Mpemba Mimi
JF-Expert Member
- Jul 6, 2013
- 1,656
- 2,483
Miaka 10 ijayo Dodoma itakuwa imeshaipita Dar....uwekezaji unaofanyika kule ni Mkubwa. Uwezekaji wa Dar ni watu binafsi tu. Dodoma serikali inawekeza, na watu binafsi wanawekeza.Mtu ambaye haoni fursa ya kuwekeza Dodoma naweza nikasema, ana macho ya kimasikini au hajawahi kutembelea miji mikubwa Duniani....
Dodoma in next 10 to 30 years itakuwa kama mji Mkuu wa Botswana...
Wabongo ni watu WA kukata Tamaa mapema Sana,mtoa mada ameshindwa kuona kesho itakuaje sidhani kama Dodoma kuendelea kwasababu baada ya miaka mitano ijayo huo mji utapiga hatua kubwa za kimaendeleo alafu sikuzote ardhi ni Mali na hata hao ambao wamejenga Huko Dodoma bado hawajapoteza pesa zao...Alokuambia nyumba za Dodoma hazina wapangaji sehemu gani?acha basi hoja za hovyo au lengo mumkashifu tu mtawala aliyepita?
Vitu vingine havipendezi mtu mzima kudanganya...Dodoma hii ht kama Rais wa sasa ameikacha lakini bado mahitaji ya nyumba ni makubwa....
Acha uongo!!
Sasa yeye si amezoea Bahari...Amezaliwa kwenye bahari, amekulia huko, akasoma hukohuko kwenye bahari...maisha yake mengi ameishi karibu na bahari....ndio maana anapenda maeneo yalio karibu na bahari...ni haki yake....Sasa kwanini dodoma isiwe makao makuu, hangaya anapenda tuu kukaa dar ila maamuzi ya kuhamia dodoma yalikuwa sahihi
Mtoa Uzi acha bias, Dodoma kuchele aisee fanya uende ukajionee mitaa you ipo full ...makulu sijui wapi na wapiKipindi Serikali au mtu mmoja aliyeamua katangaza Dodoma kama makao makuu kwa maslai yake, watu wa Mikoani wakakurupuka kutoka huko kwenda kuwekeza Dodoma, sasa mambo yamekuwa magumu wanalalamika [emoji3] biashara zimekuwa ngumu na ni za msimu.
Nyumba walizojenga hazina wapangaji yaani mambo ni tafrani apeche alolo
Watu waliokimbilia huko wanalia wanapauka kwa vumbi na jua, Maji yamejaa chumvi hata kuyanywa ni shida
Ndo mkome kukurupuka kama chafya bila kufikiria.
Hizo nyumba zibebeni mzilete huku kigamboni [emoji4]
Unakimbia Dar unaenda kuwekeza Dodoma sehemu ngumu vile una akili kweli bora ungeenda kuwekeza Arusha, Mwanza, Moshi, Mbeya, Dar
Umeona kigambano ndio wanakaa wajanja shida yako wewe ni mshamba sanaMimi Dodoma nikafate nini huko Jangwani
Hivi kweli nihame kigamboni niende dodoma si ntakuwa na malaria iliyopanda kichwani
Mwambie Mikoani kuna pesaUkiishi Dar unakuwa na akili kwamba pesa zote zipo Dar huko mikoani kuna watu wanapesa na hata hawana kelele
Ni upuuzi uliopitiliza kuwekeza mji mgumu kama Dodoma...nyumba hazina soko kabisa..wawekezaji aka shoppers plaza wanajuta manake manunuzi ni watumishi wa umma ambao matumizi yao ni ya msimu na wana nguvu ndogo...Bakharesa na Mo wameshindwa kuweka depot za maana Dodoma....maji hakuna,vumbi,mpauko...yule mwehu ametupa mateso sanaAlokuambia nyumba za Dodoma hazina wapangaji sehemu gani?acha basi hoja za hovyo au lengo mumkashifu tu mtawala aliyepita?
Vitu vingine havipendezi mtu mzima kudanganya...Dodoma hii ht kama Rais wa sasa ameikacha lakini bado mahitaji ya nyumba ni makubwa....
Acha uongo!!
Mkuu kwa nini kupangia watu maisha, kama wewe umejenga Dar wengine wanaona Dodoma panawafaa......Kipindi Serikali au mtu mmoja aliyeamua katangaza Dodoma kama makao makuu kwa maslai yake, watu wa Mikoani wakakurupuka kutoka huko kwenda kuwekeza Dodoma, sasa mambo yamekuwa magumu wanalalamika [emoji3] biashara zimekuwa ngumu na ni za msimu.
Nyumba walizojenga hazina wapangaji yaani mambo ni tafrani apeche alolo
Watu waliokimbilia huko wanalia wanapauka kwa vumbi na jua, Maji yamejaa chumvi hata kuyanywa ni shida
Ndo mkome kukurupuka kama chafya bila kufikiria.
Hizo nyumba zibebeni mzilete huku kigamboni [emoji4]
Unakimbia Dar unaenda kuwekeza Dodoma sehemu ngumu vile una akili kweli bora ungeenda kuwekeza Arusha, Mwanza, Moshi, Mbeya, Dar
Hakuna kitu kama hicho...Dom haiwezi julian kiuchumi sababu hakuna vichocheo vyovyote....ukiona mji hakuna wachina wala wazungu ujue ni pakishenziMtu ambaye haoni fursa ya kuwekeza Dodoma naweza nikasema, ana macho ya kimasikini au hajawahi kutembelea miji mikubwa Duniani....
Dodoma in next 10 to 30 years itakuwa kama mji Mkuu wa Botswana...
Labda kama una deal na wanafunzi na watumishi ...ndiyo utatoboa DodmaHii nakataa nina shughuli nafanya dom, mzunguko wa pesa popote pale hutegemea unachofanya. Hata dar unapoona Kuna mzunguko mkubwa, Kuna watu wanafeli na kufunga biashara.
Mi niliwekeza Dom na Chato..nilichukua mkopo sasa nasubiri nyumba yangu iuzwe na benkiHivi kuna watu walienda kuwekeza chato? Au unaongea jokes?
Kama ni kweli basi Bora walionda kujenga Dodoma kuliko hao
Uwekezaji wa miundo mbinu?wakati hakuna cha bandari,viwanda,utalii,etc?Miaka 10 ijayo Dodoma itakuwa imeshaipita Dar....uwekezaji unaofanyika kule ni Mkubwa. Uwezekaji wa Dar ni watu binafsi tu. Dodoma serikali inawekeza, na watu binafsi wanawekeza.
Dodoma hakuna vichocheo vya kiuchumi..maendeleo yatatoka wapi?Wabongo ni watu WA kukata Tamaa mapema Sana,mtoa mada ameshindwa kuona kesho itakuaje sidhani kama Dodoma kuendelea kwasababu baada ya miaka mitano ijayo huo mji utapiga hatua kubwa za kimaendeleo alafu sikuzote ardhi ni Mali na hata hao ambao wamejenga Huko Dodoma bado hawajapoteza pesa zao...
Maana ya uwekezaji ni kurisk maisha
Makulu ni uswahilini kichiz..hakuna hata baa au lodge ya maana....ni kama tandale flaniMtoa Uzi acha bias, Dodoma kuchele aisee fanya uende ukajionee mitaa you ipo full ...makulu sijui wapi na wapi
Mpaka leo hakuna wachina wala wazungu wawekezajiMkoloni pamoja na kuipenda Tanzania na wizi wake ,hakuna sehemu inayoonyesha aliwahi kuishi dodoma,wenyewe wagogo wako dar wanaomba