The Garang
JF-Expert Member
- Jan 16, 2018
- 2,880
- 4,830
Duuh sawa mkuu ngoja niendelee kupata ya vocha huku,
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo si ndio kindege sijui huwa nasikia watu wanalizwa hatar au nimechochoraJaribu kucheza aviator mkuu utapiga miela na kuuaga umaskini
Haya tunaomba utuoneshe na lost bet ukiachana na hako ulikobahatishaKamari sio chanzo cha pesa
beti kistaarabu alafu acha uogaView attachment 3193972
Ndio mkuu upo sahihi kabsa hicho kindege baadhi wanapiga mipunga sio powa ila kwa siku vilio vya kutoshaHiyo si ndio kindege sijui huwa nasikia watu wanalizwa hatar au nimechochora
Anaweka buku kwa odds za 15 au 16.We hujui kubeti tuliaaa
Utarudi tu, wahenga walisema jasiri haachi asili🐼Wengine tulishaacha huo useng3
Cheza cha 888bet apkbado hujasema
Tamaa zitakuua na shukuru mungu umeachaHuu uraibu nilidumbukia rasmi mwaka 2016 nikapigwa wee akili ikaja kunikaa sawa mwaka 2021 Niko nyang'anyang'a. Nikasema basi sirudi Tena huko.
Hamna tim ambayo siijui, ligi zote zipo kichwani, option zote zipo kichwani lakini vichapo kwenda mbele...
Nawashangaa sana vijana wanashupaza shingo kwamba betting ni kazi, vijana acheni ujinga huo fanyeni kazi zinazoeleweka hata kama kipato ni kidogo acheni tamaa ya kuwaza vitu vikubwa matokeo yake ndio kama hayo unajikuta hata hicho kidogo ulichonacho unakipoteza.
Tangu nijiingize huko nimepoteza pesa nyingi sana ambapo ningeifanyia kazi ningekuwa mbali sana. Nashukuru ni mwaka sasa sijatia Tena pua huko na matokeo yake nimeyaona ktk uchumi wangu. Vijana chonde chonde acheni kubeti inakufirisi uchumi, akili, hata familia Yako inaitawanya!
View attachment 3193112View attachment 3193113
huyo mbona kama aposto T?Ona aibu Aposto na Babake wanapambana , we unakata Tamaa.
View attachment 3193153