Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

Duh mm nishagomba mpaka nimechoka wife haingii jikon, nguo zangu anaxofua ni boxer tu tena nlikuaga nazifua mwenyewe nlifanya kumfosi, hapa najipanga nioe mke mdogo coz tuendako uzeeni atanitesa huyu
Tafuta hela wewe wacha kulalama. Weka washing mashine dish washer ndni ya nyumba hamtasumbuana labda sasa akunyime mbususu
 
Tafuta hela wewe wacha kulalama. Weka washing mashine dish washer ndni ya nyumba hamtasumbuana labda sasa akunyime mbususu
Kuna mwenzio huko mwanza nae alikua na pesa zake Ila kaishia kumchapa mtu risasi Saba kichwani so take care na hizo hela
 
Very funny...kwanza nilimsomesha mwenyewe, anikamtafutia kazi alikuwa akilipwa mshahara chini ya laki 1,...nikaendelea kumpa maisha ,akaota mapembe... hajanizidi kwa chochote financially

Mtu mwenye mshahara chini ya laki? Wewe kuna namna kweli una matatizo!
 
I bet lazima kuna mahusiano ya watu yamevurugika au kufa kabisa kutokana na huu uzi.

U can feel the anger, bitterness and regrets kwenye baadhi ya comments.

Some of the comments are funny tho[emoji23][emoji23][emoji23]... What an emotional rollercoaster.

Truth be told, kuna vingi mno vya kujifunza humu on how to be a better husband/wife or partner if we put our ego aside.
 
Kuna mwenzio huko mwanza nae alikua na pesa zake Ila kaishia kumchapa mtu risasi Saba kichwani so take care na hizo hela
Yeye alileta ujinga wakuoenda mie natumia hela kula mbususu...thats the difference
 
Hata mwanamke uwe na kipato kiasi gani housegirl hawezi kupika chakula chakula mme wangu labda kue na dharura au niwe mgonjwa

Housegirl hawezi kufua nguo ya mme wangu hata siku moja ni heri hata ninunue machine yakufulia kama nimetingwa sana lakini sio mikono yake iguse nguo za mme wangu hiyo ni big no to me

Housegirl hawezi kuingia hata chumba nacholala na mume wangu ...

Mwanamke mpumbavu huvunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe hata kama umesoma na una kipato kiasi gani.....mfanye mumeo ajue umuhimu wako katika maisha yake hata akisema akuache hatoacha kukumbuka mazuri yako maishani mwake...

Ndoa za leo zinafeli sababu ya sisi wanawake kujifanya tunataka usawa na wanaume ....je maandiko yanasemaje juu ya ndoa (iheshimiwe na watu wote) ....sasa itaheshimikaje kama wewe mwenyewe hutataka kuheshimu ndoa yako .....
Unaweza fanya yote hayo lakini kama hajui dhamani ya mke hutapata chochote, kama Mungu kakujalia umempata Mme ambaye unamfanyia hayo na anadhamini mchango wako shukuru Mungu my dear.
 
Kusema kweli wanaume wenzangu wenye vipato kulilia kufuliwa nguo au kuwekewa maji bafuni ni utopolo mkubwa. Kuna mashine za kufua na bomba la mvua.
Cha msingi mke anatakiwa awe na heshima na asicheupuke ukajua. Ukijua amechepuka mpe talaka mapema sana.

Siri wanazotuambia wake za watu kipindi tunawanyoosha ni dharau sana kwa mumewe.
 
Umenifundisha,itabidi niwe mme bwege maana
Yaani unampiga mkeo kisa hajapika au hajafua! Hivi sijui kwanini mnafananisha mwanamke anayetafuta pesa na anayeshinda nyumbani, mkae mkijua hawa ni wanawake wa aina mbili tofauti yaani hawatakaa wawe sawa, kama ambavyo mwanaume tajiri na mwanaume masikini hawako sawa kwenye hii dunia!

Mwanamke anayekusaidia wewe kutafuta pesa usitegemee ataweza kutimiza majukumu yake kikamilifu kama anavyofanya mama wa nyumbani, ninyi wenyewe si ndiyo mmetaka haya mambo ya kusaidiana maisha, kwa kukimbia majukumu yenu! Basi kama vipi oeni wanawake wasiosoma muwahudumie tu!
 
Kusema kweli wanaume wenzangu wenye vipato kulilia kufuliwa nguo au kuwekewa maji bafuni ni utopolo mkubwa. Kuna mashine za kufua na bomba la mvua.
Cha msingi mke anatakiwa awe na heshima na asicheupuke ukajua. Ukijua amechepuka mpe talaka mapema sana.

Siri wanazotuambia wake za watu kipindi tunawanyoosha ni dharau sana kwa mumewe.
kama nakuelewa hv mkuu
 
Wanawake hao ni wavivu
Kuna kitu kimoja wanawake wa siku hizi wanakisahau ndoa wanataka lakini majukumu ya ndoa hawayataki wana leta uzungu.
Mwanamke ukisha ingia kwenye ndoa tambua upo pale kwa ajili ya kumhudumia mumeo.
Hivi unaweza lalamika kwa kumlea mwanao. Eti kisa umetoka kazini ndio usipike. Kama ulikuwa hutaki hayo basi ungebaki kwenu
Hili ndilo ambalo hata mimi naweza kusema. Mtu kama hutaki kufanya majukumu ambayo wanawake wanatarajiwa wayafanye ndoani usiolewe ukae huru
 
H
Mnakoseaje kuoa wakati Mwanzo mlipendana,

mnapigiana simu usiku wa manane,

mnapostiana status na nyimbo za mapenzi.

mnaitana bebi,hakuna kama wewe duniani 🤣🤣

Mnaulizana kwa nini sikukupata mapema 🤣🤣

mnaitana majina yote Laaziz,ini mkalia nyong'o

Mnaleteana zawadi,kadi

Mnatoka out,mpk tunasema kweli wamependana na harusini tukaja,na michango tukatoa

Saiv mnalia lia mlikosea kuoa/kuolewa haya mambo hayataki mbwembwe oooh.Au Mlikua mnaigiza nini?Mambo ya kukimbilia kuoa bila kutulia yana madhara yake,

Ndoa nyingi za watu waliochelewa kuoa/kuolewa hua zimetulia sana

Ndio maana Mwanamke akiniacha hua simbembelezi arudi,Alieandaliwa na Mungu yupo.

Haya mambo Yanamhitaji Mungu zaidi kupita jambo lolote

Ndio maana mm mapenzi ya kupostiana postiana status naonaga ni ujinga 🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Yaani watu wanataka ndoa/kuoa/kuolewa kuliko maisha halisia ya ndoa yenyewe,Mwisho wa siku kilio na kusaga meno
Wengine walioa au kuolewa ili kufurahisha au kukomoa watu

Ambao hatujaoa/kuolewa tumtafute Mungu sana na tutulize akili sana
Hahahahhahahah mzee umenichekesha sana kiukweli ni ngumu sana kumuelewa mtu anayesema alikosea kuoa au kuolewa 😂😂😂 labda kwa madomo zege ambao waliunganishiwa line
 
Huu uzi unakimbia marathon ya hatari, keep your comments coming, wasomaji tunakuhakikishia hatutakuangusha.
 
Hata mwanamke uwe na kipato kiasi gani housegirl hawezi kupika chakula chakula mme wangu labda kue na dharura au niwe mgonjwa

Housegirl hawezi kufua nguo ya mme wangu hata siku moja ni heri hata ninunue machine yakufulia kama nimetingwa sana lakini sio mikono yake iguse nguo za mme wangu hiyo ni big no to me

Housegirl hawezi kuingia hata chumba nacholala na mume wangu ...

Mwanamke mpumbavu huvunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe hata kama umesoma na una kipato kiasi gani.....mfanye mumeo ajue umuhimu wako katika maisha yake hata akisema akuache hatoacha kukumbuka mazuri yako maishani mwake...

Ndoa za leo zinafeli sababu ya sisi wanawake kujifanya tunataka usawa na wanaume ....je maandiko yanasemaje juu ya ndoa (iheshimiwe na watu wote) ....sasa itaheshimikaje kama wewe mwenyewe hutataka kuheshimu ndoa yako .....
Comment ya mwaka hii kutoka kwa wanawake hapa jf😍😍😍😍
Wee financial services na Kelsea mpite hapa mpate kujua mnapaswa kufanya nini kwenye ndoa zenu
 
Back
Top Bottom