Wale mliokimbilia kujenga Dodoma poleni sana

Mimi dodoma nimeishi napajua vizuri
Ila ukweli ni kwamba dodoma ni kugumu na mzunguko wa hela ni mdogo
 
Exactly
 
Tatizo lako huoni mbali.... unaangalia na kunaona kwa urefu wa pua yako😂🤣😹
 
Dodoma ni mji mzuri sioni ubaya wake kihivyo. Pia kuhusu nyumba , Dodoma Kuna uhaba mkubwa wa nyumba na gharama za kupanga ni kubwa Sana.
Nyumba ya kawaida tu si chini ya 300k
Na hii haijatokana na serikali kuhamia huko bali ndio maisha ya huko yalivyo kwa muda mrefu.
Dodoma ni mji wa gharama Sana
Pia kuhusu Dar, watu wote hawawezi kuishi dar. Watu wapo wanafanya kazi namanyere, kalambo, tandahimba, buhigwe, ngara, uvinza n.k na maisha yanaenda vizuri tu.
Wote hao wakiwa na mawazo Kama yako basi hakutakua na Maendeleo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…