Wale Graduate mlioweza kujiajiri mlitumia mbinu (njia) kuweza kujiajiri?



Hongera sn best..kaza
 
Siku hizi pia unaweza kufanya online transfer ukiwa kwako huna haja ya kwenda bank. Kwa kifupi it is true ajira nyingi za kibenki zinakuwa replaced na technology. Nowdays technology ina discourage sana hard cash,we have to keep that in mind.
 
Hapa ndo serikali ya jpm inapo feli, unazuia mazao ya kilimo kwenda nje ili tuuziane sisi kwa sisi mwisho wa siku unauza kwa bei ndogo au usiuze kabisa.

Ujuha wa hali ya juu sana labda bashe ataweza kushawishi tuwe tunauza nje basi ttampigia kampeni awe rais 2026.

Viazi mviringo/mahind unazuia kwenda kenya hivi una akili kweli, ukiruhusu unaweka mashart utafikir mganga wa kienyeji mwisho mteja anakimbia zake.

Raha ya kilimo ni uwepo wa soko zuri hapo Graduate hawata juta kujiajir kwenye kilimo na ufugaji.
 
hongera sana mkuu
 
Mimi ndo nasoma komenti nipate uzoefu hapa....
 

upo vizuri dada yangu.
 
Pole sana mkuu ila ni kweli wakulima wana angushwa na serikali yenyewe kutokana na matamko yasiyo na weledi wowote.

Sipati picha hiyo cabbage(maiti) hapo shambani ilivyokua inatoa harufu.

Kilimo kisikie tu hivi hivi.
 
Mwenzio niligraduate la saba siyo degree, nikaanza kufanya kazi za kuuza duka, nikapata mchumba nikaolewa.

Nilianza kupika bubaragara kila jumapili na jumanne siku ya mjajaro, nikaweza kupata pesa za kununua bati. nikawa napiga konyagi maramoja kwa wiki nikaongezea kipaji.
Mme wangua alininyang'anya pesa zote akanunua pikipiki ambayo sikupanda! Akirudi magumi na matusi kuwa naenda kujioza huko wakati pesa anachukua yeye.

Yalinishinda mimi graduate wa la saba niaachika. Je, Utanitoa kwenye group lenu la wasomi na mnaoji mambafay?
 
njoo kwangu hutapata izo shida tuanze kutafuta wote mi na degree na cpa naanza biashara saivi
 
sure
 
njoo kwangu hutapata izo shida tuanze kutafuta wote mi na degree na cpa naanza biashara saivi
Mimi sijui kizungu ila najua kupika na nina wajukuu utaweza?????? Hahaha I made a story of my cousin she suffered a lot but now she is strong!!!!
 
hahah, kwani kizungu ndo kinafanya mpendane? ila mmh unaonekana umeenda age, mi ndo kwanza 24
Mimi sijui kizungu ila najua kupika na nina wajukuu utaweza?????? Hahaha I made a story of my cousin she suffered a lot but now she is strong!!!!
 
Dili lasahv nikufungua kitalu mtaji million 500 tuu hii ishu sio ngum
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…