Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na mtakwisha kweli. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi si unajuaga akili zangu?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ratiba zitakavyoenda ndo hivyohivyo aisee..
Kwanza hapa nastruggle kutafuta hela..yaani hata nigonge 30 Sina hela basi ntaendelea tu kutafuta kwanza..
Wanaoongea waache tu wataongea.
Japo sitegemei kufika 30 nikiwa bado Sina chochote.