Amehlo
JF-Expert Member
- May 8, 2019
- 10,104
- 29,178
mbiliUna T ngapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mbiliUna T ngapi?
😂😂😂hapanaKwani wee TTT hazijakamilika?
Bado hujawa mshangazi 😀mbili
Huwa hatuendi kichwa kichwa, hakikisha unamfahamu vizuri halafu unatafuta Agenda ya kumuingia na kuzungumza nae, hapo unakuwa ushafika 50 ya lengo lako, mengine utajiongezaWakuu, unaanzaje anzaje kutongoza mishangazi maana mishangazi unapoifata inakuwa seriouz sana, halafu ukienda kichwa kichwa unaweza ukakemewa na mshangazi hadi uone siku yako imeenda vibaya.
Hapa mi namaanisha mishangazi ya kuanzia miaka 45 na kuendelea.
Au ukala mikofiunaweza ukakemewa na mshangaz
Waambie kipondo Cha ugoko,mishangazi ni ugonjwa,litakutoa Balu usiku wa manane na boxer lako!Vijana wenzangu fanyeni kazi mtakuja kufa kwa fedheha! Siku zote tambua hamna maisha ya short cut yenye furaha na amani, mwisho wa kutaka mishangazi ya kukulea ni mbaya huwezi hata kusimulia.
I hope moja wapo ni tako🤣🤣🤣mbili
hapana tako ndo halipo😂I hope moja wapo ni tako🤣🤣🤣
Hata km huna pesaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ili uwe mshangazi halisi unatakiwa uwe na sifa kuu tatu, ambazo tunaziita 3T (tit, tak, tumbo). Vyote hivyo vinatakiwa viwe na muonekano wa ushawishi, hapo ndipo unapoingia kwenye kundi la kuitwa mshangazi.
Kama huna hizo 3T wewe sio mshangazi.
Ujambo kijana, tuma number yako Pm, nikirudi safarini nitakuchekiWakuu, unaanzaje anzaje kutongoza mishangazi maana mishangazi unapoifata inakuwa seriouz sana, halafu ukienda kichwa kichwa unaweza ukakemewa na mshangazi hadi uone siku yako imeenda vibaya.
Hapa mi namaanisha mishangazi ya kuanzia miaka 45 na kuendelea.
Pm yako umeifunga 😑Ujambo kijana, tuma number yako Pm, nikirudi safarini nitakucheki
Asante
Mshangazi wewe umeamua kumsalimu kijana hahahaaaaa!Haujambo kijana