Wale mliokimbilia kujenga Dodoma poleni sana

Wale mliokimbilia kujenga Dodoma poleni sana

Naishi Dodoma (siyo mzawa), ukweli ni kuwa bei ya nyumba iko juu sana, na waliowekeza kwenye nyumba wanapata pesa nzuri tu. Kuna changamoto za kufanyia kazi kama barabara na mazingira, ila kwa uwekezaji unaoendelea Dodoma, ndani ya miaka 10 Dodoma itakuwa kitu kingine. Wale wenye uwezo wa kuwekeza wanunue hata viwanja watulie, baadae itajakuwa kama wale wazee wetu waliopewa viwanja vya bure maeneo ya Sinza, wakakataa wakisema ni porini.
Ok
 
Njia rahisi ya kujua kama dodma kuna mzunguko kwanza ni kuangalia idadi ya abiria wanaoingia kwa siku kutokea sehem kama dar na mikoa mingine. Kwa mtu ambaye alipita dodoma miaka ya nyuma anaweza dhani pamelala, ni wajinga wachache sana wamebaki na hiyo misemo kuwa dodoma hakuna movement. Kuna lodge zilizopo hazitoshi kulingana na idadi ya wageni wanaongia na kutoka . Nyumba ni chache sana kadri siku zinavyozidi kwenda mbele zinakuwa adimu sana sababu watu wanazidi ongezeka. Benki zinazidiwa. Ni dodoma tu ambako utakutana na tawi la crdb ambalo yamepishana mitaa na yote foleni lake la kufa mtu.
Mpaka equity wanafoleni dodoma.
Ni dodoma pekee ambako abiria hawaangalii bei ila huduma, dodoma happy nation ni ngalangala lakini mwanza ni luxury. Dodoma bila basi la choo ndani unafunga biashara.
Sasa fursa zilizopo dom
Kuna uhaba wa nursery shule za private ni chache wakat mahitaji ni mengi, mleta mada hujaiona hiyo fursa? Au unataka fursa za kutembeza vyombo.
Ujenzi upo kwa spind anzisha kabiashsra katofari kama una hela, sisi tunajua huna
Mahindi mengi sana kibaigwa sagisha unga safirisha kwenda dar utawapiga gepu wale wasongea ambao kusafirisha kwa tani wanalipa 120000 wakati dom ni 30000 na utofauti bei ni 100. Yaan dom mahind sasa hivi ni 60000 wakat songea ni 50000 ila kusafirisha mahind toka songea dar utahitaji 3600000 kwa tani 30 wakat dom utalipia 900000. Utofauti wa 1.7mil.

Tafuta hela we bwege uache kuishi kwenye nyumba za uridhi
Mh
 
Basically hali ya hewa kwa kipindi Fulani cha mwaka sio nzuri sana!! Pia ilikuwa hakuna umuhimu sana kwenye dunia ya Mtandao kuwarundika na kuweka wizara zote sehemu moja!! Kwa mawazo ya walio wengi ingependeza wizara ziwe kama ifuatavyo; Hazina DSM, uvuvi Mwanza, Utalii Arusha, Uchukuzi DSM, Misitu Morogoro, Madini Geita, Tamisemi mama LA mawizara Dodoma, Elimu Dodoma, Muungano na Mambo ya nje DSM
Hii ni nzuri ila kwa Nchi maskini ni hasara,Wizara nyingi zinategemeana maana yake kuna kuwa na vikao vya kimenejiment vya Mara kwa Mara itahitajika ma official kupishana angani kila siku.
 
Wewe ni mchaga pori!


Wewe John Mnyarukolo mbona unapendaga kuwahusudu sana wachaga?

Wamekukoseaga nini?

Ulipoanza kulinganisha mkoa wa Dodoma na Kilimanjaro nikajua tayari husuda zako zidi ya wachaga kama kawaida, mara kweli ona umeamua kuwataja [emoji848][emoji848]

Sasa hebu tafakari kuna uhusiano gani wa mada inayojadiliwa zidi ya kile ulichoandika cha mchaga?

Yohana bana duuh wapende tu ni waTZ wenzetu.
 
Hii ni nzuri ila kwa Nchi maskini ni hasara,Wizara nyingi zinategemeana maana yake kuna kuwa na vikao vya kimenejiment vya Mara kwa Mara itahitajika ma official kupishana angani kila siku.
Hapana ndugu, serekali imewekeza sana kwa serekali mtandao hizi zoom na aina hizo za communication tools zipo vizuri, ukisafiri ni just kupoteza muda
 
Njia rahisi ya kujua kama dodma kuna mzunguko kwanza ni kuangalia idadi ya abiria wanaoingia kwa siku kutokea sehem kama dar na mikoa mingine. Kwa mtu ambaye alipita dodoma miaka ya nyuma anaweza dhani pamelala, ni wajinga wachache sana wamebaki na hiyo misemo kuwa dodoma hakuna movement. Kuna lodge zilizopo hazitoshi kulingana na idadi ya wageni wanaongia na kutoka . Nyumba ni chache sana kadri siku zinavyozidi kwenda mbele zinakuwa adimu sana sababu watu wanazidi ongezeka. Benki zinazidiwa. Ni dodoma tu ambako utakutana na tawi la crdb ambalo yamepishana mitaa na yote foleni lake la kufa mtu.
Mpaka equity wanafoleni dodoma.
Ni dodoma pekee ambako abiria hawaangalii bei ila huduma, dodoma happy nation ni ngalangala lakini mwanza ni luxury. Dodoma bila basi la choo ndani unafunga biashara.
Sasa fursa zilizopo dom
Kuna uhaba wa nursery shule za private ni chache wakat mahitaji ni mengi, mleta mada hujaiona hiyo fursa? Au unataka fursa za kutembeza vyombo.
Ujenzi upo kwa spind anzisha kabiashsra katofari kama una hela, sisi tunajua huna
Mahindi mengi sana kibaigwa sagisha unga safirisha kwenda dar utawapiga gepu wale wasongea ambao kusafirisha kwa tani wanalipa 120000 wakati dom ni 30000 na utofauti bei ni 100. Yaan dom mahind sasa hivi ni 60000 wakat songea ni 50000 ila kusafirisha mahind toka songea dar utahitaji 3600000 kwa tani 30 wakat dom utalipia 900000. Utofauti wa 1.7mil.

Tafuta hela we bwege uache kuishi kwenye nyumba za uridhi
1.Foleni kubwa bank sio utibitisho wa kuwa na wateja wengi. Bank nyng hapa Tz hasa hizi traditionalbanks zina huduma mbovu na za kimazoea. Usishangae kwenda bank unakuta foleni ndeefu ya watu kumbe wote wamefata bank statement na wameambiwa mtandao unasumbua kwa hyo wasubiirie na wanaweza kaa hata masaa mawili. (Huwa na najiuliza department ya IT kwny hz bank inafanya kaz gan?

*Hvyo unaweza kuta watu wako bank kwa sabab wanasubr huduma flan over a time kwa hyo wanarundikana na kuonekana wengi lakn kama wangehudumiwa na kuondoka huwez kuta hata watu wa5 kwny foleni

2.Basi za luxury dodoma ni Shabiby, ABC na kimbinyiko only. Hyo happy nation unayozungumzia ur utterly wrong.
 
Unaijua Israel? Inaijua Dubai, inaijua Saudi Arabia, unaijua Egypt? Hiyo ni nchi za jangwa lakini hatuzifikii kwa maendeleo. Human being is a controller to the environment
Human being is a controller to the environment

Remove "TANZANIAN" from that human being
 
1.Foleni kubwa bank sio utibitisho wa kuwa na wateja wengi. Bank nyng hapa Tz hasa hizi traditionalbanks zina huduma mbovu na za kimazoea. Usishangae kwenda bank unakuta foleni ndeefu ya watu kumbe wote wamefata bank statement na wameambiwa mtandao unasumbua kwa hyo wasubiirie na wanaweza kaa hata masaa mawili. (Huwa na najiuliza department ya IT kwny hz bank inafanya kaz gan?

*Hvyo unaweza kuta watu wako bank kwa sabab wanasubr huduma flan over a time kwa hyo wanarundikana na kuonekana wengi lakn kama wangehudumiwa na kuondoka huwez kuta hata watu wa5 kwny foleni

2.Basi za luxury dodoma ni Shabiby, ABC na kimbinyiko only. Hyo happy nation unayozungumzia ur utterly wrong.
Exactly
 
Wewe John Mnyarukolo mbona unapendaga kuwahusudu sana wachaga?

Wamekukoseaga nini?

Ulipoanza kulinganisha mkoa wa Dodoma na Kilimanjaro nikajua tayari husuda zako zidi ya wachaga kama kawaida, mara kweli ona umeamua kuwataja [emoji848][emoji848]

Sasa hebu tafakari kuna uhusiano gani wa mada inayojadiliwa zidi ya kile ulichoandika cha mchaga?

Yohana bana duuh wapende tu ni waTZ wenzetu.
Duh
 
1.Foleni kubwa bank sio utibitisho wa kuwa na wateja wengi. Bank nyng hapa Tz hasa hizi traditionalbanks zina huduma mbovu na za kimazoea. Usishangae kwenda bank unakuta foleni ndeefu ya watu kumbe wote wamefata bank statement na wameambiwa mtandao unasumbua kwa hyo wasubiirie na wanaweza kaa hata masaa mawili. (Huwa na najiuliza department ya IT kwny hz bank inafanya kaz gan?

*Hvyo unaweza kuta watu wako bank kwa sabab wanasubr huduma flan over a time kwa hyo wanarundikana na kuonekana wengi lakn kama wangehudumiwa na kuondoka huwez kuta hata watu wa5 kwny foleni

2.Basi za luxury dodoma ni Shabiby, ABC na kimbinyiko only. Hyo happy nation unayozungumzia ur utterly wrong.
Ok nambie basi luxury arusha
 
1.Foleni kubwa bank sio utibitisho wa kuwa na wateja wengi. Bank nyng hapa Tz hasa hizi traditionalbanks zina huduma mbovu na za kimazoea. Usishangae kwenda bank unakuta foleni ndeefu ya watu kumbe wote wamefata bank statement na wameambiwa mtandao unasumbua kwa hyo wasubiirie na wanaweza kaa hata masaa mawili. (Huwa na najiuliza department ya IT kwny hz bank inafanya kaz gan?

*Hvyo unaweza kuta watu wako bank kwa sabab wanasubr huduma flan over a time kwa hyo wanarundikana na kuonekana wengi lakn kama wangehudumiwa na kuondoka huwez kuta hata watu wa5 kwny foleni

2.Basi za luxury dodoma ni Shabiby, ABC na kimbinyiko only. Hyo happy nation unayozungumzia ur utterly wrong.
Nakuongezea kuna baraka classic, bm
 
Miaka 10 ijayo Dodoma itakuwa imeshaipita Dar....uwekezaji unaofanyika kule ni Mkubwa. Uwezekaji wa Dar ni watu binafsi tu. Dodoma serikali inawekeza, na watu binafsi wanawekeza.
Nakukumbusha tu hakuna mji duniani serikari imewekeza pekee ikaishinda majiji ya biashara. Mfano Beijing haijaishinda Shanghai, Abuja hajaishinda Lagos, Cape town na Johansburg hivyo hio ni ndoto ya alinacha.
 
Back
Top Bottom