Wale mnaojidanganya na kujipa moyo kuwa Yanga SC leo anashinda huko Tunisia kutaneni hapa mtupe sababu zenu

# GENTAMYCINE ni mtu mkweli na anayeona mbali sana tuzidi kumwamini maana anasema yanga ni kama imeshatolewa hakika huyu ni mkweli kichwa nazi
 
Rudia tena na uongeze sauti
 
Bado una maoni yoyote ?
 
Hivi wewe huoni aibu tuu? Kila siku ramli zako zinagaragazwa hapa lakini umo tu.
 
MTANI BORA UNGEKAA KIMYA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…