mkuu, juzi nimekumbana na mzee mmoja, hana msaada analialia kama mtoto, nilipouliza mama/mzee mwenzake au watoto wake wako wapi, nikaambiwa jamaa alikuwa bitozi enzi zake hakutaka kuoa. sasa hivi uzee umemshukia, sukari imemkaba, macho hayaoni vizuri, majuto aliyo nayo anatamani arudishwe ujana arekebishe alipokoseaHuwa wanakosa matunzo hata madogo madogo kupikiwa ,usafi halaf wanazurura hovyooo
ana hela? ukitaka kuwa lifetime bachelor hakikisha Pesa unazo!mkuu, juzi nimekumbana na mzee mmoja, hana msaada analialia kama mtoto, nilipouliza mama/mzee mwenzake au watoto wake wako wapi, nikaambiwa jamaa alikuwa bitozi enzi zake hakutaka kuoa. sasa hivi uzee umemshukia, sukari imemkaba, macho hayaoni vizuri, majuto aliyo nayo anatamani arudiswe ujana arekebishe alipokosea
ni mjinga tu huyo...umalaya wa ujanani anadhani atazeeka naoHategemei kuzeeka msela wetu.ππππ
Kwasababu ukizeeka familia yako ndio watakutunza na sio ndugu maaana na wao wanakuwa busy na familia zao,mtu unatakiwa uandae familia na nyumba ya kuishi uweke msingi imara ukizeeka utaish kwako na wajukuuHawakawii kusemasema wananyanyaswa au ndugu wamemtenga na kumkimbia.Vilio kama vyote kumbe ujuaji wakati wa ujana.
Mimi sijapoteza hela mkuu.Sizitafuti!Zipo tu.Kuoa kama wote.Tafuta hela, kuwa nazo za kutosha.. hayo matunzo hutosikia wakilalama
Hapo angekuwa na familia hata wajukuu wangemsaidiamkuu, juzi nimekumbana na mzee mmoja, hana msaada analialia kama mtoto, nilipouliza mama/mzee mwenzake au watoto wake wako wapi, nikaambiwa jamaa alikuwa bitozi enzi zake hakutaka kuoa. sasa hivi uzee umemshukia, sukari imemkaba, macho hayaoni vizuri, majuto aliyo nayo anatamani arudiswe ujana arekebishe alipokosea
Wanajiita mabaharia.Baharia akikwama analialia.ππππKwasababu ukizeeka familia yako ndio watakutunza na sio ndugu maaana na wao wanakuwa busy na familia zao,mtu unatakiwa uandae familia na nyumba ya kuishi uweke msingi imara ukizeeka utaish kwako na wajukuu
Wengi tunawaona mbona wazee ambao hawajaoa
πππππMimi sijapoteza hela mkuu.Sizitafuti!Zipo tu.Kuoa kama wote.
wrong thinking. pesa ni ya maana ujanani tu ukiwa na nguvu za kuitumia. .ukishazeeka pesa is nothing. relationship ndiyo kila kitu hasa with your immediate family members-mke na watoto. waulize wenye pesa na hawana relationship nzuri na wanafamilia wao, watakwambia huzuni waliyonayoana hela? ukitaka kuwa lifetime bachelor hakikisha Pesa unazo!
Kuna mmoja hapa analala kwenye gesti ashafukuzwa kila kona anazunguka na mkoba na tv na pasi hana hata pa kulalaWanajiita mabaharia.Baharia akikwama analialia.ππππ
endelea kujidanganyaMkuu siku hizi hata ukioa ukizeeka mateso yako pale pale.
Baharia bado hajaipata titanic yake anamangamanga?πππKuna mmoja hapa analala kwenye gesti ashafukuzwa kila kona anazunguka na mkoba na tv na pasi hana hata pa kulala
hawa vijana wanadanganyana sanaHapo angekuwa na familia hata wajukuu wangemsaidia
Japokuwa wanawake siku hizi wengi ni wabinafsi na wanapenda hela ,haimaanishi kwamba ndoa ni scam kwani wapo wachache, wanajua nini maana ya ndoa na wapo tayari kuviishi viapo vya ndoa.Miaka kadhaa nyuma niliwahi kuleta uzi hapa ni jinsi gani ndoa ni scam, ni jinsi gani ndoa iko pale kumnufaisha Mwanamke.
Siku za karibuni kumezuka matukio kadhaa ya mauaji ya wanandoa, au wanandoa kujiua sababu kubwa ikiwa mifarakano ya ndani ya ndoa.
Kwa Muktadha huo nazidi kushikilia ule msimamo wangu ya kwamba Maisha ya Mwanaume ili yawe Marefu kwa zama hizi aachana na hizi ndoa. Hutoua/Kuuawa/Kujiua.
Je wale wenzangu Lifetime Bachelors tupeane Mbinu zipi katika maisha yetu ya ubachela?
Uzi tayari!
cc: Liverpool VPN
Huwa wanakosa matunzo hata madogo madogo kupikiwa ,usafi halaf wanazurura hovyooo
Nimeona si kavaa jersey na yuko kweny gari ?Jana kwenye mitandao ya kijamii , Instagram kulikuwa na dad analamika amefikisha miaka 37 bill kuoa na anajuta kwa kuwakatalia wanaumee wamuoe
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Na vilevile si wa kuwaamini sana.Anaweza kuwa anahamasisha kutooa kumbe yeye yupo na familia yake kwa utulivuuu.Anatuchora tu.hawa vijana wanadanganyana sana