Wakuu nina wazo

Wakuu nina wazo

Una hamu ya kupigwa wewe 😀😀😀hautaki hata kuomboleza
🤣🤣🤣🤣 niomboleze kuachwa?? We kuweza?? Ameniacha huku bado ananipenda, tatizo mtoto wa mama anadeka sana..!!!
Ss hivi nataka wanaume wagumu ukizingua unapigwa ila huachwi 🤣🤣🤣🤣
 
Mmeshazoeana jinsia ke kuteteana hata kwenye jambo la kijinga ahsante totoadela sio mwanamke mshenz mshenz kama wewe
Mi unadhani hata mshenzy mshenzy basi kama unavyonichukulia Mimi nasimamimia ukweli tu,ambao hata ukimuacha huyo uliyenae ukaenda kwenye sample za Adela lazima tu utapigwa kizinga,LAZIMAAA,niamini Kuna siku utanikumbuka.....hapo wanazuga tu
 
Ndio maana nasema siku hizi mapenzi ni mchezo wa kuviziana.. anaewahi ndio mshindi. Ke anawahisha mahitaji ili achukue chake mapema, huku me nae anawahi kutaka gemu ili akishakula asepe..😄 Patamu hapoo na gemu haitaki hasira ukigundua umewahiwa unakua mpole unacheki ustaarabu sehem nyingine✌️😊
Uzuri nilishawahi kuwa mshindi kabla yake maana nlikuwa namuita gheto anajifanya mjanja kesho asubuh bila taarifa nikamuweka status mtoto mzr sana tena video tukiwa somewhere tunakula bata halafu nikauchuna dem alivyochek tu akanivutia waya akaanza kulia lia nikamwambia wewe c nakuita unazingua mara kesho huyu hapa gheto nikaisugua mpaka asubuh
 
Boss wangu Hana Hizo mbanga za kimaskini🤣🤣🤣yupo radhi akulipie kwanza hiyo frame ndio akuache
Dada acha tu, boss wako tunataniana sio wapenzi wa kweli.

Mimi namsemea huyu babe wangu aliyeniacha juzi, kwanza kaninunulia bando la mwezi, kuna mauongo kanidanganya sasa kujihami kanigeuzia kibao ili kupotezea soo lake…. 🤣🤣🤣🤣
Nimemtafuta nimpe vidonge vyake na simu kazima, siku akiwasha simu atajua hajui 😂😂😂
 
Nakuelewa sana brother
Usiruhusu mwanamke ambaye amevumilia umasikini wa baba yake kwa miaka mingi tangu akiwa mdogo mpaka amekua mkubwa aje kukupa presha za kumhudumia while her broke father failed.

Mcheki bimkubwa wako, mzee wako na ndugu zako wa karibu wa familia uliyotoka kwa unachopata, utaona jinsi unakuwa na furaha na moyo wako utaridhika sana.

Uzuri wa wazazi wetu katika visa vingi hawana kiasi hususa wanachotaka uwasaidie chochote kile kwao wanathamini sio kama hawa malaya.

Chochote unachomtumia bimkubwa wako au baba yako anakushukuru kutoka moyoni tofauti na malaya.

Mwanamke pekee ambaye una jukumu la kumhudumia ni mkeo mama ya watoto wako, ili kukilinda kizazi chako.

Na Mungu atakubariki!
 
Uzuri nilishawahi kuwa mshindi kabla yake maana nlikuwa namuita gheto anajifanya mjanja kesho asubuh bila taarifa nikamuweka status mtoto mzr sana tena video tukiwa somewhere tunakula bata halafu nikauchuna dem alivyochek tu akanivutia waya akaanza kulia lia nikamwambia wewe c nakuita unazingua mara kesho huyu hapa gheto nikaisugua mpaka asubuh
Umeanza uongo sasa 🤣🤣🤣
 
Usiruhusu mwanamke ambaye amevumilia umasikini wa baba yake kwa miaka mingi tangu akiwa mdogo mpaka amekua mkubwa aje kukupa presha za kumhudumia while her broke father failed.

Mcheki bimkubwa wako, mzee wako na ndugu zako wa karibu wa familia uliyotoka kwa unachopata, utaona jinsi unakuwa na furaha na moyo wako utaridhika sana.

Uzuri wa wazazi wetu katika visa vingi hawana kiasi hususa wanachotaka uwasaidie chochote kile kwao wanathamini sio kama hawa malaya

Chochote unachomtumia bimkubwa wako au baba yako anakushukuru kutoka moyoni tofauti na malaya.

Na Mungu atakubariki
Hakika mkuu
 
Nyie watu wa ajabu sana. Mungu anawapenda, anawapa ishara zote mwanzoni kabisa kuwa huyo mwenza wako hakufai. N a wewe bado tu umekodoa macho unakusanya za mizinga.
Tafuta mke mwema, mcha Mungu, asie na makuu na owa kabisa uone baraka na raha maishani.
Nimekuelewa kaka ushauri wako ntaufanyia kazi
 
Back
Top Bottom