Umemaliza... Kazi imebaki kwake kuamuaSiyo jambo jipya kutokea hivyo kwenye akaunti za watu. Kisheria hizo pesa siyo zako na unapaswa kuripoti benki (kwa meneja wa benki). Hata hivyo unaweza ukakaa kimya kana kwamba hujui kilichotokea na wala usichukue ili uone kitakachoendelea. Kuna watu kadhaa waliwahi kuingiziwa pesa nyingi zaidi ya hizo kwenye akaunti zao na watu wasiojulikana. Baada miezi kadhaa walisakwa na kukamatwa. Sasa jamaa yangu ambaye aliingiziwa milioni zaidi ya mia nane hukuambukizwa kwa kuwa alikwisharipoti kwa meneja na hakuzichukua hadi wakati huo.
Eeh kwani yeye kaitafuta si kawekewa tu,Rafiki yaani ule pesa ya mwanaume halafu upige nae picha basi?!
alipewa kiasi gani Reward?au aliambulia Asante TuSiyo jambo jipya kutokea hivyo kwenye akaunti za watu. Kisheria hizo pesa siyo zako na unapaswa kuripoti benki (kwa meneja wa benki). Hata hivyo unaweza ukakaa kimya kana kwamba hujui kilichotokea na wala usichukue ili uone kitakachoendelea. Kuna watu kadhaa waliwahi kuingiziwa pesa nyingi zaidi ya hizo kwenye akaunti zao na watu wasiojulikana. Baada miezi kadhaa walisakwa na kukamatwa. Sasa jamaa yangu ambaye aliingiziwa milioni zaidi ya mia nane hukuambukizwa kwa kuwa alikwisharipoti kwa meneja na hakuzichukua hadi wakati huo.
Mkuu ushahidi niutoe hapa wakati watu wa Benki wamo humu humu
Alkasusu hii mwez mtukuf
Pesa za vitabuni au kwenye system hazipoteagi hata siku moja.Ukizigusa tuu you are inn for it.
It is either uziguse upambane kesi zake au uchague kutolea taarifa ujitoe
Unatuonaje mkuuNaomba ushauri tu, leo nimekuta Mil 300 zimo kwenye account yangu ya Benki - Sijui zilikotoka sasa naomba ushauri kwenu je
1. Ni report bank yangu kwamba kuna mzigo sijui ulikotoka
2. Nikae kimya kwanza kusikilizia
3. Nianze kuzitumbua
4. Nizihamishe fasta kwenye acc nyingine
5. Nizitoe zote nikae nazo home, sababu wanaweza ku-trace kama nikiweka kwenye acc yangu nyingine?
........
wazoefu naombeni ushauri wenu - nimedata hata kazi nashindwa kufanya - Jina la Benki naliweka kapuni kwa sasa.
Acha kumtisha mwenzako... kiingiacho kwa mtu chakeKama ni kweli na hukua usingizini kwamba unaota basi elewa kua hilo ni jambo la kawaida sana kutokea Bank. Kama usemavyo ni kweli basi ujue sio tu kwamba pesa hizo sio zako bali ni za moto. Utakapo zigusa kama ulivyosema mwenyewe kwa kuzitoa au kuzihamisha, kosa la UTAKATISHAJI linakuhusu
Ila ni suala ala muda mfupi tu kwenye ripoti za siku iwe Bank yako au huko zilipotoka watajua na watazirudisha zinapostahili. Ushauri wangu zitolee taarifa hapo tawini kwako au tawi la karibu la Bank yako ingawa naelewa Bank hawatakupa hata buku zaidi ya kukushukuru na kukuona muaminifu
Kwamba utazitoa uzitumie sio ha ha haMimi Bora nikamalizane nao mahakamani
hiyo ndoto usipoangalia utakojoa kitandani. amkaNaomba ushauri tu, leo nimekuta Mil 300 zimo kwenye account yangu ya Benki - Sijui zilikotoka sasa naomba ushauri kwenu je
1. Ni report bank yangu kwamba kuna mzigo sijui ulikotoka
2. Nikae kimya kwanza kusikilizia
3. Nianze kuzitumbua
4. Nizihamishe fasta kwenye acc nyingine
5. Nizitoe zote nikae nazo home, sababu wanaweza ku-trace kama nikiweka kwenye acc yangu nyingine?
........
wazoefu naombeni ushauri wenu - nimedata hata kazi nashindwa kufanya - Jina la Benki naliweka kapuni kwa sasa.
Hebu acheni utani kwenye jambo serious jamani !!hiyo ndoto usipoangalia utakojoa kitandani. amka
Njoo inbox nikupe ujanja acha kupoteza muda hapaHebu acheni utani kwenye jambo serious jamani !!
Unadataje na hela ndogo kama hiyo?(kwa mujibu wako hapo juu ni hela ndogo sana).ndo nakwambia hapa nimedata!!
Wataarifu bank yako hiyo.Yes, kuna mdau pia kanitonya hivyo kwamba ikifika mwisho wa siku leo wanaweza kuzitoa - ndiyo maana nataka nikazitoe kabla ya siku kuisha... Kuna mdau kasema kwamba nijilipue - kufa ni mbele kwa mbele ila nasita -sita roho inagoma.
Kwamba utazitoa uzitumie sio ha ha ha
Huwezi toa fedha bank zaidi ya million moja kwa ATM au Mobile money....labda uingie ndani benki...na ukiingia benk kama ndo magumashi unakamatwa...kajisalimishe tuYes, kuna mdau pia kanitonya hivyo kwamba ikifika mwisho wa siku leo wanaweza kuzitoa - ndiyo maana nataka nikazitoe kabla ya siku kuisha... Kuna mdau kasema kwamba nijilipue - kufa ni mbele kwa mbele ila nasita -sita roho inagoma.
Achana na huu ushauri wa kibwege huu. Wewe hujaenda kuiba,zimekufuata. Ukienda polisi utapigiwa vibao,na nauli ya kurudia home. Huku wenyewe wakicheck namna ya kuichomoaNenda karipot polisi kisha benki ili uondokane na kadhia itakayokupata baadae... Raha ya pesa utafute zako za halal