issac77
JF-Expert Member
- Apr 26, 2013
- 4,128
- 7,899
Huu uraibu nilidumbukia rasmi mwaka 2016 nikapigwa wee akili ikaja kunikaa sawa mwaka 2021 Niko nyang'anyang'a. Nikasema basi sirudi Tena huko.
Hamna tim ambayo siijui, ligi zote zipo kichwani, option zote zipo kichwani lakini vichapo kwenda mbele...
Nawashangaa sana vijana wanashupaza shingo kwamba betting ni kazi, vijana acheni ujinga huo fanyeni kazi zinazoeleweka hata kama kipato ni kidogo acheni tamaa ya kuwaza vitu vikubwa matokeo yake ndio kama hayo unajikuta hata hicho kidogo ulichonacho unakipoteza.
Tangu nijiingize huko nimepoteza pesa nyingi sana ambapo ningeifanyia kazi ningekuwa mbali sana. Nashukuru ni mwaka sasa sijatia Tena pua huko na matokeo yake nimeyaona ktk uchumi wangu. Vijana chonde chonde acheni kubeti inakufirisi uchumi, akili, hata familia Yako inaitawanya!
Hamna tim ambayo siijui, ligi zote zipo kichwani, option zote zipo kichwani lakini vichapo kwenda mbele...
Nawashangaa sana vijana wanashupaza shingo kwamba betting ni kazi, vijana acheni ujinga huo fanyeni kazi zinazoeleweka hata kama kipato ni kidogo acheni tamaa ya kuwaza vitu vikubwa matokeo yake ndio kama hayo unajikuta hata hicho kidogo ulichonacho unakipoteza.
Tangu nijiingize huko nimepoteza pesa nyingi sana ambapo ningeifanyia kazi ningekuwa mbali sana. Nashukuru ni mwaka sasa sijatia Tena pua huko na matokeo yake nimeyaona ktk uchumi wangu. Vijana chonde chonde acheni kubeti inakufirisi uchumi, akili, hata familia Yako inaitawanya!