Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

Pole Sana ....binadamu unabidi umtazame Kama mti ulivyo

-Matunda
-oxygen
-Kivuli

Ukiona binadamu amekosa mambo yote hayo matatu basi kuumia kujiumiza kuumizana hakukwepeki.
 
Miaka mitatu sasa mwanetu.
Upo humu utoe feedback? ile 120 ipo vilevile?
Tupe mrejesho mkuu, vipi vicheko bado vimetawala hapo nyumbani au unashinda bar kukimbia kelele za nyumbani?😄😄
Tuko vizuri wakuu , heshima imetawala kabisa binti hana makuu mimi pia najitahidi kuplay part yangu ,tumejaaliwa mtoto mmoja tayari.
Labda mambo yaje yaharibike mbeleni huko 😂😂
Ningewatajia kabila ila mtasema nina ubaguzi (natania).
 
Tuko vizuri wakuu , heshima imetawala kabisa binti hana makuu mimi pia najitahidi kuplay part yangu ,tumejaaliwa mtoto mmoja tayari.
Labda mambo yaje yaharibike mbeleni huko [emoji23][emoji23]
Ningewatajia kabila ila mtasema nina ubaguzi (natania).
[emoji23][emoji23]mkuu umetudisiapointi sana sisi tulitaka tusikie kuwa nyumban kwako saivi hakukaliki kumewaka moto, lkn wai ayu pruving asi wrong mkuu
 
[emoji23][emoji23]mkuu umetudisiapointi sana sisi tulitaka tusikie kuwa nyumban kwako saivi hakukaliki kumewaka moto, lkn wai ayu pruving asi wrong mkuu
Wanasema kati ya watu 10 walio kwenye 3 ndo wanafurahia ndoa zao ! Huenda mimi pia ni miongoni mwa hao watatu kaka 😂😂
Kila mtu na bahati yake bhana !
 
“Are you a learned? ” mmmh!!! Haya. Tuachane na hayo

My point is hakuna mwanamke difficult hata ushindwe mdhibiti as a real man,

Shida huja pale tunapo msujudu huyu mwanamke na kujihisi dhaifu mbele yake, na kwakufanya hivyo ndo ile sura ya uanaume hujivuka ndani yako,,,

Watu wanaoa ma president huko, sembuse mwanasheria? Ukitaka mwanamke akiendeshe atakuendesha tuu, ukitaka kuwa voiceless ndani ya nyumba utakuwa hivyo…

Na uanaume sio kipiga piga mwanamke km ngoma, mpaka ukifikia hapo jua kabisa kuna pahala ulibugi since day one..

Muumba alisema tuishi nao kwa akili watu hawa, km akili yako ndogo watakushinda tuu
[emoji16][emoji16]

Kwamba ww unaweza kumdhibiti kila ke? Hilo halipo. Huwezi kubadili tabia za mtu mzima na hizo ndio zinafanya ndoa nyingi kunvunjika.

Suruhisho, kama mwanaume ni kufanya assignment yako vizuri kabla hamjaoana, kuhakikisha mchumba wako ni managable + utamhandle. Ukishakosea hii hatua basi uko mbolo n visa baada ya visa
 
Wadau,

Nimekuja kugundua nilikosea kuoa baada ya kukaa kwenye ndoa miaka 15 na kupata watoto wanne. Dah nilijichanganya nikaoa a Corporate lady ambaye alikuwa mwanasheria kule Arusha, alikuwa ana vihela flani na connections za watu wazito ndani ya bongo....duh acha kabisa!

Nilikuja kujuta sana manake kazi zoote na mambo yooote ya nyumbani yalikuwa yanafanywa na mabeki tatu kuanzia Kufua nguo zangu, maji ya kuoga, kupika nk alikuwa hana time kabisa na nyumba yake. Hajui chochote kinachoendelea nyumbani kwake kila kitu anabishana na kushindana.

Mtu wa vikao vya dinner karibu kila siku. Miaka ya mwanzoni nilikuwa namdunda sana sana baadaye nikapataga kesi, wakati mwingine ilibidi niingie hasara ya kumpeleka hospitali na kumhudumia manake alikuwa na watoto wadogo.

Nikaamua kuingia kwenye pombe na michepuko ili nimpuuzie. Nikawa nampuuzia kama vile hayupo na yeye akanikazia, akazidisha kiburi na jeuri nikaanza tena kumdunda nikapata tena kesi kubwa manake ilikuwa nimuulie mbali.

Sasa baadaye nikafikiria sana watoto wangu tukafikia hatua ya kuachana na kukubaliana jinsi ya kuwalea watoto. Sasa tumeweka nguvu zoote katika kuwalea watoto na hali imekuwa shwari kabisa kila mtu anaishi kivyake baada ya talaka.

Najua kuna wale watakaosema tuishi nao kwa akili. Nilijitahidi kufanya hivyo kwa miaka 15 lakini ikashindikana manake ningeishia jela baada ya kumtoa uhai na watoto wangeteseka.

Bora iwe hivi hivi wote tupo wazima wa afya.

ALAMSIKI, DUH USIOMBE KUKOSEA KUOA BORA UKOSEE KUZALIWA

KARIBU NI WADAU WENZANGU MLIOKOSEA KUOA.
Wanawake wakuoa wapo nitafutie bia nne nikufundishe ndugu huyo alikuwa mwewe
 
Sasa baadaye nikafikiria sana watoto wangu tukafikia hatua ya kuachana na kukubaliana jinsi ya kuwalea watoto. Sasa tumeweka nguvu zoote katika kuwalea watoto na hali imekuwa shwari kabisa kila mtu anaishi kivyake baada ya talaka.
Yaani kama ulikosea na ukazaa naya basi hili ni kosa la Pili.

Namna ya kuacha watoto bila Baba yaani unaona bora uvumilie tu.

Lakini huwa tunawambia mnatuona sisi waahamba tumepitwa na wakati.

Ulitaka Corporate ladywenye pesa zake.

Vipi Pesa zake si ulizifaidi lakini?
 
Tuko vizuri wakuu , heshima imetawala kabisa binti hana makuu mimi pia najitahidi kuplay part yangu ,tumejaaliwa mtoto mmoja tayari.
Labda mambo yaje yaharibike mbeleni huko 😂😂
Ningewatajia kabila ila mtasema nina ubaguzi (natania).
Kaka, hana mdogo wake uniunganishe naye?

Au hata kama ana ndugu yake yeyote wa karibu...

I'm serious
 
Yeye ndo alikosea kuolewa na wewe.

Corporate women are not for the weak men.

Only Alphas can and believe me, a man can change a woman only if he is man enough.
A woman is a being full of confusions, she don't know even herself, today she can declare that " she loves you than her parents and there is no way can leave you, may be by death" & and tomorrow there come the declaration "I hate you than Satan" hahahaha...being masculinary enough isn't enough to control a woman if her true intentions to rebel have stood...so, take heed..take care of your health, love yourself, stand on what truth is, take hobbies, get busy, build yourself financially...care less about women, stop arguing with women, be a man enough to yourself.
 
“Are you a learned? ” mmmh!!! Haya. Tuachane na hayo

My point is hakuna mwanamke difficult hata ushindwe mdhibiti as a real man,

Shida huja pale tunapo msujudu huyu mwanamke na kujihisi dhaifu mbele yake, na kwakufanya hivyo ndo ile sura ya uanaume hujivuka ndani yako,,,

Watu wanaoa ma president huko, sembuse mwanasheria? Ukitaka mwanamke akiendeshe atakuendesha tuu, ukitaka kuwa voiceless ndani ya nyumba utakuwa hivyo…

Na uanaume sio kipiga piga mwanamke km ngoma, mpaka ukifikia hapo jua kabisa kuna pahala ulibugi since day one..

Muumba alisema tuishi nao kwa akili watu hawa, km akili yako ndogo watakushinda tuu
We ni mwanamke au mwanaume?
 
Watz wakiwemo wewe babako na mamako ee safi sasa toa hoja acha personal attacks af sku zote ulikuwa wapi uje kujibu leo yasiyokuhusu kukoza kazi nako ni kazi pole. Linda marinda
Mimi ni genius haswa ....mtu mwenye akili nyingi duniani....sasa jamaa kasema alimwezeshe huyo demu maana yake kabla ya kuoana ndiyo alimkuta duni ila alimwezesha na kumwinua hadi walipo fikia kuoana tayari demu alikuwa na uwezo na connection nyingi kutokana na kuwezeshwa na huyo jamaa ....sasa kakosea wapi au wewe kichwa chako ndiyo kina akili za kuchambia.
 
Mimi ni genius haswa ....mtu mwenye akili nyingi duniani....sasa jamaa kasema alimwezeshe huyo demu maana yake kabla ya kuoana ndiyo alimkuta duni ila alimwezesha na kumwinua hadi walipo fikia kuoana tayari demu alikuwa na uwezo na connection nyingi kutokana na kuwezeshwa na huyo jamaa ....sasa kakosea wapi au wewe kichwa chako ndiyo kina akili za kuchambia.
SAwa njoo bas nikupakate nikuchambishe kiongozi tumia akili zako genius kulinda Marinda
 
SAwa njoo bas nikupakate nikuchambishe kiongozi tumia akili zako genius kulinda Marinda
Uliza kwanza mimi ni nani humu JF sifanyaki kazi za kulinda marinda kaziyangu ni kupasua mrinda yenu walinda marinda yahee ...achana na kulinda marinda yako leta tuya tafune mabasha tupo ...
 
Back
Top Bottom