Wale mliooa wake zenu wakiwa na zaidi ya miaka 30 na wadada mlioolewa mkiwa na zaidi ya miaka 30 pia, karibuni kwa maoni na uzoefu wenu

Na mtakwisha kweli. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi si unajuaga akili zangu?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ratiba zitakavyoenda ndo hivyohivyo aisee..
Kwanza hapa nastruggle kutafuta hela..yaani hata nigonge 30 Sina hela basi ntaendelea tu kutafuta kwanza..
Wanaoongea waache tu wataongea.

Japo sitegemei kufika 30 nikiwa bado Sina chochote.
 
Hem fikiria wale ulioenda nao shule kuanzia vidudu.

*Wapo hawakumaliza hata la saba.
*Wapo wakaishia form 2
*Wapo wakaishi form 4
*Wapo wakimaliza six wakaingia mtaani.
*Wapo walifika chuo.
*Wapo wakimaliza chuo na first appointments za uhakika, maisha safi, vipato vya uhakika
*Wapo wanaenda interview kila wiki.
*Wapo hata interview hawaitwi.

Life's not a bed of roses asee! Na kila mtu ana barabara yake hadi afikie kupigwa chepe. Sad!
 
Kwan ni lazma kuoa au kuolewa mi nazan vtu vingne tunavikuza tu na havina maana sana kuoa au kuolewa ni steji ya maisha ila sio lazma kla mtu aipitie

Kuna mada naionaga humu ya watu wanaokaa makwao ya wameshavukisha umri wa kukaa makwao 30’s
Mm sikai nyumaban ila nmeshuhudia na niona vijana weng tu wanakaa makwao wanafanya kazi nzuri wanaingiza mishahara au wanapata vipato vizuri wanalea familia zao baba mama na wadogo zao wanaokaa nao nyumban
Na pia nmeona vijana wengne wamepanga ila chakula cha mchana anakula kwao cha usku anakula kwao yy kwake anenda kulala tu na wakat mwingne ata wakiugua wanaenda kutibiwa makwao

Maisha kla mtu anamattzo yake ktk maisha na nazan kla mtu anautaratibu wake wa maisha ila kuna watu wanazani wao ndo wako sawa na wengne wanakosea kitu ambacho sio fair
Kwenye majumba aya tunapita watu wanachangamoto watu wanamambo yao sasa usizan unavyoishi ww na familia au jamii yako ndo kla mtu anaoshi ivyo
 
Kwa kweli kila mtu ana njia yake.
 
Duh aisee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119]
Yaani jf[emoji23][emoji119]

Mtu anaanzisha Uzi mnaita mradi?
soma kwa ufahamu - KILANGA voice. Utaelewa intension za fanani πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£
 
Watoto 3, wakifikia umri wa balehe ndo itakuwa mbishano kuwa Mimi Ni mama yao, maana umri huo mtoto anakomaa chap chap, (halafu kutokana na umri wangu kuwa under 20 sikuzaa haraka nilisubirishwa mpk 20-21 ndipo nikapata first born)ila nilikuwa mbumbumbu sana hata uzazi wa mpango sikuwa naujua etiπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚, sishauri binti kuolewa ktk umri huo kabisa ni ya heri uolewe "mzee" 30......,,

Ni Afrika tu ndo kuna shida ya uzazi kwa wanawake wenye umri wa kuanzia miaka 35 napo Ni sababu ya miundo mbinu ya afya kuwa mibovu, labda na life style ya sasa,, wanawake mpk 45 wanazaa vizuri tu, mfano Ni mabibi zetu huko miaka ya nyuma vitinda mimba wao wengi waliwapata katika umri huo wa 42-46
 
Caught between a rock and a hard place πŸ˜‚. Yaani kote kote ni shida.
Duh! Ukweli mchungu
 
Kwa hiyo wawe wanatombwa tombwa hovyo hovyo. Ndoa ni heshima kwa mwanamke na ni ishara ya kuwa wanaume hawamfanyi hovyo hovyo au hafanywi kihole holela.
 
Fair ndoa zinautulivu mwingi sana sababu wote mnakuwa mmepevuka kiakili, ndoa changamoto ni chini ya 30 hapo mnaweza gombana kisa hukushusha tu neti
 
Binafsi naona hakuna shida yoyote ile ila tu hapa wote wawili muwe wakomavu wa akili na hisia. kingine msiwe tu wasikilizaji wa maneno ya ndugu huko nje.. Kuna mdada yuko in her 30's amedate na rafiki yangu mmoja wa karibu kwa muda kama 6 months ila sasa naona wameshamaliza taratibu za wazazi na hayo mengine kasoro ndoa tu.NB; Jamaa angu yeye ni 28yrs tu but ile kujitambua na kutake responsibility yuko safi. It is possible.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…