Wale mliokimbilia kujenga Dodoma poleni sana

Lile jua ni balaa linawaka mapema asubuhi kali, ardhi ina magadi ya kutosha, serikali iliyokuwa ya kizalendo haiwezi kuendelea kumwaga mabilioni ya shilingi jangwani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Jua la Dodoma utalilinganisha na la Dubai au Cairo? Hii mitandao imetuletea wajinga wengi mnooo!!!
 
Jua la Dodoma utalilinganisha na la Dubai au Cairo? Hii mitandao imetuletea wajinga wengi mnooo!!!
[emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Wewe ni mpumbavu mkubwa sana,unasema maamuzi ya mtu mmoja kweni wewe hukuwahi kujua kwamba Dodoma ndiyo makao makuu toka kipindi cha Nyerere?

Wewe ninlimtu lijinga lijinga
 
Tatizo watu wetu wako brainwashed na vitu vya nje na rushwa rushwa tu tulikuwa tunaweza fanya vizuri sana lakini dah tuishi tu
Kosa ni kuweka wapumbavu wengi madarakani! System ya serikali inatakiwa iwape wananchi control sio kama ilivyo sasa serikali ina sauti kuliko watu waliowaweka kwenye dolla!
 
Vyote tufanyavyo duniani huwa tunaiga kutoka kwa wengine na baadae kuboresha zaidi, huo mpangilio wako huko nchi gani ?
 
Nilishangaa sana kuona mwisho wa daladala ni saa tatu [emoji58]
Mkuu daladala hata zisipokuwepo kabisa kwangu hazina umuhimu, nataka night shift route kutoka na kuingia hapo Dom.
 
Musoma kwa baba yako mbwa wewe
Sie kwetu Mara tunajua thamani ya ardhi," warisya" kama wewe ni kupelekwa " kibhaga" wakatahiriwe.Ukiwa na govi hata uwezo wa kufikiri hupungua[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]
 
300k.... Kwa siku ???
 
Wewe ndiye unaonekana mpumbavu kati ya wajinga . Huyo mwanzishi ana uhusiano gani na kuwekeza kwenye hiyo chanjo? Unajua ma-share holders wa kampuni wewe? Hizi elimu za Bongo za kukariri ndiyo matokeo yake haya. Unakimbilia ku-google mwanzilishi wa kampuni wakati kuna watu wenye share holders kubwa ambao walijiunga miaka ya karibuni tu! Pumbavu kabisa. Unadanganya watu eti wenye zaidi ya miaka 45 wakiwekeza basi wajukuu na watoto ndiyo wanapata faida. Wenye Google au Facebook waliwekeza miaka 45 iliyopita? Unaweza kununua share kwenye kampuni yoyote na baada ya mwaka ukapata faida kubwa kabisa. Walionunua Bitcoin mwanzoni ikiwa bei chini na sasa ni mamilionia, wengine hata watoto hawajapata.
 
Samia alazimishwe kufanyie kazi Dodoma
 
Nipo Dar,but nilipo ona jina ni MAYUNGA[emoji38],MOSHI ni mkoa..nikaanza kufuatilia comments zake...[emoji38][emoji38]hawa kina mayunga ndio kila siku huku Dar tunawapiga pesa pale Garden Samora
 
Wewe ni mpumbavu mkubwa sana,unasema maamuzi ya mtu mmoja kweni wewe hukuwahi kujua kwamba Dodoma ndiyo makao makuu toka kipindi cha Nyerere?

Wewe ninlimtu lijinga lijinga
Nijue hil inisaidie nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…