LuisMkinga
JF-Expert Member
- Jan 10, 2012
- 3,255
- 6,252
Nabii Kuna muujiza huku [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]Tayar hukuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😄😂🤣Mkenya ameshachukua milioni zake 15 cheki anavyokimbia utadhani anapaa 😁
View attachment 2667437
WAKENYAA wanatuona matz malofaa sanaaaa...mara watuuzie odds fake mbwaaa hawaaaMkenya ameshachukua milioni zake 15 cheki anavyokimbia utadhani anapaa 😁
View attachment 2667437
Tafuta mganga umroge manége yake yahamie kichwaniHabari za muda huu, naomba msaada kwa anayejua namna ya kumpata mtu alienitapeli milioni karibia 15, mtandaoni, hyu bwana anasema anajishughulisha na uuzaji wa ream, tukakubaliana kua angetuma mzigo, nikamtumia hela na mzigo haujafika na wala hapokei tena simu wala kujibu sms.. kumbe alinitumia documents ambazo ni feki.. pls naombeni msaada wenu wana jf!
Pumbafff kabisaaHabari za muda huu, naomba msaada kwa anayejua namna ya kumpata mtu alienitapeli milioni karibia 15, mtandaoni, hyu bwana anasema anajishughulisha na uuzaji wa ream, tukakubaliana kua angetuma mzigo, nikamtumia hela na mzigo haujafika na wala hapokei tena simu wala kujibu sms.. kumbe alinitumia documents ambazo ni feki.. pls naombeni msaada wenu wana jf!
"Ni yake" ndoninNi yake ilikua ya Thailand mkuu na hela nimetumia western union kumtumia
Ukiwa mjinga usifanye mwenyewe biashara za kimataifa, tumia watu. Kuandika kwenyewe unaandika kama ngumbaro, ndiyo utaweza biashara za kimataifa?Sorry ni no nikimaanisha number
Ulitumia mtandao Gani?Habari za muda huu, naomba msaada kwa anayejua namna ya kumpata mtu alienitapeli milioni karibia 15, mtandaoni, hyu bwana anasema anajishughulisha na uuzaji wa ream, tukakubaliana kua angetuma mzigo, nikamtumia hela na mzigo haujafika na wala hapokei tena simu wala kujibu sms.. kumbe alinitumia documents ambazo ni feki.. pls naombeni msaada wenu wana jf!
Ile Nilikupiga simu Tapeli kakataTajiri mbona hupoke simu
Tajir Halooo Tajir Haloooo
Tajir kapigwa [emoji1787]
JF ina elimu nzuri sana na uzoefu wa kutosha wa namna ya kuwaepuka hao matapeli. Hata sisi watu wazima imetusaidia sana kuwaepuka matapeli.Ukitaka kufanya biashara za nje pata elimu kwanza
Ameshasema kabaki mweupe, sasa mtamtapeli nini tena kwenye huo ulozi?Pole sana .. Upo wapi ? ili usitumie gharama ya ziada . tumroge tu.. ukitaka mganga wa uhakika njoo PM
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ile Nilikupiga simu Tapeli kakata
Nikakutimbia Jukwaani msaada sijapata..
Twii...Twiii...Twiii..twi.Twiii
Tapeli