Wakuu ukamalia sio kazi, Kila siku nawaambia, acheni kubeti!

Kamari kweli ni mbaya ila tatizo ulikua unabet kitamaa unatia buku 5 unataka ule laki hapo lazima upigwe kipigo cha mbwa koko. Nimeona win moja hapo umetia 50k umekula laki swafi kabisa.
 
Tamaa zitakuua na shukuru mungu umeacha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…