Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

Hata mwanamke uwe na kipato kiasi gani housegirl hawezi kupika chakula chakula mme wangu labda kue na dharura au niwe mgonjwa

Housegirl hawezi kufua nguo ya mme wangu hata siku moja ni heri hata ninunue machine yakufulia kama nimetingwa sana lakini sio mikono yake iguse nguo za mme wangu hiyo ni big no to me

Housegirl hawezi kuingia hata chumba nacholala na mume wangu ...

Mwanamke mpumbavu huvunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe hata kama umesoma na una kipato kiasi gani.....mfanye mumeo ajue umuhimu wako katika maisha yake hata akisema akuache hatoacha kukumbuka mazuri yako maishani mwake...

Ndoa za leo zinafeli sababu ya sisi wanawake kujifanya tunataka usawa na wanaume ....je maandiko yanasemaje juu ya ndoa (iheshimiwe na watu wote) ....sasa itaheshimikaje kama wewe mwenyewe hutataka kuheshimu ndoa yako .....
Hiki kizazi kitakuwa sio cha maslei kwini aseee


Nje ya mada.

Humu ndani tumeitana tuliokosea kuoa. Hawa wakina mama mnafata nini?

Hamtaki hata tupumue jamani
 
vipi mkuu bado speed ni ile ile 120
Mkuu Kwa kweli mambo bado yako 100% 😀😀😀 ukiachana na changamoto ndogo ndogo za kawaida !! Nilichogundua mimi ndo nnaishi kwa kutegeshea labda kwa ajili ya matukio ya kimahusiano na watu wengine ,ila mwenzangu aseee anajiamini mbaya kazama mazima ! Labda nije nizingue mwenyewe
 
DUH USIOMBE KUKOSEA KUOA BORA UKOSEE KUZALIWA...
Dah nilijichanganya nikaoa a Corporate lady ambaye alikuwa mwanasheria kule Arusha, alikuwa ana vihela flani na connections za watu wazito ndani ya bongo....duh acha kabisa!!!

😂😂😅
Corporate lady, ni kama jike dume tu..
Inakuwa kama wanaume wa2 mnaishi geto🙄
 
😂😂😂kuna demu nae nilikua nae tulikua tukigombana ni anabishana huyo,

mara huna lolote

Ooh nina kazi yangu huniambii lolote,nikaona hapa hapanifai

Nilitoka nduki,saiv yupo na jamaa mmoja ni daktari sijui wanaendeleaje huko walipo

Na mwanzo alikua anajifanya ni mnyenyekevu,nikaona nijipe muda nimjue ila ni hatari sana
Tabu watu wanapretend sana, hata kwa miaka kadhaa wakishaingia ndoani ndiyo tabia halisi zinaonekana!!

Pia, wife materials au husband materials huwa hawaonekani sababu ya aina ya maisha wanayoishi, utulivu, staha, nidhamu na kumjua Mungu!! Wengi tunakutana kwenye harakati na kuoana, ila wake/waume wanakuwa na maisha yanayofanya wasionekane kabisaa!!
 
Teh eti slay queen! Nitoe kwenye hilo kundi kwanza madam!

Okay kwahiyo mwanamke anapotoka huko kazini anakuwa hachoki? Stress anazokutana nazo mwanaume huko kazini mwanamke hakutani nazo siyo?
Umeongea ukweli kabisa wanaogopa kuachika.
 
Hata mwanamke uwe na kipato kiasi gani housegirl hawezi kupika chakula chakula mme wangu labda kue na dharura au niwe mgonjwa

Housegirl hawezi kufua nguo ya mme wangu hata siku moja ni heri hata ninunue machine yakufulia kama nimetingwa sana lakini sio mikono yake iguse nguo za mme wangu hiyo ni big no to me

Housegirl hawezi kuingia hata chumba nacholala na mume wangu ...

Mwanamke mpumbavu huvunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe hata kama umesoma na una kipato kiasi gani.....mfanye mumeo ajue umuhimu wako katika maisha yake hata akisema akuache hatoacha kukumbuka mazuri yako maishani mwake...

Ndoa za leo zinafeli sababu ya sisi wanawake kujifanya tunataka usawa na wanaume ....je maandiko yanasemaje juu ya ndoa (iheshimiwe na watu wote) ....sasa itaheshimikaje kama wewe mwenyewe hutataka kuheshimu ndoa yako .....
Author wa hii post apewe ulinzi kabisaa! Wanawake kama huyu vumiliag sijajua wanapatikana chimbo gani aise😊
 
Yaani unampiga mkeo kisa hajapika au hajafua! Hivi sijui kwanini mnafananisha mwanamke anayetafuta pesa na anayeshinda nyumbani, mkae mkijua hawa ni wanawake wa aina mbili tofauti yaani hawatakaa wawe sawa, kama ambavyo mwanaume tajiri na mwanaume masikini hawako sawa kwenye hii dunia!

Mwanamke anayekusaidia wewe kutafuta pesa usitegemee ataweza kutimiza majukumu yake kikamilifu kama anavyofanya mama wa nyumbani, ninyi wenyewe si ndiyo mmetaka haya mambo ya kusaidiana maisha, kwa kukimbia majukumu yenu! Basi kama vipi oeni wanawake wasiosoma muwahudumie tu!
Nungaiiyembe naona unafundisha mambo ya ndoa wakati huna ndoa.
Nyie wadangaji ndo mnaharibu ndoa za wenzenu aisee.
Ulianza kwa kumtuhumu mtoa mada kwamba alipenda hela na connection za mkewe hakumpenda
Jamaa alivyojibu sasa umehamia kwamba mkiwa na kazi sababu wanaume wamekimbia majukumu bs mambo ya nyumban hamuwez kufanya

Sjui unamuona jamaa hamnazo eeeh mpk anasema hayo maana yake ameona mkewe alikuwa anaweza kutimiza kbs mbona wapo wamama wengi tu wameolewa na waume zao tena wote wanafanya kaz moja mfano ya ualimu bt wanaishi vema kbs na mke anatimiza majukumu yote kama mke ndani na familia haina dada wa kaz watoto wanakwenda shule wanarudi jioni hakuna tatzo
Nungaiiyembe ww
 
Hata mwanamke uwe na kipato kiasi gani housegirl hawezi kupika chakula chakula mme wangu labda kue na dharura au niwe mgonjwa
Wanawake kama wewe nafikiri hamzidi 3%....humu JF mijanamke mingi haiwezi kukuunga mkono kwa sababu wanataka mashindano na sisi wanaume
 
Hakika tujadiliane kwa kina ili ambao bado hawajaoa wasirudie tulichofanya. Hakika kosea kujenga nyumba ila sio kuoa. Jamaa yangu alimuona mwanamke mrembo(30) akamuoa bila kuchunguza kilichokufanya asiolewe mpaka akagonga 30. Sasa anajuta mpaka namuonea huruma.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom