Ndiyo maana ni tetesi ndugu.Hiyo source ya taarifa yako sasa, au wewe ndio Munishi? 😁
safi.Likimkuta mwenzako usishangiliye fatilia mazingira msaidiye mana kesho kwako.Kumekucha.
Yasemekana wale wababe wasiojua mipaka ya kazi yao tayari yamewakuta:
View attachment 2184654
Habari hii inazunguka kama moto wa nyika sasa.
Hii ni kumhusu dogo aliyewekwa mtu kati hadi kumbuka mjomba katika familia si serikali.
Kama itakuwa si wao wenyewe katika kutaka kutupoteza maboya, itakuwa ni hatua njema sana kwani, kimsingi udhwalimu haukubaliki.
Watu kama hao hawatufai.
Tuungane kuwakataa wahuni.
-------------
Tulikotoka:
Wanajeshi kwa waliohusika na tukio hili wawajibishwe
Jambazi la kichaga bado lipo Kenya hukoHivi munishi bado yupo.
safi.Likimkuta mwenzako usishangiliye fatilia mazingira msaidiye mana kesho kwako.
Hakuwa jambazi, alikuwa anaisema serikali ya Mwalimu vibaya.Jambazi la kichaga bado lipo Kenya huko
[emoji38][emoji38][emoji38]
USSR
Kama kweli ni jambo jema.. wacha wahuni wafurushweKumekucha.
Yasemekana wale wababe wasiojua mipaka ya kazi yao tayari yamewakuta:
View attachment 2184654
Habari hii inazunguka kama moto wa nyika sasa.
Hii ni kumhusu dogo aliyewekwa mtu kati hadi kumbuka mjomba katika familia si serikali.
Kama itakuwa si wao wenyewe katika kutaka kutupoteza maboya, itakuwa ni hatua njema sana kwani, kimsingi udhwalimu haukubaliki.
Watu kama hao hawatufai.
Tuungane kuwakataa wahuni.
-------------
Tulikotoka:
Wanajeshi kwa waliohusika na tukio hili wawajibishwe
Sheikh yahya alikua usalamaHakuwa jambazi, alikuwa anaisema serikali ya Mwalimu vibaya.
Munishi na Shehe Yahaya wakafukuzwa nchini, ni kama aliwaombea uraia kwa mzee jomo Kenyatta.
Huo ujambazi alikuibia nini? mwanangu
Kama kweli ni jambo jema.. wacha wahuni wafurushwe
Kwa ukubwa, vyeo na mamlaka walionayo hao jamaa hawakupashwa kutenda waliyotenda, tunategemea kwa level zao wawe na hekima+busara kwenye kudeal na mambo..
kwa wengine namna walivyohandle lile suala pale, inatutisha juu ya weledi wao kwenye kazi nyeti na majukumu nyeti tuliyowapa..
Waliapaswa kumsimamisha kijana na kumuamulu apark pembeni sio ndani ya ofisi nyeti, apark pembeni mbali kabisa na hiyo ofisi....kama kweli walimkosea dogo wangemuomba samahani ila kama dogo alikosea basi wangemueleza makosa yake na wamsikilize response yake, ikiwa negative waite polisi waje wafanye vipimo na kutoa conclusion..
Tukiwa vyeo na mamlaka tuvitumie vizuri na kwa haki, Ukiwa na cheo basi tambu ni mtihani Mungu amekupa, utumie huo mtihani kumfurahisha Mungu muumba usishupaze shingo...
Hao vijana wa TISS wabadilike.Kumekucha.
Yasemekana wale wababe wasiojua mipaka ya kazi yao tayari yamewakuta:
View attachment 2184654
Habari hii inazunguka kama moto wa nyika kwa sasa.
Hii ni kumhusu yule dogo aliyewekwa mtu kati hadi kumkumbuka mjomba wake katika familia wala hata si serikali.
Kama hii itakuwa si wao wenyewe katika kutaka kutupoteza maboya, itakuwa ni hatua njema sana. Kwani kimsingi udhwalimu huu haukubaliki.
Watu kama hao ni wazi kuwa hawatufai.
Tuungane kuwakataa wahuni.
-------------
Tulikotoka:
Wanajeshi kwa waliohusika na tukio hili wawajibishwe
Unaufahamu wimbo wake murua wa malebo toto la magurumbasi , musishi anadai walikuwa majambazi hadi akapigwa na kukatwa kidole malebo akang'olewa meno na n. K nakuita maleboHakuwa jambazi, alikuwa anaisema serikali ya Mwalimu vibaya.
Munishi na Shehe Yahaya wakafukuzwa nchini, ni kama aliwaombea uraia kwa mzee jomo Kenyatta.
Huo ujambazi alikuibia nini? mwanangu
Na pia kama ni makosa ya kawaida madogomadogo ya barabarani wangeweza kumpuuza tu.Kwa ukubwa, vyeo na mamlaka walionayo hao jamaa hawakupashwa kutenda waliyotenda, tunategemea kwa level zao wawe na hekima+busara kwenye kudeal na mambo..
kwa wengine namna walivyohandle lile suala pale, inatutisha juu ya weledi wao kwenye kazi nyeti na majukumu nyeti tuliyowapa..
Waliapaswa kumsimamisha kijana na kumuamulu apark pembeni sio ndani ya ofisi nyeti, apark pembeni mbali kabisa na hiyo ofisi....kama kweli walimkosea dogo wangemuomba samahani ila kama dogo alikosea basi wangemueleza makosa yake na wamsikilize response yake, ikiwa negative waite polisi waje wafanye vipimo na kutoa conclusion..
Tukiwa vyeo na mamlaka tuvitumie vizuri na kwa haki, Ukiwa na cheo basi tambu ni mtihani Mungu amekupa, utumie huo mtihani kumfurahisha Mungu muumba usishupaze shingo...