Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani Malebo ndio source ya taarifa za kuaminika?
Moi alimpa uraia wa kenyaHivi munishi bado yupo.
Hata mi nashangaa, hivi wale walikuwa ni TISS au wajeda?Na mmeamini ni kweli?
Sasa hivi linamshiko linaweza likakufuga wewe na ukoo wenu wote. Si unaliona linaalikwa na Raisi kwenye sherehe .Jambazi la kichaga bado lipo Kenya huko
[emoji38][emoji38][emoji38]
USSR
Hivi ni yule muimba kwaya?Hivi munishi bado yupo.
UwekeUnaufahamu wimbo wake murua wa malebo toto la magurumbasi , musishi anadai walikuwa majambazi hadi akapigwa na kukatwa kidole malebo akang'olewa meno na n. K nakuita malebo
USSR
Sijui kama kwenye curriculum yao wanafundishwa kuwa wanapewa kazi hiyo kwaajili ya usalama na amani ya raia na siyo kutishia na kuwanyanyasa raia, ifike wakati sasa raia wafundishwe kutambua haki zao dhidi ya hao wanaojiona miungu watu.Kama hii itakuwa si wao wenyewe katika kutaka kutupoteza maboya, itakuwa ni hatua njema sana. Kwani kimsingi udhwalimu huu haukubaliki.
Watu kama hao ni wazi kuwa hawatufai.
Tuungane kuwakataa wahuni.
Kabisa mkuu, kazi ilikuwa na heshima sana, maafisa waliwanyenyekea raia na kuwathamini, maafisa wa TISS wa enzi zile walijua kujishusha na kuishi na watu vizuriwazee wa unanijua mimi nani? hahaaa , kikosi kile kimekosa aibu kabisa kazi kutoa vitambulisho kwenye ma bar na kujisifu, zamani zile hata mkeo anakua hajui mume anafanya kazi gani ,lakioni sikuhuizi mpaka kina sabaya wana foji vitambulisho na kujiita TISS. Shame on them.
Nitumie ilikuweje mkuu? Sijaipata waliwafanyia nini?
Nitumie ilikuweje mkuu? Sijaipata waliwafanyia nini?
Kama linavyomlea mamako na ukoo wenu woteSasa hivi linamshiko linaweza likakufuga wewe na ukoo wenu wote. Si unaliona linaalikwa na Raisi kwenye sherehe .
Ila Tanzania ukishakuwa na kacheo ni full kuonea raia wasio na nguvu kiufupi watanzania hatupendani
Source Imekuwa MtihaniHiyo source ya taarifa yako sasa, au wewe ndio Munishi? 😁
Hapo Ndiyo Shida YetuNa mmeamini ni kweli?