Kabisa mkuu, kazi ilikuwa na heshima sana, maafisa waliwanyenyekea raia na kuwathamini, maafisa wa TISS wa enzi zile walijua kujishusha na kuishi na watu vizuri
Yani hapo tu hilo jina munishi ndo pekee linakunyima amani.Hiyo source ya taarifa yako sasa, au wewe ndio Munishi? 😁
HUYU MUNISHI DAMU ZA WATU ALIOKUWA ANAWAUWA ALIPOKUWA JAMBAZI ZINAMTESA AMEKUWA HAELEWEKI KABISA YAANI KUMUAMINI MUNISHI NI UJINGAKumekucha.
Yasemekana wale wababe wasiojua mipaka ya kazi yao, tayari yamewakuta:
View attachment 2184654
Habari hii kwa sasa inazunguka kama moto wa nyika.
Hii ni kumhusu yule dogo aliyewekwa mtu kati, hadi kumkumbuka mjomba wake katika familia wala si serikali.
Kama hii itakuwa si wao wenyewe katika kutaka kutupoteza maboya, itakuwa ni hatua njema sana. Kwani kimsingi udhwalimu huu haukubaliki.
Watu kama hao ni wazi kuwa hawatufai.
Tuungane kuwakataa wahuni.
-------------
Tulikotoka:
Wanajeshi kwa waliohusika na tukio hili wawajibi
HUYU MUNISHI DAMU ZA WATU ALIOKUWA ANAWAUWA ALIPOKUWA JAMBAZI ZINAMTESA AMEKUWA HAELEWEKI KABISA YAANI KUMUAMINI MUNISHI NI UJINGA
Hivi kwa TZ hii na kwa aina ya kazi za hao jamaa wanaweza kupoteza kazi yao kwa gharama ndogo kiasi hicho?
Dah!hii nchi ina wanajeshi waoga sana, kwahiyo watanganyika waliwaweka kizuizini wanajeshi bila uoga wowote?Hawa watu wajifunze jambo kwamba mambo ya hovyo yamerejea ila sio kila mtu anaweza kufanya jambo la hovyo ni kwa vijana wa ccm tu tena wale wanaosifia awamu ya 6. juzi wanajeshi wamepiga raia,wakawekwa kati baadhi wakaponyoka mpaka polisi wanafika wakawakuta wawili chini ya ulinzi wa watanganyika.
PoaLikimkuta dhwalimu tunashangilia sana tu. Likimkuta mhanga tunalia naye kama unavyoona.
Tunalia na dogo kwani kaonewa na linaweza tukuta hata sisi kesho.
Sisi na uonevu wapi na wapi? Litukute vipi la kumwonea nani?
Dogo aimarishiwe ulinzi ninyi si wema.
kama umenielewa vema nipo na aliyeambiwa paki gari.
Naona unaandika mipasho tu mkuu, ww una verification ya hiyo taarifa?Bandiko limesheheni "disclaimer" tokea utosini hadi kwenye gumba.
Ama kweli wahuni mmeguswa.
Tambueni kwa kuwa hamfai.
Habari ndiyo hiyo.
Naona unaandika mipasho tu mkuu, ww una verification ya hiyo taarifa?
kama umenielewa vema nipo na aliyeambiwa paki gari.
Nini kisichowezekana chini ya jua mkuu?Kama sio chai hii, sijui!
Yupo anaishi Nairobi, ila Muoga huyo hatariii, kila siku analalamika kwamba wanataka Kumuua🤣🤣🤣Hivi munishi bado yupo.
Poa.Mi mwenyewe wachini tu sipendi manyanyaso kwakwel.Basi kutakuwa kulikuwa na utata kwenye bandiko lako.
Mamwela si watu wazuri.
Poa.Mi mwenyewe wachini tu sipendi manyanyaso kwakwel.