Wale tuliokosea kuoa tukutane hapa

Counsellor asie na ndoa[emoji28] tutafika tu lakini!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Oa bwana, sisi ni watu wema sana, ni wachache tu wasiotutakia mema ndio wanatuchafua[emoji85][emoji85][emoji85]
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] komesha
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Oa bwana, sisi ni watu wema sana, ni wachache tu wasiotutakia mema ndio wanatuchafua[emoji85][emoji85][emoji85]
Ha ha ha kwa style hii ya kujipikia na kujifulia wacha kwanza tuendelee na kuchunguzana tu 😅😅😅
 
Kumbe ushaoaa..?;;hongeraw
 
"Wadogo zangu waepukeni wanaume wasio na kipato hawana jema hata kidogo atakunyanyasa kwa kipato chako, atakudhalilisha kwa kipato chako yaani atapambana kuhakikisha unakuwa chini kama yeye kiuchumi na kifikra."

Unawafundisha tabia mbaya siku huyo mwenye kipato kikubwa akifirisika atakimbiwa kwa staili hio

Mume wako ajiande he is the next victim
 
Mungu ana namna ya pekee ya kutunyoosha, huwezi kuwa juu milele kuna siku utakuwa chini😅 kifuatacho itakuwa majuto ni mjukuu
 
Ha ha ha kwa style hii ya kujipikia na kujifulia wacha kwanza tuendelee na kuchunguzana tu [emoji28][emoji28][emoji28]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tutaagiza chipsi jamani, si cha msingi tule au?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…