[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] Habun anakuna nazi sahizi naona katulia hamna mashambulizi tena
Sasa hadi nipike kiive hiyo nguvu ya game naitoa wapi tena? Bora ule tu chipsi nguvu ziishe ili nikusimange vizuri[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Chips zinachochoea upungufu wa nguvu za kiume
Tutapiga gamu low standard halafu muende kukazwa na bodaboda wenu[emoji2]
Shika mwiko pika ugali samaki kama kweli unataka gemu zenye standard and speed.
Huo u feminism nao umekuwa chanzo cha upungufu wa nguvu za kiumw indirectly [emoji1787][emoji1787]
Tatizo lipo kwako kwani kabla huja muoa si mlipitia kwenye uchumba na kama hamja pitia kwenye uchumba mwanamke hana makosa wewe ndiyo mwenye makosa umeshindwa kutumia akili zote ulizo na nazo akili ya shule alikili ya kuzaliwa na akili ya mtaani hizi zote umeshindwa kuzitumia, tatizo lako wewe Una mfundisha mkeo kwa kutumia nguvu badala ya akiliNGOMEKONGWE2021 - Tupo wengi, kiongozi. Mie pia watoto 4 kama wewe. Miaka 12 ya ndoa. Mama wa nyumbani. Tatizo hawezi kujifunza kitu.
Kila siku ni shida tupu ndani ya nyumba. Mfano, hawezi kutoa magamba ya samaki yakaisha yote kabla ya kumpika samaki. Chakula anavyonunua kwenye supermarket, ndivyo navyokipika!
Anaweza kupika nyama ya kuku na kinyeo chake ama bado kuna kiasi fulani cha vinyoya!! Hata nikimweleza vipi, akili yake haishiki!! Hataki niwafundishe watoto. Nikiwakosoa watoto kwa namna ya kuwafundisha, anakuja juu.
Watoto wananiona mimi shetani na yeye malaika. Amejenga chuki kati yangu na watoto ambao bado ni wadogo tu. Sijawahi kumpiga ama kuchepuka lakini nilikwisha mwambia kuwa tungekuwa tunaoa mara ya 2, nisingemuoa tena. Sina hamu tena hata ya kulala naye.
Yeye mfanyabiashara akirudi anaoika na watoto wake. Mkewe akiwepo anaweza anza pika au akatoa nguo akaziloweka akaenda nje kuzungumza ndo ntolee hiyo kama nguo ndo zitakaa wiki kwenye maji kama alikuwa anapka itagonga saa nane hajarudi ndani yuko nje anapiga story.Duh! Kwa hiyo jamaa kaoa ila anapika, kufua na kusafisha nyumba??
Kaka umetoa mifano inayo vumilika sababu haivunji heshima ya uanaume wako. Mwanamke anaye fanya kazi huwa anajiona sawa na wewe tu. Sisi tunasema Mafahari wawili hawaishi kwenye zizi moja.NGOMEKONGWE2021 - Tupo wengi, kiongozi. Mie pia watoto 4 kama wewe. Miaka 12 ya ndoa. Mama wa nyumbani. Tatizo hawezi kujifunza kitu.
Kila siku ni shida tupu ndani ya nyumba. Mfano, hawezi kutoa magamba ya samaki yakaisha yote kabla ya kumpika samaki. Chakula anavyonunua kwenye supermarket, ndivyo navyokipika!
Anaweza kupika nyama ya kuku na kinyeo chake ama bado kuna kiasi fulani cha vinyoya!! Hata nikimweleza vipi, akili yake haishiki!! Hataki niwafundishe watoto. Nikiwakosoa watoto kwa namna ya kuwafundisha, anakuja juu.
Watoto wananiona mimi shetani na yeye malaika. Amejenga chuki kati yangu na watoto ambao bado ni wadogo tu. Sijawahi kumpiga ama kuchepuka lakini nilikwisha mwambia kuwa tungekuwa tunaoa mara ya 2, nisingemuoa tena. Sina hamu tena hata ya kulala naye.
Tatizo lipo kwako kwani kabla huja muoa si mlipitia kwenye uchumba na kama hamja pitia kwenye uchumba mwanamke hana makosa wewe ndiyo mwenye makosa umeshindwa kutumia akili zote ulizo na nazo akili ya shule alikili ya kuzaliwa na akili ya mtaani hizi zote umeshindwa kuzitumia, tatizo lako wewe Una mfundisha mkeo kwa kutumia nguvu badala ya akili
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] chakula aunguze mwingine, vitasa nile mimi kweli? Nakupeleka dawati la jinsia, ole wako[emoji1787][emoji1787]Hahahaha chakula kikiungua utakula vitasa
Ingia jikoni mwenyewe mama mjengo acha ngendembwe
Kaka umetoa mifano inayo vumilika sababu haivunji heshima ya uanaume wako. Mwanamke anaye fanya kazi huwa anajiona sawa na wewe tu. Sisi tunasema Mafahari wawili hawaishi kwenye zizi moja.
Hapa tatizo ni wewe. Kazai zai kipo kwa hawa watafutaji riziki.
Sio unipeleke shule ya mapishi tu to cut the story short, na nilivyo slow learner nitaelewa baada ya miaka mitano, by the time ushazoea[emoji6][emoji1787][emoji1787]Kwa shangazi[emoji2]
Vijana wengi hawajui vigezo vya kuchagua wake wa kuoa au wanaume wa kuolewa nao.Baada ya miaka 13 ndo nilijua nimekosea, bado sana Ndugu! Ndoa ni Jambo gumu sana, huwezi elewa!
Nimesoma nikaelewa ndiyo maana nikachangia. Hapi nimejaribu kukuonyesha kuwa unaweza kumchuka mtu kimakosa na ukampenda mtu pia kimakosa.Kasome mada upya - kujisikia ulikosea kuaoa/kuolewa na uliye naye.
Sasa bibie kama unaona hivyo vidogo vidogo vina uwa ladha ya mahusiano vipi hili kubwa la Mwanamke kutopika au kutompikia mumewe ?I understand you hivo vitu vidogo dogo huua ladha ya mahusiano kabisa imagine kumuelekeza mtu mzima huwa inachosha, angalia asiwaambukize watoto ujinga maana wataalamu husema watoto hurithi akili za mama
Amebadili gia angani tu ila mwanzo alivyoanza haikua hivyo. Wapo wasomi wengi tu wasio na hizo tabia na wasio wasomi wenye hizo tabia. Nenda vijijin ambako shule hakuna kama hutokuta wanawake wenye hizo tabia.Sio kweli, elimu na viajira huwa wanawake jeuri. Hata mtoa mada kaliweka vema kua alimsomesha akamtaftia kazi ndio janamke likaota mapembe.
Nimesoma nikaelewa ndiyo maana nikachangia. Hapi nimejaribu kukuonyesha kuwa unaweza kumchuka mtu kimakosa na ukampenda mtu pia kimakosa.
Kwanini? Hamuamini au?Mi wa kwangu Hali chakula cha dada wa kazi, Yuko radhi apike au anunue.
Sababu kuna makosa yanastahiki Mwanamke kupewa Talaka ila kuna makosa hayastahiki kumpa Mwanamke Talaka ila watu kwa ujinga wao wanawaoa kwayo Wanawake Talaka.Kwa hiyo unafikiri umekuja na kitu kipya? mbona talaka zimekuwepo enzi na enzi?
Sisi tunacheza tu mziki mnaopiga. Mkitaka tubadili steps basi badilini muziki.Vipi na nyie mmeshakua wanawake au bado mnajishindanisha na wanaume ?! Na nyie mtakua wanamake na mfanye majukumu ya mwanamke au mtaendelea kua midumejike ?!
Sawa mkuuNimeoa na nimeacha nw single na enjoy maisha.
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji1732][emoji1732]Mwanaume mwenye akili hana mda mchafu kushindana na mwanamke wala hana malalamiko madogo yasiyo na kichwa wala miguu