Wale mliokimbilia kujenga Dodoma poleni sana

Kumtegemea mtu n tatzo,huku kwetu kuna mtu alimtegemea mwendazake akafanya uwekezaj wa hatari akitegemea kuna sku mwendazake angemzingua mpinzan wake na ashindwe kufanya biashara abak peke yake ili apige hela,ajabu mwendazake kafa mapema,sasa sjui hiyo ndoto yake ya kubak peke yake itafanikiwa.

Maana mpinzan wake yupo katika mazingira ambayo anaweza kuzinguliwa maana kuna mahakama kuu,reli pia anaweza ambiwa hawatak kuona magar makubwa mjini hvyo hataweza kubeba magar makubwa
 
Sensa ya Mwakani inaweza iweka Dom City Second to Dar au nyuma kidogo ya Mwanza kama Jiji la pili Kwa ukubwa, uchumi na idadi ya watu..

Maana so far in terms of Mapato ya Jiji ,Dom ni second to Dar.
Unaota wewe et second to dar are you insane
 
Acha wajipe moyo maana Yale mahela yalowekezwa huku si mchezo!
 
Mjomba alijua kuwapelekesha watu wazima na vitambi vyao
 
Jina lake Mayunga, hawa ndio wale wa Iselamagazi kufika Dar anajiona mjanjaaaa.kuna picha za Dubai miaka 50 iliyopita na Dubai ya sasa hapo ndo atajua hana anachokijua.
 
Jina lake Mayunga, hawa ndio wale wa Iselamagazi kufika Dar anajiona mjanjaaaa.kuna picha za Dubai miaka 50 iliyopita na Dubai ya sasa hapo ndo atajua hana anachokijua.
Brother mimi sio type yako na usidhan kila mtu ni fala kama wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…