Zeus1
JF-Expert Member
- Aug 24, 2017
- 7,152
- 9,206
Jamaa amefanya safi sana.kama umenielewa vema nipo na aliyeambiwa paki gari.
Anasema walimpiga?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa amefanya safi sana.kama umenielewa vema nipo na aliyeambiwa paki gari.
Munishi kabla ya kuokoka ( Kujifanya ameokoka ) alikuwa Jambazi, akiwa na wale majamaa anaowaimbaga kina Malebo.Hakuwa jambazi, alikuwa anaisema serikali ya Mwalimu vibaya.
Munishi na Shehe Yahaya wakafukuzwa nchini, ni kama aliwaombea uraia kwa mzee jomo Kenyatta.
Huo ujambazi alikuibia nini? mwanangu
Hiyo source ya taarifa yako sasa, au wewe ndio Munishi? [emoji16]
Yupo kenya, nadhani ni raia wa kenya sasaHivi munishi bado yupo.
[emoji28][emoji28]ni yeye tu
Inashangaza sn. Na masifa kibaoooIla Tanzania ukishakuwa na kacheo ni full kuonea raia wasio na nguvu kiufupi watanzania hatupendani
Kilicho fanyika ni kuhamishiwa kanda nyingine. Wote tofauti hakuna, watafukuza wangapi?Na mmeamini ni kweli?