ILLUMINATI RUMI
JF-Expert Member
- Aug 21, 2018
- 323
- 327
Sema hana HelaMtu ambaye haoni fursa ya kuwekeza Dodoma naweza nikasema, ana macho ya kimasikini au hajawahi kutembelea miji mikubwa Duniani....
Dodoma in next 10 to 30 years itakuwa kama mji Mkuu wa Botswana...
Alikuwa anasogea kuelekea ChatoIlikuwa dalili ya kuipeleka serikali chato.
Masenge Mengi yakifika DAR ukubwani yanajifanya yamezaliwa huko wakati wazai wao wapo kijijni ,Leo eti anaiponda Dodoma huyo akili nusu,Fala wewe umetoka Musoma huko kuishi Dar unajiona na wewe ni Mzaramo pumbavu huna akili kabisa boys wewe limbuke mkubwa
Hata Dsm ilishawahi kuwa na mzungumko mdogo wa pesa, shida yako unalinganisha mji wenye watu milioni 7 na wenye watu chini milioni moja.... haiiwezi kulingana. Lakini in a long run, utakuja kuwa na mzunguko mzuri wa fedha.Mimi dodoma nimeishi napajua vizuri
Ila ukweli ni kwamba dodoma ni kugumu na mzunguko wa hela ni mdogo
Mengine yamezaliwa mikoani mbali tu,yamefika Dar ukubwani yanajifanya kuiponda Dodoma ,utafikiri yamezaliwa Dar kumbe mikoa ya pembezoni hukoMmhhh we ndio wale wale umezaliwa pwani,umesoma pwani,umeoa pwani mzaramo mwenzio,hujawahi kuvuka zaidi ya chalinze,Dodoma huijuhi.
Dodoma nyumba zinatafutwa kwa udi na uvumba,na soko,demand ya kupanga ni kubwa sana,
Mi mdau wa nyumba,kuanzia kisasa,area c,uzunguni,meliwa,mtumba,kote huku vyumba na nyumba zinatakiwa sana na mahitaji ni makubwa.
Usisikilize story za vijiweni.Tembelea Dodoma ujionee,fika eneo linaitwa kisasa ujionee,
Watu wanakuja wanaona nyumba,wanapanda dau wakupe 600K kwa mwezi,wachukue nyumba kwa miaka mitano,we amia kwingine!!
Kuipita Dsm sio kweli ila ndio litakuwa jiji labda linaloifuatia Dsm.Miaka 10 ijayo Dodoma itakuwa imeshaipita Dar....uwekezaji unaofanyika kule ni Mkubwa. Uwezekaji wa Dar ni watu binafsi tu. Dodoma serikali inawekeza, na watu binafsi wanawekeza.
We nawe [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji3][emoji6]!!!!Umekuja mbio na mapovu kibao lakini hujaweka ushahidi wowote to back up your story..
Hatutaiona Dodoma ikiiipita Dar katika miaka 100 ijayoMiaka 10 ijayo Dodoma itakuwa imeshaipita Dar....uwekezaji unaofanyika kule ni Mkubwa. Uwezekaji wa Dar ni watu binafsi tu. Dodoma serikali inawekeza, na watu binafsi wanawekeza.
Hivyo vyote ulivyotaja vinarekebishika kabisa.... kwani ni afadhali kuongezewa nguvu kuliko kusingefanyika kitu... kuipeleka Serikali Dodoma ndio kuibadili Dodoma...Ni upuuzi uliopitiliza kuwekeza mji mgumu kama Dodoma...nyumba hazina soko kabisa..wawekezaji aka shoppers plaza wanajuta manake manunuzi ni watumishi wa umma ambao matumizi yao ni ya msimu na wana nguvu ndogo...Bakharesa na Mo wameshindwa kuweka depot za maana Dodoma....maji hakuna,vumbi,mpauko...yule mwehu ametupa mateso sana
Sema patakuwa pazuri kuliko Shinyanga, Singida Songea lakini usiseme Dar.Hata Dsm ilishawahi kuwa na mzungumko mdogo wa pesa, shida yako unalinganisha mji wenye watu milioni 7 na wenye watu chini milioni moja.... haiiwezi kulingana. Lakini in a long run, utakuja kuwa na mzunguko mzuri wa fedha.
Makulu inabadilika kwa kasi sana, unajua balaha la Kisasa.... kisasa yote inaextend kuelekea makulu....Makulu ni uswahilini kichiz..hakuna hata baa au lodge ya maana....ni kama tandale flani
Huko ambako mvua zinanyesha, mbona ukifika wakati wake mnazichukia????Mambo yanajiset taratibu. Ila kiukweli Dodoma ni Jangwa, mvua hazinyeshagi. Hao wala bata wa serikali walijiadhibu wenyewe kurudi huko.
Chato na Dodoma sio sawa kabisa.... hivyo, uwekezaji wa Dodoma haujapoteza kuliko ChatoNi sawa na kujenga uwanja wakimataifa wa ndege kule Chato..sasa mnasubiri Chato ikue kiuchumi.!!!!
Dodoma kwa kisukuma ni chato, so pale ni chato tu...Alikuwa anasogea kuelekea Chato
Wazo zur I'la huduma hata kwa online ipatikane si lazima kufika mkoa flaniBasically hali ya hewa kwa kipindi Fulani cha mwaka sio nzuri sana!! Pia ilikuwa hakuna umuhimu sana kwenye dunia ya Mtandao kuwarundika na kuweka wizara zote sehemu moja!! Kwa mawazo ya walio wengi ingependeza wizara ziwe kama ifuatavyo; Hazina DSM, uvuvi Mwanza, Utalii Arusha, Uchukuzi DSM, Misitu Morogoro, Madini Geita, Tamisemi mama LA mawizara Dodoma, Elimu Dodoma, Muungano na Mambo ya nje DSM
Huo utakuwa ujinga wa Hali juu sana,mutu ana shida wizara ya Afya ,mfano wako ,hiyo iwe morogoro,akifika hapo anaambiwa tunahitanji hiki kutoka wizara ya elimu,Sasa wizara hiyo iwe kagera-bukoba huko,huoni kama ni usumbufu wajinga sana huo,nilishawahi kuomba uhamisho kutoka Kwa katibu mkuu(wizara fulani-siitaji),nikaambiwa nenda Kwa katibu mkuu tamisemi,Sasa fikiria Mmoja awe mtwara na mwingine awe kigoma na wewe uwe umetokea mara usumbufu unaoupata ukoje?,vitu vingine mfikiri kabla ya kutoa comment,wizara ukizitawanya hivyo raia na maskini ndo wataumia,ukifika hapa unaambiwa nenda wizara fulani kwanza,Sasa hapo ziwe mbalimbali utakufa na shida yakoBasically hali ya hewa kwa kipindi Fulani cha mwaka sio nzuri sana!! Pia ilikuwa hakuna umuhimu sana kwenye dunia ya Mtandao kuwarundika na kuweka wizara zote sehemu moja!! Kwa mawazo ya walio wengi ingependeza wizara ziwe kama ifuatavyo; Hazina DSM, uvuvi Mwanza, Utalii Arusha, Uchukuzi DSM, Misitu Morogoro, Madini Geita, Tamisemi mama LA mawizara Dodoma, Elimu Dodoma, Muungano na Mambo ya nje DSM
AhaaaIla ukweli unabaki palepale kwamba wanawake wa kigogo wengi wao wana mawowo....kama unabisha ingia soko la sabasaba kule kwa wale akina mama wanaochuuza mboga za majani......