Wale Askari polisi na Wanajeshi waliokuwa wamesiama pembeni wakiwaangalia wananchi wakivuta ndege kwa kamba ni Watanzania?

Wale walikuwa wanailinda ajali.
 
Hizi hasira mnazokuwa nazo kwa wananchi wenzenu wakifanya mambo ya kipuuzi mngeweza pia kuzielekeza kwa viongozi wenu wa nchi wanavyofanya mambo ya kipumbavu kama taifa tungepiga hatua kadhaa mbele.
Unafki tu umewajaaa watanzania na uchawa, imagine una ndugu yako mle utaendelea kulamba mipododo ya watawala au utaongea your mind?
 
 

Attachments

  • 28B0E456-1B31-4B9E-B0D8-58A60D4FC4CF.jpeg
    21.1 KB · Views: 3
Pamoja na juhudi za Capt Luhaga kupeleka ndege ziwani mita chache kutoka Airport akiamini hapo ndipo watapata msaada kwa linalokwenda kutokea lakini imekuwa kinyume sana kwa uzembe wa mamlaka zinazohusika. Kama nchi tujitafakari sana. RIP Linda
So sad halaf Linda na mdogo wake jamani hii nchi ukipata emergency ni sawa na umekufa tu na wala hawaoni aibu imagine aljazeera inaonyesha raia wanavuta ndege kwa kamba seriously???? Rip Linda and Aneth[emoji24]
 
Aisei! Kabisa unaona huu ni uhuru wa maoni? Aiseiii! Huo ni uhuru wa maoni? Umeandika kwa kusudia au kichwa kilikumbwa na 'mabadiliko ya tabianchi?' Ukiweza futa utakuwa na busara mno.πŸ™πŸ™πŸ™
 
Zile njemba zimetia aibu, sina hakika kama wanatambua majukumu yao, pengine serikali ina Jambo lake.
 
So sad halaf Linda na mdogo wake jamani hii nchi ukipata emergency ni sawa na umekufa tu na wala hawaoni aibu imagine aljazeera inaonyesha raia wanavuta ndege kwa kamba seriously???? Rip Linda and Aneth[emoji24]
😭😭😭😭
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Duh! Swalallah wallei[emoji2957][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…