Habari hiyo ni ya upotoshaji. Hakuna jarida lolote linaloaminika au utafiti wa kisayansi unaothibitisha kwamba Wachina asili yao ni Afrika.Kuana jarida linatembea kwa kasi sana wachina wanasema wao asili yao ni Afrika na DNA inathibitisha hilo.
Kuna mdau alipost humu.
mmoja wao ni huyu "Shin Lim" si unaona hata hiyo IDHatare sana
Hadi rais wao naona sijui ni member humu au kuna mtu kaiba ID... XI JIN PING IImmoja wao ni huyu "Shin Lim" si unaona hata hiyo ID
Ukiwezaa kushika mapori sehemu nzuri kwa kilimo au uwekezaji biwanda na ma godown.....acre 50 kwenda mbele hukoooMkuu hapo tunajipanga nini zaidi ya kua wapole tu
Wanataka kurudi nchi yao ya ahadi?Kuana jarida linatembea kwa kasi sana wachina wanasema wao asili yao ni Afrika na DNA inathibitisha hilo.
Kuna mdau alipost humu.
Kabla june 2025.....Wanakuja lini?
wameanza kuteka mpaka social media za kibongo..kama jamaa alivotabiri 2050 watakua wengi..alafu vichina vinapenda sana dada zetu kwahiyo itakua balaa!Hadi rais wao naona sijui ni member humu au kuna mtu kaiba ID... XI JIN PING II
Wanakuja lini?
Nimesoma, uliwaona wapi wachina laki 3?Soma vizuri
Nimesoma hiyo link, haijasema hao wachina laki 3 wameonekana wapi? Au nani kasema kwamba wanakuja.., sasa kwako wewe, umewaona wapi wachina 300k?Soma post (link) no. 111
Kama mtu mweusi umechoka na umeacha kufikiri, umeazima weupe wafikiri kwa niaba yako kwanini wasifute kizazi chako ? Walianza kufuta majina ya asili, lugha za asili, utamaduni wa asili, vyakula vya asili na mwisho watakuja kukaaWakuu Salaam,
Leo asubuhi nikiwa jijini Dar es Salaam nimepanda gari (daladala) za kutoka Mbagala Charambe kwenda Mbezi Magufuli Bus Stand, ili nichukue Nyehunge ya Kurudi kwangu Nyamisati, na ndipo nikaona kitu cha kunishangaza kidogo, sio sana.
Nilijikuta ndani ya daladala tuliyopanda kwa kugombania na nikiwa nimeshikilia bomba ili nisianguke, huku tumebanana kama nyanya kwenye matenga, na konda akitulazimisha kupeana mgongo, basi jirani na mimi kwa mfumo huo huo wa kushikilia bomba, kulikua na wadada warembo sana, wawili wa kichina. Ni purely Chinese, ila kidogo wanaongea kiswahili. Kilichonishangaza ni namna hao wadada walivyojichanganya nasi kuanzia ndani ya aina hiyo ya usafiri, lugha yetu na hata mavazi walivaa vitenge vya kushona.
Tashtwiti yangu ipo hapo, hivi hamuoni kwamba kwa uwepo wa wachina wengi kiasi hiki Tanzania (Africa) haitasababisha bara letu kua koloni la wachina, kuanzia kisiasa, kiuchumi na kiutamaduni kwa miaka michache mbele? Zingatia, kuna thread ya mshana hapa alizungumzia ujio wa wachina 300k, pia zingatia wameanza kujichanganya mitaani na vijijini na kuzaana na wabongo...
Je hii sio strategic plan ya hawa jamaa kwa miongo kadhaa mbele wakaja sema bara la africa ndio asili yao?? Je hamuoni kwamba miaka 50+ mbele ukasikia (ukizaliwa upya) Rais wa Malawi ni Xui Cheng Ping au Rais wa Kenya ni Zhengo Dong Feng??? Mara Waziri Mkuu wa Tanganyika miaka hiyo akawa Bing Yen Zhong?
Wakuu hili mnaliona? Au tuachane nayo tu!!!
Upo sahihiTatizo waafrika tuna ubaguzi sana ila tunaowabagua wametushinda kila kitu hivyo tumebaki na unafiki
upo sawaWakuu Salaam,
Leo asubuhi nikiwa jijini Dar es Salaam nimepanda gari (daladala) za kutoka Mbagala Charambe kwenda Mbezi Magufuli Bus Stand, ili nichukue Nyehunge ya Kurudi kwangu Nyamisati, na ndipo nikaona kitu cha kunishangaza kidogo, sio sana.
Nilijikuta ndani ya daladala tuliyopanda kwa kugombania na nikiwa nimeshikilia bomba ili nisianguke, huku tumebanana kama nyanya kwenye matenga, na konda akitulazimisha kupeana mgongo, basi jirani na mimi kwa mfumo huo huo wa kushikilia bomba, kulikua na wadada warembo sana, wawili wa kichina. Ni purely Chinese, ila kidogo wanaongea kiswahili. Kilichonishangaza ni namna hao wadada walivyojichanganya nasi kuanzia ndani ya aina hiyo ya usafiri, lugha yetu na hata mavazi walivaa vitenge vya kushona.
Tashtwiti yangu ipo hapo, hivi hamuoni kwamba kwa uwepo wa wachina wengi kiasi hiki Tanzania (Africa) haitasababisha bara letu kua koloni la wachina, kuanzia kisiasa, kiuchumi na kiutamaduni kwa miaka michache mbele? Zingatia, kuna thread ya mshana hapa alizungumzia ujio wa wachina 300k, pia zingatia wameanza kujichanganya mitaani na vijijini na kuzaana na wabongo...
Je hii sio strategic plan ya hawa jamaa kwa miongo kadhaa mbele wakaja sema bara la africa ndio asili yao?? Je hamuoni kwamba miaka 50+ mbele ukasikia (ukizaliwa upya) Rais wa Malawi ni Xui Cheng Ping au Rais wa Kenya ni Zhengo Dong Feng??? Mara Waziri Mkuu wa Tanganyika miaka hiyo akawa Bing Yen Zhong?
Wakuu hili mnaliona? Au tuachane nayo tu!!!
Mafuta yatajitenga na maji mswahili ataendelea na ngoma zake na kuendekeza ngono zembe huku mchina akiendelea na kazi zake mwisho wa siku yataanza malalamiko ya wachina wana miliki uchumi wa Tanzania kama ilivyo tu kwa jamii za kiasia wakati wa Nyerere,Mwinyi.Acha waje wachanganyikane na waswahili labda wataachana na ngoma "shughuli" wajikite kwenye kazi na maendeleo.
Yaani watu wasiofika hata 1m watutishe watu 60m? Acha woga ndugu hata wangekuja 10m hawawezi kuihamisha tz na kuipeleka china bali baada ya miongo kadhaa watamezwa kama walivyomezwa wahindi na waarabuMkuu influx ya Watanzanja China au Ulaya haina Impact yoyote ukilinganisha na influx yao huku kwetu.