Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

Acha ku justify ujinga wako, kuna mwanasheria analipwa chini ya laki? Ulisema alikuwa na vipesa na connection na watu wazito, now unasema hakukuzid chochote,

Inferiority complex ilikutafuna ndugu kunakitu hilo,

She was smart than you, hustling than your, na zile maneno za mtaani kwamba jamaa anafugwa n mkewe zilitosha kukukimbiza..

Na inshort ww ni most victim kwny hiyo break up, tht why u find so hardly to move on,

That why Umekuja kutafuta relief hapa, and with doubts why keep talking her personal weakness/problems n you forget to mention yours?

Kaoe standard 7 utaenjoy
Are you a learned? Pamoja na mapungufu ya maelezo ya mtoa mada, wanasheria wanawake ni kazi sana kuendana nao katika ndoa
 
Aya ya kwanza unasema ulioa akiwa corporate lady mwanasheria mwenye connection then badae unasema wewe ndo ulimlink na kumsomesha kitu ambacho kinapingana na mwanzo wako mkuu kwa jinsi hii shida ipo kwako ulioa pesa zake anyways inaonekana uyo manzi ni wale don care na wewe ni wale wanaojali flani pole kwa kuachika
Wewe ndiyo umeshindwa kutumia akili ....watz wana akili ndogo sana 😢 wewe ni mfano tosha
 
[emoji3][emoji3] Nina mwezi mmoja toka nimefunga ndoa! Mnanitisha wakongwe! Tunavyopendana speed 120 kumbe kuna siku litashuka sitaki kuamini [emoji1787]
Miaka mitatu sasa mwanetu.
Upo humu utoe feedback? ile 120 ipo vilevile?
 
Wadau,

Nimekuja kugundua nilikosea kuoa baada ya kukaa kwenye ndoa miaka 15 na kupata watoto wanne. Dah nilijichanganya nikaoa a Corporate lady ambaye alikuwa mwanasheria kule Arusha, alikuwa ana vihela flani na connections za watu wazito ndani ya bongo....duh acha kabisa!

Nilikuja kujuta sana manake kazi zoote na mambo yooote ya nyumbani yalikuwa yanafanywa na mabeki tatu kuanzia Kufua nguo zangu, maji ya kuoga, kupika nk alikuwa hana time kabisa na nyumba yake. Hajui chochote kinachoendelea nyumbani kwake kila kitu anabishana na kushindana.

Mtu wa vikao vya dinner karibu kila siku. Miaka ya mwanzoni nilikuwa namdunda sana sana baadaye nikapataga kesi, wakati mwingine ilibidi niingie hasara ya kumpeleka hospitali na kumhudumia manake alikuwa na watoto wadogo.

Nikaamua kuingia kwenye pombe na michepuko ili nimpuuzie. Nikawa nampuuzia kama vile hayupo na yeye akanikazia, akazidisha kiburi na jeuri nikaanza tena kumdunda nikapata tena kesi kubwa manake ilikuwa nimuulie mbali.

Sasa baadaye nikafikiria sana watoto wangu tukafikia hatua ya kuachana na kukubaliana jinsi ya kuwalea watoto. Sasa tumeweka nguvu zoote katika kuwalea watoto na hali imekuwa shwari kabisa kila mtu anaishi kivyake baada ya talaka.

Najua kuna wale watakaosema tuishi nao kwa akili. Nilijitahidi kufanya hivyo kwa miaka 15 lakini ikashindikana manake ningeishia jela baada ya kumtoa uhai na watoto wangeteseka.

Bora iwe hivi hivi wote tupo wazima wa afya.

ALAMSIKI, DUH USIOMBE KUKOSEA KUOA BORA UKOSEE KUZALIWA

KARIBU NI WADAU WENZANGU MLIOKOSEA KUOA.
Pole kwa mkasa na hongera kwa ujasili. Japo nashauli ungetaja miaka walioanzia, maana wa miaka ya nyuma hawako hivi. Ila, wale wanaojifanya kutetea haki zao, kisa OscarOscarJr anawasema,wangemuacha,kila anachokiongea ni kweli.

Kuna mzee mmoja,alisomesha kibinti,badae akakioa. Kazaa,mtoto tu mmoja. Kwa hali ya kwao na mwanamke,alijaza mji ndugu zake, na mwanaume hakujali,aliwalea bila kuwabagua. Chuo kasomeshwa,badae kapata kazi serikalini,alikuwa mwanamke anaestahili. Badae,acha apate kazi kwenye shirika binafsi. Na ahamie Dar! Tembea ikibadilika,mavazi yakabadilishwa,mama mlokole,siku hizi anavaa vipedo na suruali za kubaana matako. Umri si chini ya 45. Majuzi,mzee wa watu katokea mkoani anajua anafikia kwake,aliishia lodge. Hahitajiki tena.

Bahati nzuri kajaliwa vishughuli vyake,anapata kidogo kidogo, maisha atayaendesha ajuavyo,lakini ndo kama hivo. Mshahara umeongezeka,unajiona wa kisasa, mmeo aliyekupigania mpaka huko uliko,ni takataka tuuu. Haya,asanteni wanawake. Na binti zenu hujifunza kupitia matendo yenu.
 
Are you a learned? Pamoja na mapungufu ya maelezo ya mtoa mada, wanasheria wanawake ni kazi sana kuendana nao katika ndoa
“Are you a learned? ” mmmh!!! Haya. Tuachane na hayo

My point is hakuna mwanamke difficult hata ushindwe mdhibiti as a real man,

Shida huja pale tunapo msujudu huyu mwanamke na kujihisi dhaifu mbele yake, na kwakufanya hivyo ndo ile sura ya uanaume hujivuka ndani yako,,,

Watu wanaoa ma president huko, sembuse mwanasheria? Ukitaka mwanamke akiendeshe atakuendesha tuu, ukitaka kuwa voiceless ndani ya nyumba utakuwa hivyo…

Na uanaume sio kipiga piga mwanamke km ngoma, mpaka ukifikia hapo jua kabisa kuna pahala ulibugi since day one..

Muumba alisema tuishi nao kwa akili watu hawa, km akili yako ndogo watakushinda tuu
 
“Are you a learned? ” mmmh!!! Haya. Tuachane na hayo

My point is hakuna mwanamke difficult hata ushindwe mdhibiti as a real man,

Shida huja pale tunapo msujudu huyu mwanamke na kujihisi dhaifu mbele yake, na kwakufanya hivyo ndo ile sura ya uanaume hujivuka ndani yako,,,

Watu wanaoa ma president huko, sembuse mwanasheria? Ukitaka mwanamke akiendeshe atakuendesha tuu, ukitaka kuwa voiceless ndani ya nyumba utakuwa hivyo…

Na uanaume sio kipiga piga mwanamke km ngoma, mpaka ukifikia hapo jua kabisa kuna pahala ulibugi since day one..

Muumba alisema tuishi nao kwa akili watu hawa, km akili yako ndogo watakushinda tuu
Wewe kwa akili hizi ndio huwezi kuishi na mwanamke kabisa.
 
Sasa hivi kuna mageuzi makubwa katika mfumo wa maisha ya kijamii yanayokinzana na asili ya utashi wa nafsi zetu......

Kiasili mwanadamu ni kiumbe anayependa uhuru na kujiamulia mambo yake.....kwa kulitambua hilo ndio maana Mungu akaweka muongozo kupitia dini......

Huo muongozo ndio unaomfanya mwanadamu awe katika ustaarabu na kuleta msawazo wa maisha kwenye jamii.......

Jamii taratibu zinajitoa kwenye miongozo hiyo kwa mgongo wa utandawazi, haki sawa na haki za binadamu........

Hali hii imeleta mkanganyiko mkubwa kwenye jamii hasa kuanzia ngazi ya familia.......

Hali hii imepelekea wanaume wajione hawana thamani mbele ya jamii na wanawake wamejawa na viburi na jeuri.........

Matokeo kuporomoka au kuzorota kwa taasisi muhimu ya ndoa ambayo ndio msingi wa maadili na ustawi kwenye jamii.......

Mwanaume anawaza apate mwanamke ampe mimba ili apate watoto na wanawake wanawaza wapate mwanaume wa kumpa mimba ili apate watoto kwa sababu anamudu gharama za maisha......kwa kifupi jamii ipo kwenye mkanganyiko kama sio mchanganyiko........
 
Wadau,

Nimekuja kugundua nilikosea kuoa baada ya kukaa kwenye ndoa miaka 15 na kupata watoto wanne. Dah nilijichanganya nikaoa a Corporate lady ambaye alikuwa mwanasheria kule Arusha, alikuwa ana vihela flani na connections za watu wazito ndani ya bongo....duh acha kabisa!

Nilikuja kujuta sana manake kazi zoote na mambo yooote ya nyumbani yalikuwa yanafanywa na mabeki tatu kuanzia Kufua nguo zangu, maji ya kuoga, kupika nk alikuwa hana time kabisa na nyumba yake. Hajui chochote kinachoendelea nyumbani kwake kila kitu anabishana na kushindana.

Mtu wa vikao vya dinner karibu kila siku. Miaka ya mwanzoni nilikuwa namdunda sana sana baadaye nikapataga kesi, wakati mwingine ilibidi niingie hasara ya kumpeleka hospitali na kumhudumia manake alikuwa na watoto wadogo.

Nikaamua kuingia kwenye pombe na michepuko ili nimpuuzie. Nikawa nampuuzia kama vile hayupo na yeye akanikazia, akazidisha kiburi na jeuri nikaanza tena kumdunda nikapata tena kesi kubwa manake ilikuwa nimuulie mbali.

Sasa baadaye nikafikiria sana watoto wangu tukafikia hatua ya kuachana na kukubaliana jinsi ya kuwalea watoto. Sasa tumeweka nguvu zoote katika kuwalea watoto na hali imekuwa shwari kabisa kila mtu anaishi kivyake baada ya talaka.

Najua kuna wale watakaosema tuishi nao kwa akili. Nilijitahidi kufanya hivyo kwa miaka 15 lakini ikashindikana manake ningeishia jela baada ya kumtoa uhai na watoto wangeteseka.

Bora iwe hivi hivi wote tupo wazima wa afya.

ALAMSIKI, DUH USIOMBE KUKOSEA KUOA BORA UKOSEE KUZALIWA

KARIBU NI WADAU WENZANGU MLIOKOSEA KUOA.
Oh japo kila kitu kishaharibika lakini ndoa hii pia wewe umechangia kuiharibu,hakuna kukosea kuoa kwasababu kila mtu ana dosari,hakuna perfect wife or husband,jinsi nyinyi mlioana mbaumia kuishi
 
Wewe ndiyo umeshindwa kutumia akili ....watz wana akili ndogo sana 😢 wewe ni mfano tosha
Watz wakiwemo wewe babako na mamako ee safi sasa toa hoja acha personal attacks af sku zote ulikuwa wapi uje kujibu leo yasiyokuhusu kukoza kazi nako ni kazi pole. Linda marinda
 
Back
Top Bottom