Hypersonic WMD
JF-Expert Member
- Apr 11, 2024
- 1,337
- 1,876
Sawa hivyohivyo.Watu wanaweza zan nazingua lakin kifupi nimechanganyikiwa sidhan kama n kweli
maana hamna ninae mdai
sifanyi kazi na sina mtu wa kuniwekea hii hela kama kweli ndio yenyewe
nimejalibu kutoa 15 imetoka
ni sh ngapKunywa maji moyo uelee kaka
Lipia tangazonimejalibu kutoa 15 imetoka
Jaribu kutoani sh ngap
UongoRudisha pesa ya watu ndugu. Achana na hao wanaokwambia utoe. Nina ndugu yangu alijichanganya, pesa imeingia badala ya kuuliza benki, yeye akaona ameokota embe dodo kwenye michongoma. Akaitoa na kutumia kwa raha zake. Alijuta
ina shida ganHiyo sms ya muamala haijakidhi vigezo
alijutaje kwamba wakushtak??Rudisha pesa ya watu ndugu. Achana na hao wanaokwambia utoe. Nina ndugu yangu alijichanganya, pesa imeingia badala ya kuuliza benki, yeye akaona ameokota embe dodo kwenye michongoma. Akaitoa na kutumia kwa raha zake. Alijuta
PoaUongo