Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wa hivyo kwao hawaendiFala wewe umetoka Musoma huko kuishi Dar unajiona na wewe ni Mzaramo pumbavu huna akili kabisa boys wewe limbuke mkubwa
Kwa nini hapo stesheni Dar au Nane nane stendi Dom au kule kwenu hao abilia hawatumii magari yao..?Si utumie gari yako mkuu??
Walowezi huwa hawarudi kwao mfano wale wazungu kule SA hata Ulaya hawakutakiWatu wa hivyo kwao hawaendi
Nikajua mna-dis kwasababu wenzetu hilo sio life lenu. .Kwa nini hapo stesheni Dar au Nane nane stendi Dom au kule kwenu hao abilia hawatumii magari yao..?
Sometimes muwe mnaangalia na vya kuwapostia watu kama waleta mada, hivi kwa akili yako unaona huyo jamaa ni wa level wa kulipia hizo lodge. We mtafutie geust house za buku tano, sasa dodoma hizo geust hakuna labda madanguro tu
Uelewa wako mdogo!.Nikajua mna-dis kwasababu wenzetu hilo sio life lenu. .
Sawa mwalimu wangu....Uelewa wako mdogo!.
Njia rahisi ya kujua kama dodma kuna mzunguko kwanza ni kuangalia idadi ya abiria wanaoingia kwa siku kutokea sehem kama dar na mikoa mingine. Kwa mtu ambaye alipita dodoma miaka ya nyuma anaweza dhani pamelala, ni wajinga wachache sana wamebaki na hiyo misemo kuwa dodoma hakuna movement. Kuna lodge zilizopo hazitoshi kulingana na idadi ya wageni wanaongia na kutoka . Nyumba ni chache sana kadri siku zinavyozidi kwenda mbele zinakuwa adimu sana sababu watu wanazidi ongezeka. Benki zinazidiwa. Ni dodoma tu ambako utakutana na tawi la crdb ambalo yamepishana mitaa na yote foleni lake la kufa mtu.Kabisa vyuo vikifungwa tu dodoma biashara zina chacha
Sure hata huduma kama maji imekua tatizoWatu wanakimbilia hapo katikat ya mji ndo maana
Hata mimi ndio nashangaa kwanza Dodoma kuna vyuo kibao, unakosa hata wanafunzi.
UDOM
Hombolo
Saint John
You nailed it. Mwanzo nilikuwa na mawazo ya kama mleta mada tulipohamishiwa dom niliaumu mpaka basi, ikawa kila weekend nipo dar baadae wife nae akahamia dom, miaka ya 2018 hiyo. Basi nikanunua nzuguni eka mbili kwa 1mil. Mwaka jana huu sqm 900 kwa milion 5 kwa viwanja vyote nikala mil 50. Halafu mtu aje ananiambie nihame dom. Kila nikiingia dar natoka vipele vya joto. Watu wamekariri stori za vijiwen.Mimi nimeishi Dsm na wazazi wangu wapo huko, now naishi Dodoma,ila Dsm ina sifa mbili ambazo sijawahi kuzizoea, joto + foleni... watu wanapoteza muda mwingi sana barabarani.... sehemu ya KM 10 unawezatumia masaa mawili mpaka ma3... hali ya hewa ndio hovyooo kabisaaaa. Huwa nikipangiwa safari ya kwenda Dar nachukia sana, siwezi kutembea bila leso...mji wa hovyo kabisa.
Sasa kwanini dodoma isiwe makao makuu, hangaya anapenda tuu kukaa dar ila maamuzi ya kuhamia dodoma yalikuwa sahihi
Unaijua Israel? Inaijua Dubai, inaijua Saudi Arabia, unaijua Egypt? Hiyo ni nchi za jangwa lakini hatuzifikii kwa maendeleo. Human being is a controller to the environmentmji wa jangwa Dom,
Stragetical # strategical.STRAGETICAL DOM HAPAFAI HAPAFAI HAPAFAI PALILAZIMISHWA TU NA HUU NDIO UKWELI HALISI LETS NATURE LEADS AND SHOW THE WAYS
Naishi Dodoma (siyo mzawa), ukweli ni kuwa bei ya nyumba iko juu sana, na waliowekeza kwenye nyumba wanapata pesa nzuri tu. Kuna changamoto za kufanyia kazi kama barabara na mazingira, ila kwa uwekezaji unaoendelea Dodoma, ndani ya miaka 10 Dodoma itakuwa kitu kingine. Wale wenye uwezo wa kuwekeza wanunue hata viwanja watulie, baadae itajakuwa kama wale wazee wetu waliopewa viwanja vya bure maeneo ya Sinza, wakakataa wakisema ni porini.Ni upuuzi uliopitiliza kuwekeza mji mgumu kama Dodoma...nyumba hazina soko kabisa..wawekezaji aka shoppers plaza wanajuta manake manunuzi ni watumishi wa umma ambao matumizi yao ni ya msimu na wana nguvu ndogo...Bakharesa na Mo wameshindwa kuweka depot za maana Dodoma....maji hakuna,vumbi,mpauko...yule mwehu ametupa mateso sana