Sijawahi pelekeshwa niwe mkweli! Kawafuma mazobaWalimu wakuu wa namna hiyo hawajakutana na na walimu wanaojitambua. Hao walimu wanaoburuzwa hivyo na mkuu wao hawajitambui ni kama misukule, watamuogopaje muajiriwa mwenzao ambaye hajawaajiri na yeye kaajiriwa. Huo ukuu wa shule ni kama ukiranja tu. Walimu wakuu wa namna hiyo wana kiherehere na kujipendekeza kwa viongozi wa ngazi za juu wilayani. Uongozi ni dhamana waache kutesa walimu wenzao
Halafu CCM wakale wapi??Hiyo shule sekondari au primary? Wajitambue na wajue wajibu na haki zao
TuacheeeKada ya Ualimu ina shida mahali.
Acha mwl mkuu achape kazi. Maendeleo ya nchi hayaji kilegelege 😃😃😃😃😃Yaani Kuna shule Mkuu wa hiyo shule anawachukulia walimu wake kama watoto. Kufika kazini ni saa 1 kamili, kutoka ni saa 11 jioni na ni mkali balaa kuwaandikisha barua kila wakati.
Siasa ya ubaguzi WA rangi ni UNYAMA!! Shkamoo Ndugu MwaaaaaalimuTuacheee
Leo kazini kwetu Kuna kaziHapo kazini hakuna ratiba?
Kwani unataka wafike saa nne halafu saa saba waondoke watotot wabaki tu kucheza halafu wanamaliza hata hawjui kusomaYaani Kuna shule Mkuu wa hiyo shule anawachukulia walimu wake kama watoto. Kufika kazini ni saa 1 kamili, kutoka ni saa 11 jioni na ni mkali balaa kuwaandikisha barua kila wakati.
hata mimi sipelekeshwi na huyo kiranja wetu kazini tuheshimianea, unakuta mkuu wa shule anakurupuka kupanga kazi wakati wa likizo za wanafunzi ili apate sifa wilayani kuwa walimu wake wanafundisha mpaka likizo za wanafunzi. Huwa sifuati sifa za kijinga nafuata azimio langu langu la kazi linaniongoza vipi kwa muhula woteSijawahi pelekeshwa niwe mkweli! Kawafuma mazoba
Waalimu wakuu wengi ni hovyo na malofa kbs, hasa baada ya kuongezewa posho ya madaraka basi wamejiona miungu watu juu ya walimu wenzao ilhali wengi wao ni vilaza wasiojua hata nini maana ya uongozi, wanadhani kufokea walimu wenzao ndio uongozi, nanyi waalimu jitambueni basi! unafokewaje kama juha na wewe umeinama tu ?Walimu wakuu wa namna hiyo hawajakutana na na walimu wanaojitambua. Hao walimu wanaoburuzwa hivyo na mkuu wao hawajitambui ni kama misukule, watamuogopaje muajiriwa mwenzao ambaye hajawaajiri na yeye kaajiriwa. Huo ukuu wa shule ni kama ukiranja tu. Walimu wakuu wa namna hiyo wana kiherehere na kujipendekeza kwa viongozi wa ngazi za juu wilayani. Uongozi ni dhamana waache kutesa walimu wenzao
Waalimu wa nchi hii ni viumbe wa ajabu sana, yaani miongoni mwa kundi nyonge la waalimu kwa ujumla wao, bado kuna wengine humo wanajiona bora kuliko wenzao! hili ni jambo la ajabu na la kuhuzunisha sana!Yaani Kuna shule Mkuu wa hiyo shule anawachukulia walimu wake kama watoto. Kufika kazini ni saa 1 kamili, kutoka ni saa 11 jioni na ni mkali balaa kuwaandikisha barua kila wakati.
Hao walimu hawajitambui
Usimzingizie mkuu wa shule ukute primary ticha hao ndo vioga vioga sana
Huna akili mwenyeweWalimu wengi wa nchi hii hawana akili