mzee wasenta
Member
- Apr 2, 2024
- 47
- 83
Uyo mkuu wa shule hajielewi kabisa, mkuu na walimu wote ni waajiliwa wa selikari.
Mkuu wa shule ana tabia za kinyampara
Mkuu wa shule ana tabia za kinyampara
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliona bora mboko kuliko 30yrs jeraNilishuhudia mkoa flani (miaka ya nyuma), mwalimu mmoja kijana alitembea na mwanafunzi wa kike, headmaster alimuamuru alale chini na kisha akamtandika fimbo sita matakoni!
Kwaki kanuni za kazi zinasemaje?Yaani Kuna shule Mkuu wa hiyo shule anawachukulia walimu wake kama watoto. Kufika kazini ni saa 1 kamili, kutoka ni saa 11 jioni na ni mkali balaa kuwaandikisha barua kila wakati.
Muda wa kutoka kazini kwa mujibu wa sheria ni saa 9:30 kama hakuna ombi la kuongeza muda wa kazi lililo kubaliwa, muda wa kufanya kazi ni masaa 9 kwa siku, sasa hiyo ya saa 11 anawalipa overtime?Yaani Kuna shule Mkuu wa hiyo shule anawachukulia walimu wake kama watoto. Kufika kazini ni saa 1 kamili, kutoka ni saa 11 jioni na ni mkali balaa kuwaandikisha barua kila wakati.
Kuchapa kazi sio kukikuka haki za wengine ndiyo maana kuna sheria za kazi, na tatizo wakuu wa shule kama hao ndio vinara wa kuhonga maofisa wa wilaya ili walimu wasio wataka wahamishwe vituo vya kaziAcha mwl mkuu achape kazi. Maendeleo ya nchi hayaji kilegelege 😃😃😃😃😃
Wewe ndiye huna akili maana mwenye akili hawezi kuwambia walimu wake hawana akili wakati ndio walio mfundisha kusoma na kuandika.Walimu wengi wa nchi hii hawana akili
Majukumu yote ya kazi za umma yapo kwa mujibu wa sheria na sio kwa utashi wa mtu binafsi elewa hilo ,achukue hatua kwa wale wanao kiuka taratibu lakini sio kutaa sifa yeye huku akiwaumiza wengineswala la elimu sio lelemama nampongeza mkuu huyo wa shule.
hawa walimu ukileta nao usela shule inageuka mtambo wa daraja sifuri
Kwani ni shule ya private ao walimu hawasomi labour lawsYaani Kuna shule Mkuu wa hiyo shule anawachukulia walimu wake kama watoto. Kufika kazini ni saa 1 kamili, kutoka ni saa 11 jioni na ni mkali balaa kuwaandikisha barua kila wakati.
Walimu wakuu ni mamlaka ya nidhamu, walimu wateja wao ni wanafunzi ambao wanafika saa 12, mpaka saa 1 uwe hujafika! Unataka kuondoka kabla wanafunzi hawajatoka!Walimu wakuu wa namna hiyo hawajakutana na na walimu wanaojitambua. Hao walimu wanaoburuzwa hivyo na mkuu wao hawajitambui ni kama misukule, watamuogopaje muajiriwa mwenzao ambaye hajawaajiri na yeye kaajiriwa. Huo ukuu wa shule ni kama ukiranja tu. Walimu wakuu wa namna hiyo wana kiherehere na kujipendekeza kwa viongozi wa ngazi za juu wilayani. Uongozi ni dhamana waache kutesa walimu wenzao
Private wanapewa allowanceKwani ni shule ya private ao walimu hawasomi labour laws
Muda wa kufika kazini ji saa 1:30 asubuhi na kuondoka ni saa 9:30 alasiri na si zaidi ya hapo, isipo kuwa kwa makubaliano maalum ambayo yana malipo ndani yakeWalimu wakuu ni mamlaka ya nidhamu, walimu wateja wao ni wanafunzi ambao wanafika saa 12, mpaka saa 1 uwe hujafika! Unataka kuondoka kabla wanafunzi hawajatoka!
Muda wa kuondoka Ni saa 9:30 alasiri. Saa 11 Ni kiherehere na kujikomba kwa wakubwa. Period.Walimu wakuu ni mamlaka ya nidhamu, walimu wateja wao ni wanafunzi ambao wanafika saa 12, mpaka saa 1 uwe hujafika! Unataka kuondoka kabla wanafunzi hawajatoka!
wale ni kama viraja tu, hawana mamlaka ya kuburuza walimu wao kazini, tena tuko sawa kielimu au tumewapitaWalimu wakuu ni mamlaka ya nidhamu, walimu wateja wao ni wanafunzi ambao wanafika saa 12, mpaka saa 1 uwe hujafika! Unataka kuondoka kabla wanafunzi hawajatoka!
Poleni sana.Yaani Kuna shule Mkuu wa hiyo shule anawachukulia walimu wake kama watoto. Kufika kazini ni saa 1 kamili, kutoka ni saa 11 jioni na ni mkali balaa kuwaandikisha barua kila wakati.
Uko sahihi mkuuKumekuwa na visa vingi wakuu wa shule kunyanyasa walimu wenzao wasiojitambua. Ni wakuu wa wachache ndio hupokea vipigo pale wanapozidisha unyanyasaji. Kuna mwalimu mkuu mmoja wa kike alizabwa makofi na mwanamke mwenzake ofisini. Dada wa watu akapewa adhabu ya kupelekwa shule mbaya kijijini ndani akasote huko na afisa elimu mnoko. Visa ni vingi mara mapenzi, mara wivu wa maendeleo. Wengine ukifundisha vizuri wanafunzi wakakusifu mkuu wa shule na jopo lake wanaona wivu wanaanza kukunyanyasa kila angle ili tu kukughasi