Wakuu, nimekuta mil 300 kwenye Bank account yangu - sizijui!

Umemaliza... Kazi imebaki kwake kuamua
 
alipewa kiasi gani Reward?au aliambulia Asante Tu
 
Kama huwezi kuzitumia kufugia kuku ili kukuza uchumi wa nchi na kutoa ajira basi " fugia ndevu"
 
Unatuonaje mkuu
 
Acha kumtisha mwenzako... kiingiacho kwa mtu chake

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
hiyo ndoto usipoangalia utakojoa kitandani. amka
 
Yes, kuna mdau pia kanitonya hivyo kwamba ikifika mwisho wa siku leo wanaweza kuzitoa - ndiyo maana nataka nikazitoe kabla ya siku kuisha... Kuna mdau kasema kwamba nijilipue - kufa ni mbele kwa mbele ila nasita -sita roho inagoma.
Wataarifu bank yako hiyo.
Uaminifu ni kitu kikubwa sana.
 
Inawezekana ni kweli. Maana mimi liliwahi kuokota pesa ndani ya bank, na niliweka uzi kabisa hapa. Ilikuwa hivi. Niliingia ndani ya moja bank crdb mkoani morogoro, nilipoingia tu pale chini nikaona pesa tsh 13000, na ndani kulikuwa na watu wengi tu. Hii inaonyesha kabisa kwamba waliziona ila waliogopa kuziokota. Mimi nikaziokota nikaweka kwwnye mfuko wa shati. Nikaenda kuandika slip maana nilienda kutoa pesa. Watu walibaki kuniangalia tu. Nilipodraw mzigo nikasepa zangu.

Japo jamaa anaweza akawa kavuta ganja lakini mistake hizi zinatokeaga sana
 
Yes, kuna mdau pia kanitonya hivyo kwamba ikifika mwisho wa siku leo wanaweza kuzitoa - ndiyo maana nataka nikazitoe kabla ya siku kuisha... Kuna mdau kasema kwamba nijilipue - kufa ni mbele kwa mbele ila nasita -sita roho inagoma.
Huwezi toa fedha bank zaidi ya million moja kwa ATM au Mobile money....labda uingie ndani benki...na ukiingia benk kama ndo magumashi unakamatwa...kajisalimishe tu
 
Nenda karipot polisi kisha benki ili uondokane na kadhia itakayokupata baadae... Raha ya pesa utafute zako za halal
Achana na huu ushauri wa kibwege huu. Wewe hujaenda kuiba,zimekufuata. Ukienda polisi utapigiwa vibao,na nauli ya kurudia home. Huku wenyewe wakicheck namna ya kuichomoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…