Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

Inafikirisha...

Hatahivyo story yako inawalakini.

1. Unataka uwekewe maji bafuni? Wewe kwako hauna private shower? Kwa jinsi ulivyoandika wewe ni mtu wa kipato cha kati. Unaishi wapi?

2. Kufuliwa. Umeshindwa kununua washing machine?
Acha mbwebwe na sifa za kihaya za kiboya, au umenunua Washing Machine juzi??

NI watanzania wangapi wenye Washing Machine?

Pia wapo Matajiri wengi tu wanaweka Shower kwny public bathrooms lakini kwny Bedroom hawatumii...its a matter of choice
 
Inafikirisha...

Hatahivyo story yako inawalakini.

1. Unataka uwekewe maji bafuni? Wewe kwako hauna private shower? Kwa jinsi ulivyoandika wewe ni mtu wa kipato cha kati. Unaishi wapi?

2. Kufuliwa. Umeshindwa kununua washing machine?
🙆🙆🙆Unazungumzia Watanzania gani hao?

kila mmoja awe na private shower?

washing machine?

Maelezo ya kusadikika haya

Upo Tz kweli au ni wale slay queen vichwa panzi akili kisoda 🤠
 
Acha mbwebwe na sifa za kihaya za kiboya, au umenunua Washing Machine juzi??

NI watanzania wangapi wenye Washing Machine?

Pia wapo Matajiri wengi tu wanaweka Shower kwny public bathrooms lakini kwny Bedroom hawatumii...its a matter of choice
Soma uelewe wewe kimburu.

1. Huyo jamaa anaonyesha ni mtu wa kipato cha kati. Hasa ukisoma maelezo yake, sasa ashindwe vipi kuwa na shower ahangaike kupelekewa maji bafuni? Unaakili wewe?

2. Kama upo Arusha town au miji mikubwa ni kawaida kuwa na washing mashine si ufahari au utajiri.

Umeelewa wewe fisi maji?
 
🙆🙆🙆Unazungumzia Watanzania gani hao?

kila mmoja awe na private shower?

washing machine?

Maelezo ya kusadikika haya

Upo Tz kweli au ni wale slay queen vichwa panzi akili kisoda 🤠
Huyo jamaa kutokana na maelezo yake inaonyesha ni mtu wakipato cha kati.

1. Kuwa na mashine washine nyumbani si ufahari. Inasaidia kurahisisha kazi zakufua. Pia si bei ghali kununua kulingana na ukubwa wa mashine.

2. Inaonyesha pengine story ya uongo au huyo jamaa hana mipango.
 
Wadau,

Nimekuja kugundua nilikosea kuoa baada ya kukaa kwenye ndoa miaka 15 na kupata watoto wanne. Dah nilijichanganya nikaoa a Corporate lady ambaye alikuwa mwanasheria kule Arusha, alikuwa ana vihela flani na connections za watu wazito ndani ya bongo....duh acha kabisa!

Nilikuja kujuta sana manake kazi zoote na mambo yooote ya nyumbani yalikuwa yanafanywa na mabeki tatu kuanzia Kufua nguo zangu, maji ya kuoga, kupika nk alikuwa hana time kabisa na nyumba yake. Hajui chochote kinachoendelea nyumbani kwake kila kitu anabishana na kushindana.

Mtu wa vikao vya dinner karibu kila siku. Miaka ya mwanzoni nilikuwa namdunda sana sana baadaye nikapataga kesi, wakati mwingine ilibidi niingie hasara ya kumpeleka hospitali na kumhudumia manake alikuwa na watoto wadogo.

Nikaamua kuingia kwenye pombe na michepuko ili nimpuuzie. Nikawa nampuuzia kama vile hayupo na yeye akanikazia, akazidisha kiburi na jeuri nikaanza tena kumdunda nikapata tena kesi kubwa manake ilikuwa nimuulie mbali.

Sasa baadaye nikafikiria sana watoto wangu tukafikia hatua ya kuachana na kukubaliana jinsi ya kuwalea watoto. Sasa tumeweka nguvu zoote katika kuwalea watoto na hali imekuwa shwari kabisa kila mtu anaishi kivyake baada ya talaka.

Najua kuna wale watakaosema tuishi nao kwa akili. Nilijitahidi kufanya hivyo kwa miaka 15 lakini ikashindikana manake ningeishia jela baada ya kumtoa uhai na watoto wangeteseka.

Bora iwe hivi hivi wote tupo wazima wa afya.

ALAMSIKI, DUH USIOMBE KUKOSEA KUOA BORA UKOSEE KUZALIWA

KARIBU NI WADAU WENZANGU MLIOKOSEA KUOA.
Pole
 
Yaani unampiga mkeo kisa hajapika au hajafua! Hivi sijui kwanini mnafananisha mwanamke anayetafuta pesa na anayeshinda nyumbani, mkae mkijua hawa ni wanawake wa aina mbili tofauti yaani hawatakaa wawe sawa, kama ambavyo mwanaume tajiri na mwanaume masikini hawako sawa kwenye hii dunia!

Mwanamke anayekusaidia wewe kutafuta pesa usitegemee ataweza kutimiza majukumu yake kikamilifu kama anavyofanya mama wa nyumbani, ninyi wenyewe si ndiyo mmetaka haya mambo ya kusaidiana maisha, kwa kukimbia majukumu yenu! Basi kama vipi oeni wanawake wasiosoma muwahudumie tu!
Hunaga akili we shangazi
 
Wadau,

Nimekuja kugundua nilikosea kuoa baada ya kukaa kwenye ndoa miaka 15 na kupata watoto wanne. Dah nilijichanganya nikaoa a Corporate lady ambaye alikuwa mwanasheria kule Arusha, alikuwa ana vihela flani na connections za watu wazito ndani ya bongo....duh acha kabisa!

Nilikuja kujuta sana manake kazi zoote na mambo yooote ya nyumbani yalikuwa yanafanywa na mabeki tatu kuanzia Kufua nguo zangu, maji ya kuoga, kupika nk alikuwa hana time kabisa na nyumba yake. Hajui chochote kinachoendelea nyumbani kwake kila kitu anabishana na kushindana.

Mtu wa vikao vya dinner karibu kila siku. Miaka ya mwanzoni nilikuwa namdunda sana sana baadaye nikapataga kesi, wakati mwingine ilibidi niingie hasara ya kumpeleka hospitali na kumhudumia manake alikuwa na watoto wadogo.

Nikaamua kuingia kwenye pombe na michepuko ili nimpuuzie. Nikawa nampuuzia kama vile hayupo na yeye akanikazia, akazidisha kiburi na jeuri nikaanza tena kumdunda nikapata tena kesi kubwa manake ilikuwa nimuulie mbali.

Sasa baadaye nikafikiria sana watoto wangu tukafikia hatua ya kuachana na kukubaliana jinsi ya kuwalea watoto. Sasa tumeweka nguvu zoote katika kuwalea watoto na hali imekuwa shwari kabisa kila mtu anaishi kivyake baada ya talaka.

Najua kuna wale watakaosema tuishi nao kwa akili. Nilijitahidi kufanya hivyo kwa miaka 15 lakini ikashindikana manake ningeishia jela baada ya kumtoa uhai na watoto wangeteseka.

Bora iwe hivi hivi wote tupo wazima wa afya.

ALAMSIKI, DUH USIOMBE KUKOSEA KUOA BORA UKOSEE KUZALIWA

KARIBU NI WADAU WENZANGU MLIOKOSEA KUOA.
Nimekuwa maskini kwa kukosea kuoa noma sana,Bora Bora kuoa kijijini Tena asiye soma!
 
Soma uelewe wewe kimburu.

1. Huyo jamaa anaonyesha ni mtu wa kipato cha kati. Hasa ukisoma maelezo yake, sasa ashindwe vipi kuwa na shower ahangaike kupelekewa maji bafuni? Unaakili wewe?

2. Kama upo Arusha town au miji mikubwa ni kawaida kuwa na washing mashine si ufahari au utajiri.

Umeelewa
Huyo uliyemwambia hivyo yupo Arusha au Dsm? Bora hata ungemwongelea mtu aliyeko Nairobi au J'burg sio Bongo

leave Pride away,
 
Mta ndio nini sasa wewe Kobe?

Hebu kwanza, kajifunze kuandika

Pili, Acha Ushamba

Tatu, Acha dharau, heshimu watu

Hayo yatakusaidia ukizingatia.
Mtu mwenye kipato cha kati ni rahisi kumiliki washing mashine, si ufahari.

Wewe hoja yako hapa ni nini?

Mtoa mada ameeleza mengi na ukimsoma utaona sababu za yeye kumlalamikia wife hazina mashiko sana kama angekuwa na mipango.

Wewe bwana wako huwa unampelekea maji bafuni na kumfulia?
 
Poleni sana wote mliopigwa na vitu vizito kwenye ndoa
 
Back
Top Bottom