyo lia lia kisa mapenz, mapenz yalkuw zaman.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
I rather die than to live without this womna.
Sikutegemea kua mimi ipo siku nitalia kisa mapenzi
I don't deserve this

Sent using Jamii Forums mobile app
acha hizi kauli mkuu..! ana nini ambacho kinaweza gharimu maisha yako..! mpotezee..na tu kwasasa japo umechelewa..! ulipaswa umzingue mapema pndi ulipogundua kna mabadiliko kwa huyo mpenzi wako..ndo hua tunafanya hvyo..yaan kumpga chini mapema ukishagundua kna dalili mbaya..huyo sio wako tena..vingnevyo utapata tabu sana
 
Back
Top Bottom