Tetesi: Wale Askari waliomfanyia fujo barabarani Raia, wavuna walichopanda

Tetesi: Wale Askari waliomfanyia fujo barabarani Raia, wavuna walichopanda

Yani Malebo ndio source ya taarifa za kuaminika?

Bandiko limesheheni "disclaimer" tokea utosini hadi kwenye gumba.

Ama kweli wahuni mmeguswa.

Tambueni kwa kuwa hamfai.

Habari ndiyo hiyo.
 
Jambazi la kichaga bado lipo Kenya huko


[emoji38][emoji38][emoji38]


USSR
Sasa hivi linamshiko linaweza likakufuga wewe na ukoo wenu wote. Si unaliona linaalikwa na Raisi kwenye sherehe .
 
Unaufahamu wimbo wake murua wa malebo toto la magurumbasi , musishi anadai walikuwa majambazi hadi akapigwa na kukatwa kidole malebo akang'olewa meno na n. K nakuita malebo

USSR
Uweke
 
wazee wa unanijua mimi nani? hahaaa , kikosi kile kimekosa aibu kabisa kazi kutoa vitambulisho kwenye ma bar na kujisifu, zamani zile hata mkeo anakua hajui mume anafanya kazi gani ,lakioni sikuhuizi mpaka kina sabaya wana foji vitambulisho na kujiita TISS. Shame on them.
 
Nitumie ilikuweje mkuu? Sijaipata waliwafanyia nini?
 
Kama hii itakuwa si wao wenyewe katika kutaka kutupoteza maboya, itakuwa ni hatua njema sana. Kwani kimsingi udhwalimu huu haukubaliki.

Watu kama hao ni wazi kuwa hawatufai.

Tuungane kuwakataa wahuni.
Sijui kama kwenye curriculum yao wanafundishwa kuwa wanapewa kazi hiyo kwaajili ya usalama na amani ya raia na siyo kutishia na kuwanyanyasa raia, ifike wakati sasa raia wafundishwe kutambua haki zao dhidi ya hao wanaojiona miungu watu.
 
wazee wa unanijua mimi nani? hahaaa , kikosi kile kimekosa aibu kabisa kazi kutoa vitambulisho kwenye ma bar na kujisifu, zamani zile hata mkeo anakua hajui mume anafanya kazi gani ,lakioni sikuhuizi mpaka kina sabaya wana foji vitambulisho na kujiita TISS. Shame on them.
Kabisa mkuu, kazi ilikuwa na heshima sana, maafisa waliwanyenyekea raia na kuwathamini, maafisa wa TISS wa enzi zile walijua kujishusha na kuishi na watu vizuri
 
Asante Kwa kuweka picha zao na majina Yao.

Iwe fundisho Kwa wengine.
 
Sasa hivi linamshiko linaweza likakufuga wewe na ukoo wenu wote. Si unaliona linaalikwa na Raisi kwenye sherehe .
Kama linavyomlea mamako na ukoo wenu wote

USSR
 
Back
Top Bottom