Wale mliooa wake zenu wakiwa na zaidi ya miaka 30 na wadada mlioolewa mkiwa na zaidi ya miaka 30 pia, karibuni kwa maoni na uzoefu wenu

Wale mliooa wake zenu wakiwa na zaidi ya miaka 30 na wadada mlioolewa mkiwa na zaidi ya miaka 30 pia, karibuni kwa maoni na uzoefu wenu

Mimi nina maoni tofauti kidogo.

Kwa nini tunaipa ndoa uzito mkubwa ambao haistahili.Kwani maisha bila ndoa hayawezekani?

Unamkuta dada wa watu mzuri tu na tabia yake safi lakini analiwa ovyo na wanaume wasioeleweka na wasiompenda kisa kutafuta ndoa. Tena wengine shida yao ni kuvaa shela tu awakoge kina Mwajuma Nchokonoe kwenye vijiwe vya umbea vya kisasa vya instagram na whatsapp.

Ladies you can make your life beautiful even in absence of marriage.
Naomba nitie neno hapa

"Ladies you can make your life beautiful even in absence of marriage."

Tatizo ni moja tu, wanawake wameumbwa na wivu pamoja na tamaa

Hivi vitu viwili vya wivu na tamaa ndivyo vinawasukuma wadada wengi kuangukia kwenye u-single mother.
 
Naomba nitie neno hapa

"Ladies you can make your life beautiful even in absence of marriage."

Tatizo ni moja tu, wanawake wameumbwa na wivu pamoja na tamaa

Hivi vitu viwili vya wivu na tamaa ndivyo vinawasukuma wadada wengi kuangukia kwenye u-single mother.
Hahahahah wivu una connect vp na tamaa
 
Hello wakuu!,

Happy Sunday to everyone, karibuni kwa maoni yenu, je ni kweli ukiwa above 30yrs kuna possibility ya kutokuolewa kwa wadada? Sababu ni nini, kwani suala la ndoa linazingatia umri na si upendo baina yenu mnaotarajia kuwa wanandoa? Mliooa na kuolewa katika umri huo je kuna tofauti yoyote mnayoiona ? Maisha yanaendaje ?ushauri wenu ni upi kwa wengine?.

Kumekua na maneno ya kutishana mitaani na hata baadhi ya threads humu kwamba mdada ukiwa na 30s ndiyo basi tenaa, sometimes hupelekea wadada kuolewa tu na mtu yeyote hata wasiyempenda sababu tu ya kigezo hicho kwamba she's in her 30s na anahofia atakosa ndoa.

Zamani mtaani kwetu nilikua nikisikia wakisema aunt fulani hajaolewa hadi leo, wanamshangaa, naona sasa kibao kimegeuka nimekua huyo aunt pia aah😂.

Karibuni na muwe na jpili njema...
ni kweli zingatia kuzaa watoto, kuchoka hasa kukosa mvuto mfano kifua ndala, hapo ukiwa 30 mnajipangia watoto only two kuna facts za hadi unaweza kujiona kopo
 
Maoni yako potofu mkuu.

Sio tunaipa ndoa uzito mkubwa ambao haistahili. Uhalisia ni kwamba ndoa hatuipi uzito mkubwa unayostahili. Ndoa ni jambo kubwa sana na Zito, lenye baraka tele katika maisha ya mtu.

Amebarikiwa sana yule ambae atapewa/ atapata mke/mume Bora.

Hapo juu haijasemwa atakaepata kimada au demu Bora. Imesemwa mke Bora bro.

Huyo dada mzuri na tabia yake safi hawezi kuliwa hovyo na vijana wasioeleweka. Ukimuona dada analiwa ovyo na vijana wasioeleweka ujue huyo hana hiyo tabia safi.

Unawadanganya wadada kwamba they can make their lives beautiful without marriage??? Hilo haliwezekani mkuu. Hao wadada unaowaona hawana ndoa na eti wana maisha beautiful basi wana-pretend tu lakini hawana furaha kabisa ya hayo maisha.

By the way mawazo yangu sio sheria
life is changing upatikanaji wa madanga, kipato na uwepo wa masangoma unawapa jeuri, kupita kiasi waume za watu kuchepuka nao kunawapa jeuri wadada, pamoja na yote bado Duniani Mwenye Raha ya kweli ni Mwanamke na Dunia ni yao
 
Hello wakuu!,

Happy Sunday to everyone, karibuni kwa maoni yenu, je ni kweli ukiwa above 30yrs kuna possibility ya kutokuolewa kwa wadada? Sababu ni nini, kwani suala la ndoa linazingatia umri na si upendo baina yenu mnaotarajia kuwa wanandoa? Mliooa na kuolewa katika umri huo je kuna tofauti yoyote mnayoiona ? Maisha yanaendaje ?ushauri wenu ni upi kwa wengine?.

Kumekua na maneno ya kutishana mitaani na hata baadhi ya threads humu kwamba mdada ukiwa na 30s ndiyo basi tenaa, sometimes hupelekea wadada kuolewa tu na mtu yeyote hata wasiyempenda sababu tu ya kigezo hicho kwamba she's in her 30s na anahofia atakosa ndoa.

Zamani mtaani kwetu nilikua nikisikia wakisema aunt fulani hajaolewa hadi leo, wanamshangaa, naona sasa kibao kimegeuka nimekua huyo aunt pia aah[emoji23].

Karibuni na muwe na jpili njema...
Sasa Aunt si ufanye uolewe
 
Wengi waliofikia umri kuanzia 30 huwa wana mtoto, haibani, titi limeanguka kiasi, na hushindwa kutawaliwa.
So, unaweza kuolewa hata ukiwa na 50 yrs ila huko mbele kunahijika bahati, na vigezo vya ziada
 
Hello wakuu!,

Happy Sunday to everyone, karibuni kwa maoni yenu, je ni kweli ukiwa above 30yrs kuna possibility ya kutokuolewa kwa wadada? Sababu ni nini, kwani suala la ndoa linazingatia umri na si upendo baina yenu mnaotarajia kuwa wanandoa? Mliooa na kuolewa katika umri huo je kuna tofauti yoyote mnayoiona ? Maisha yanaendaje ?ushauri wenu ni upi kwa wengine?.

Kumekua na maneno ya kutishana mitaani na hata baadhi ya threads humu kwamba mdada ukiwa na 30s ndiyo basi tenaa, sometimes hupelekea wadada kuolewa tu na mtu yeyote hata wasiyempenda sababu tu ya kigezo hicho kwamba she's in her 30s na anahofia atakosa ndoa.

Zamani mtaani kwetu nilikua nikisikia wakisema aunt fulani hajaolewa hadi leo, wanamshangaa, naona sasa kibao kimegeuka nimekua huyo aunt pia aah[emoji23].

Karibuni na muwe na jpili njema...
Wanawake Dunia imebadilika, tunachopitia leo kama jamii wazungu washapitia siku nyingi. Hakuna kitu kibaya kama mwanamke wa Karne ya 21 kutegemea malengo yake kwa mwanaume. Kwamba utapata mwanaume atakaekuhudumia, kukujengea nyumba ya kuishi n.k. Simama dada yangu jiamini unaweza kufika mbali bila mwanaume au ndoa. Jiongezee thamani wanaume tutakusumbua mpaka utachanganyikiwa hajalishi umri wako. Kuna wanawake wengi Wana maendeleo makubwa na hawajaolewa. Ndoa haitakiwi kuwa kipaumbele kiasi Cha kukupotezea focus ya maisha.
 
Wanawake Dunia imebadilika, tunachopitia leo kama jamii wazungu washapitia siku nyingi. Hakuna kitu kibaya kama mwanamke wa Karne ya 21 kutegemea malengo yake kwa mwanaume. Kwamba utapata mwanaume atakaekuhudumia, kukujengea nyumba ya kuishi n.k. Simama dada yangu jiamini unaweza kufika mbali bila mwanaume au ndoa. Jiongezee thamani wanaume tutakusumbua mpaka utachanganyikiwa hajalishi umri wako. Kuna wanawake wengi Wana maendeleo makubwa na hawajaolewa. Ndoa haitakiwi kuwa kipaumbele kiasi Cha kukupotezea focus ya maisha.
Focus ya maisha sio universal.
Kwa wengine ndoa ndio focus ya maisha.
 
nakumbuka wakati nasoma wamama wa mtaani. walikuwa wananishauri nivae gauni ndefu na kanga juu kujisitiri mwili kwani miaka 18 inakaribia ya kutakiwa kuolewa, nikawa navaa kwa heshima balaa, cha ajabu hiyo miaka ilipofika nilikuwa na stress za kufeli form four yaani nikitazama wenzangu wanarudi rikizo kutoka boding form five. afu mi nipo narisiti nilijihisi mbaya sana, kilichofuata nikakazabuti kwenye kitabu ili nami waniheshimu, mpk nafanikiwa kuingia chuo hadi namaliza ule umri wakuolewa ulishanitupa ndo kwanza naendea27...., 27-29 yrs ni mwaka wakusota na bahasha hapo wewe na boy wako mnasota na bahasha, inatimu31yrs mwenzio 35 ndo maisha mnaanza kuyakubali ya mtaani bila ajira mnafanya bizness ndogondogo ili ata unapomtambulisha lile swalila ANAFANYA KAZI GANI lipate jibu lake.


so acording to you mtoa mada fanya kulingana na uonavo sio waonavo swala la kuolewa mabinti tulishatishiwa tangu miaka 18.
ukiwa njia sahihi ndio mpango wenyewe. Kwenye hili kila mtu na fungu lake
 
Zamani kwa sasa gundu ni single mothers mi naona ukioa mwanamke mkubwa kama ivyo ndo best nataka awe hata 32 kamaliza michezo yote anajitambua

Ila single mothers sio wa kuoa kabisa
Wanawake wa 30s na 40s wanapendwa sana na senior brothers wenye vipato na wameoa, na hata wadada hao pia hutoka na married men, muhimu hapa ni aina ya maisha alooishi hadi unakutana nae, Nguzo ya Ndoa ni Uvumilivu, Subira na kutambua ndoa ni taasisi ya kudumu na sio daraja la kufika matakwa binafsi. Wengi hukosa sifa hizo pande zote
 
Back
Top Bottom