Eti chale mbichi! Yaani chale uzione wewe halafu uje utuulize sisi? Unatuonea mkuu! Kwa mfano mimi nikisema namuoa na machale yake, na wewe sasa utamuwowa?Nimekutana na hii ishu na tuko lala salama kufunga ndoa takatifu sas Leo nimebaini mwezangu ana chale kifuani, kwapani kiunoni
Nilitafakari sna kwa vile sijawai kukutana na huyu mwanamke mchna ina Usk tu ndio tunazangamuana sas wakuu hz chale zinanichanganya sna nais ni mshirikina au wazaz wake ni washirikina sijamuuliza bado hadi nitajkapo pata go ahead kutoka kwa mchungaji wangu. Lkn nikaona pia nililete humu mnape mtazamo wenu
HahahaMkuu bila hizo chale asingekupata
Sasa Usk unaona vpUkweli wa hii Hadithi unatia mashaka.
Mlane mara kadhaa hata ikiwa ni Usiku mara kadhaa na usizione Chale kweli??
Tusifanyane Mazoba.
Murongo wewe.
Kama ni mtu wa kupenda waganga hizo chale wanapiga hadi kwenye ulimi kichwani kwenye nywele, ataziona sa ngapi, alafu kumpiga mwanamke ni udhaifu tu naona kwa mwanaume, yaan umemkuta na chale mtoto wa watu hujamkuza, imani aliyokulia huijui, unamzaba kibao eti kisa ana chale! Si kukosa hekima kabisa na akati unaona uchawi unaongelewa hadi viongozi wa srlerikali, yeye ni nani asipate chale za kinga😄😄😄 (BIMA YA AFYA)Mkuu utapata maneno menngi humu
Ila mkalishe akusimulie moja hadi mwisho kwanini ana vitu hivyo mwlni
Mwambie akuambie lingine usilolijua kuhusu yeye.
Then umwambie ukikuta chale imeongezeka mwilini mwake wewe na yeye bye bye
Ukiwa unaongea nambi uwe kama umepanic unaweza umkamzaba na kakofi mshenzi tofauti na hapo mkuu utabebwa na fisi wenye plate namba
View: https://youtube.com/shorts/0ob7FmoNqvo?si=OGRqS2HKR6vxkXQl
Bima ya Afya 🤭