Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

Sijaoa ila naishi na pepo juzi nmesafiri tu kauza Friji narudi nauliza naambiwa nmeongezea naagiza cm hiv ndugu zangu ni sawa ..nahitaji kuanzisha Uzi ili mnipe ushauri wakuu...sijui niendapo.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji12] [emoji12] kweli unaishi na pepo la umaskin
 
Maneno kuntu haya
 
Hahahahah ukianza hapo ntakwambia kwanini samia yupo ikulu wewe unalilia kuhongwa[emoji28]
Wewe si unatufananisha na nani sijui yuko wapi huko na akirudi nyumbani jikoni anaingia. Sasa mbona nyie ndugu yenu Manji na Mo mnamkataa jamani[emoji2369][emoji2369] sio vizuri ujue[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Sasa za akina nani sio OG?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Na kuridhika mmeridhika si ndio? Kufua vipi hamsaidiani?
Mbususu za pisi kali zina walakini sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hizi pisi kali ndio zinatuwekea sheria za 50/50 na sisi tumegoma hatutaki, Ila hawa wenzetu wa kienyeji OG kabisa tunawasaidia majukumu ya jikoni mara moja moja tukijisikia na hawatubanii popote[emoji23][emoji23]
 
Utaratibu ni ule ule fasten your belts[emoji28] maswala ya kujifanya nati tutaendelea kuwakaza tu!

Sie ndio baba zenu for now mtake msitake ongezeko ni kuliwa mbunye tu!
Hatuna tatizo kabisa, mbunye kazi yake ni kuliwa. Ila haya mengine tusaidiane jamani khaaah!!
 
Mpe tu huenda akampoza machungu
 
Wewe si unatufananisha na nani sijui yuko wapi huko na akirudi nyumbani jikoni anaingia. Sasa mbona nyie ndugu yenu Manji na Mo mnamkataa jamani[emoji2369][emoji2369] sio vizuri ujue[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wale wametolewa kama kielelezo cha kukazia hoja! πŸ˜…

Ntakupiga na kitu kizito usifananishe na kina MoπŸ˜… hujui hii mvua ambavyo inanichapa time hii! Af atokee kenge anajidai kupika hawezi eti sababu katoka kaziniπŸ˜…
 
Hata Mimi nashangaa huyo mwanamke mjinga sana kila siku YouTube zinafundisha upishi yeye nimama wa nyumban hata kupika kunamshinda duh ajabu kwel
Wamama wa nyumbani huwa wavivu na wazito kichwani, Mimi mwenyewe siwezi kukaa tu nyumbani nisubirie kuletewa kila kitu, ndio maana hata majukumu madogo yana mshinda amekukuwa ka kuku wakisasa
 
Ndio tupambane na huu umasikini jamani shida ndogo ndogo zituondokee........
Na mapambano ni hatua
Muunganishe nguvu na mkeo mtoke chumba kimoja migomigo...... mpaka ka selfu

Kisha mnaunganisha nguvu mpambane mpate hata chumba na sebuke yenu huko vikindu (kuna umeme umeme)

Then muunge nguvu mtafute hayo ma gagets

La sivyo mtaona mnadharauliana tu na kuleteana makasiriko!!!!!!

Nb
(Unajua mkeo akivunja kikoba faida inatosha kujujua used machine??? Ila sasa inategemeana na mahusiano mlonayo ndani))))
 
Hadi nimeskia harufu ya nnya hapa πŸ₯΅
 

Eeewalaaa!! Haya ndio maneno sasa. Ongezeni rate ya kuingia jikoni sasa.
 
Hizo hela za kikoba usishobokee maana watakuja kikosi kazi kukuzodoa πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… hutaamini!

Mengineyo tuko pamoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…