Wakuu ukamalia sio kazi, Kila siku nawaambia, acheni kubeti!

Wakuu ukamalia sio kazi, Kila siku nawaambia, acheni kubeti!

issac77

JF-Expert Member
Joined
Apr 26, 2013
Posts
4,128
Reaction score
7,899
Huu uraibu nilidumbukia rasmi mwaka 2016 nikapigwa wee akili ikaja kunikaa sawa mwaka 2021 Niko nyang'anyang'a. Nikasema basi sirudi Tena huko.

Hamna tim ambayo siijui, ligi zote zipo kichwani, option zote zipo kichwani lakini vichapo kwenda mbele...

Nawashangaa sana vijana wanashupaza shingo kwamba betting ni kazi, vijana acheni ujinga huo fanyeni kazi zinazoeleweka hata kama kipato ni kidogo acheni tamaa ya kuwaza vitu vikubwa matokeo yake ndio kama hayo unajikuta hata hicho kidogo ulichonacho unakipoteza.

Tangu nijiingize huko nimepoteza pesa nyingi sana ambapo ningeifanyia kazi ningekuwa mbali sana. Nashukuru ni mwaka sasa sijatia Tena pua huko na matokeo yake nimeyaona ktk uchumi wangu. Vijana chonde chonde acheni kubeti inakufirisi uchumi, akili, hata familia Yako inaitawanya!
Screenshot_20250102-224328.jpg
Screenshot_20250102-224256.jpg
 
Kuwako kwa wimbi kubwa na la ghafla mtandao wa X (twitter) kwa wanaojiita mapunter.

Uchunguzi wangu...


Wanatabia kama za watu wa forex now kuonyesha wana maisha mazuri sana na wanapiga hela kwenye betting.

Mbili, code wanazotoa ni za kweli, bt kama ilivyo kwa wote mwisho wa siku huchezi ww uwanjani itategemeana na upepo mnaweza kuliwa wote.

Tatu, kutokana na ni kweli wote mnaliwa au kula ila wao hawategemei mikeka 100% ndio maana wanapush sana promo code na grp za kulipia.
Unajua inakuwaje? Hizi referral code ni kuwa wanapata commission kila mtu anapodeposite hela. Wanapata kati ya 2 - 5% ya kiasi ambacho mtu huwa anadeposite.

Usidanganyike na stake kubwa mkeka ni kweli umetoa ila sio kwamba kaweka kweli stake kubwa hivyo.
Anaweza kuweka buku odd 5 mkeka kweli utawin shilingi 5000.

Anachofanya anaedit anaonyesha aliweka mil 1. Na itaonyesha kawin mil 5.

Imeandikwa na mimi mwenyewe. TROUBLEMAKER
 
Kuwako kwa wimbi kubwa na la ghafla mtandao wa X (twitter) kwa wanaojiita mapunter.

Uchunguzi wangu...


Wanatabia kama za watu wa forex now kuonyesha wana maisha mazuri sana na wanapiga hela kwenye betting.

Mbili, code wanazotoa ni za kweli, bt kama ilivyo kwa wote mwisho wa siku huchezi ww uwanjani itategemeana na upepo mnaweza kuliwa wote.

Tatu, kutokana na ni kweli wote mnaliwa au kula ila wao hawategemei mikeka 100% ndio maana wanapush sana promo code na grp za kulipia.
Unajua inakuwaje? Hizi referral code ni kuwa wanapata commission kila mtu anapodeposite hela. Wanapata kati ya 2 - 5% ya kiasi ambacho mtu huwa anadeposite.

Usidanganyike na stake kubwa mkeka ni kweli umetoa ila sio kwamba kaweka kweli stake kubwa hivyo.
Anaweza kuweka buku odd 5 mkeka kweli utawin shilingi 5000.

Anachofanya anaedit anaonyesha aliweka mil 1. Na itaonyesha kawin mil 5.

Imeandikwa na mimi mwenyewe. TROUBLEMAKER
Kaka huko kote nilishaoita na nikachapwa sana.. hiyo ni account tu Moja ya petpawa Tena Airtel, sijakuwekea na voda, sijakuwekea betslips za 1xbet,spotpsa, premierbet, na takataka zingine nyingi yani ni kilio
 
Back
Top Bottom