Wale ambao wana stress ya umri kwenda huku hawana chochote, tukutane hapa

Wewe kugombea ubunge misungwi si unaogopa wachawi,
 
Mtu upo hai halafu unasema huna chochote, wewe ni timamu kweli ?

Unafikiri hiyo pumzi ya uhai ni jambo dogo
 
Jf bana[emoji1787]
 
Haina shida, nakuelewa sana na kiufupi ni wakati sahihi wa kuwa hivyo na hata zaidi. Ni vile tu wengine 40+ hata nusu ya hapo bado.
Ujue kinachonitafuna sana mimi ni ile hali ambayo tumekua tukiishi nayo wengi kwamba mtu anakua na pesa kwa vipindi flan tuuu..mfano kwa mfanya kazi ni kile kipindi. Ha mishahara...katika harakat zangu za ujasiriamali kuna kipindi mtu unafulia balaa buzness zinakua sio za uhakika kila kitu kinasuasua mpaka inafika hatua elfu 20 inakua adimu 😂😂😂sasa maisha haya ndio naonava ufala kwann mtu usifike hatua unakua na pesa anytime uko full.??
 
Unamiliki gari na nyumba bado una-complain,,,we jamaa hemu piga goti chini daily mshukuru Mungu.
Kikubwa na cha kushukuru hapo ni hao watoto wanne aliowapata mapema,gari ni nini??? Si combo cha usafiri tu hajasema ni gari gani kuna gari nyingi tu zinauzwa milio 10,au nane hata tano...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…