Mbona ukimpata mwenye kaulewa kidogo ndoa inakuwa salama na amani na upendo tele kuliko hawa wanaojiita wasomi kushindana kwenye nyumba kila siku,Basi oa mama wa nyumbani awe house maid wako.
Ahsante mama, ujengewe sanamu kubwa kabisa poster🤣🤣🤣Shoga ndoo nambebea, namuogesha na zivu namnyoaa.
Sifanyii utumwa nafanyia mahaba. Hata nichokeje
Tujaribu kuvaa uhusika wa wanawake tutaona ugumu wanaopata.
Au wanaume tujifunze kuwasaidia kazi wake zetu tunaweza angalau kuona ugumu wa kazi hizo.
Mimi nakumbuka wakati wife analea mtoto wetu mchanga hatukuwa na binti wa kazi nilikuwa naamka saa kumi kasoro nakosha vyombo,nafua nguo,nadeki,nasafisha jiko,napika chai,natia maji chooni ya kutumia then saa mbili nakoga naenda kwenye ishu zangu,yeye wife anabaki anapambana na mtoto.
Tulikiiishi kipindi hiko bila binti wa kazi,lakini hizo kazi zote ningemuachia mzigo ungezidi kuwa mzito.
Uwiii kuku anapikwa na kinyeo duu pole ulitaka mama wa nyumbani sasa ukapata kilaza, [emoji41] angalia na watoto watakuwa hivyo hivyo tu.NGOMEKONGWE2021 - Tupo wengi, kiongozi. Mie pia watoto 4 kama wewe. Miaka 12 ya ndoa. Mama wa nyumbani. Tatizo hawezi kujifunza kitu.
Kila siku ni shida tupu ndani ya nyumba. Mfano, hawezi kutoa magamba ya samaki yakaisha yote kabla ya kumpika samaki. Chakula anavyonunua kwenye supermarket, ndivyo anavyokipika!
Anaweza kupika nyama ya kuku na kinyeo chake ama bado kuna kiasi fulani cha vinyoya!! Hata nikimweleza vipi, akili yake haishiki!! Hataki niwafundishe watoto. Nikiwakosoa watoto kwa namna ya kuwafundisha, anakuja juu.
Watoto wananiona mimi shetani na yeye malaika. Amejenga chuki kati yangu na watoto ambao bado ni wadogo tu. Sijawahi kumpiga ama kuchepuka lakini nilikwisha mwambia kuwa tungekuwa tunaoa mara ya 2, nisingemuoa tena. Sina hamu tena hata ya kulala naye.
🤣🤣🤣🤣🤣Kivipi mkuu, Mimi mwanaume anayetaka eti kubebewa ndoo bafuni sijui kupika daily na nimetoka kazini kwangu naona hafai kuwa mume, zama zimechange sikuhizi wooi
Familia masikini na wachawi na ushirikina humo humoKuzaliwa kwenye familia masikini.
We sasa unataka familia zote za ukanda wa pwani wasioleweHujajua dhana ya kuishi wewe, unawaza kirahisi mno kuliko uhalisia wa mambo yenyewe.
Halafu sio kila mwanaume anayepiga kelele anaogopwa na kuheshimiwa. Kwa taarifa yako mke wangu hathubutu hata kufanya hivyo kwakuwa anajua
Sawa.Mbona ukimpata mwenye kaulewa kidogo ndoa inakuwa salama na amani na upendo tele kuliko hawa wanaojiita wasomi kushindana kwenye nyumba kila siku,
Yaani vikao vya wanaume kutokuwaoa tu, piga mimba mkalee huko tutaoa baki tatu
WooooooiShoga ndoo nambebea, namuogesha na zivu namnyoaa.
Sifanyii utumwa nafanyia mahaba. Hata nichokeje
Asantee sana Mkuu ..Sasa katuma ile pesa nmerudi safari kila siku malizia basi nipate iphone nikaona huyu manzi hanijui nimempiga kalenda na hela ninayo ya kutosha mpaka now ameanza kuniambia ohh kama vipi tuachane ..nikamuambia kwakuwa simu ni muhimu kuliko mimi pita hivi now nina wiki nalala kwa mchepuko wangu hajaniona analia tu kwenye sms ..hawa viumbe ni waajabu sana asee mkuu[emoji28][emoji28]..hii comment nimecheka sn asee
Watu mnapitia magumu sn .Mkuu pole sn
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Jikaze bibie.Natamani ile siku niliyokutana na ile taqataqa ingefutika kwenye calendar isiwepo kabisa, 'maphisaqe mtseeuuw'..!
Nilizaa nae lakini Najuta na natamani nirudi nyuma nisawazishe nilipokosea, Ingawa tuliachana lakini kitendo cha kuacha alama pale huwa kinanipa mawazo sana.
Aisee!.Natamani ile siku niliyokutana na ile taqataqa ingefutika kwenye calendar isiwepo kabisa, 'maphisaqe mtseeuuw'..!