Wanandoa wengi siku hizi wanachukuliana kama competitors badala ya partners.Wewe kama mke kuagizwa kutekeleza mambo flani flani ni kawaida na huwa hamna sababu ya kubishana.
Ni mume kakutuma ukibishana manaake una jeuri. You don’t wanna mess up with your man! Mtu anapoomba umfanyie jambo sio kwamba kashindwa kulifanya ila amejiskia tu kupata msaada toka kwako!
Hii akili ya kushindana achaneni nayo...mumeo sio shosti yako!
Nimependa hiyo para ya mwanzo. Kuna tabia ni za asili za mtu hawez zibadilisha kamwe. Zimeshakua ndio ngozi yake.Kikubwa ni background ya wanawake, ukilazimisha kuoa mwanamke eti kwasababu umempenda licha ya kuona ana tabia za kijinga kama vile uchoyo, roho mbaya, ujuaji, tamaa ya maisha mazuri na wakati hana nyenzo za kumfikisha kwenye hayo maisha, mshirikina na kuna wengine unakuta wanatokea kwenye familia za kijinga kabisa baba mhuni mama changu.
Hâta humu Jf kupitia comment unaona kabisa kuna wanawake "much know" wanaodharau wanaume ilhali hawana vitu, yani ka mtu kanaamua tu kujibu vibaya as long as kanaona kama chat na mwanaume ili kaonekane ni shupavu.
Mkuu pesa ipo lakini?NGOMEKONGWE2021 - Tupo wengi, kiongozi. Mie pia watoto 4 kama wewe. Miaka 12 ya ndoa. Mama wa nyumbani. Tatizo hawezi kujifunza kitu.
Kila siku ni shida tupu ndani ya nyumba. Mfano, hawezi kutoa magamba ya samaki yakaisha yote kabla ya kumpika samaki. Chakula anavyonunua kwenye supermarket, ndivyo navyokipika!
Anaweza kupika nyama ya kuku na kinyeo chake ama bado kuna kiasi fulani cha vinyoya!! Hata nikimweleza vipi, akili yake haishiki!! Hataki niwafundishe watoto. Nikiwakosoa watoto kwa namna ya kuwafundisha, anakuja juu.
Watoto wananiona mimi shetani na yeye malaika. Amejenga chuki kati yangu na watoto ambao bado ni wadogo tu. Sijawahi kumpiga ama kuchepuka lakini nilikwisha mwambia kuwa tungekuwa tunaoa mara ya 2, nisingemuoa tena. Sina hamu tena hata ya kulala naye.
Yeah! Ukimfanyia hivyo anakuona upo romantic, gentlemen na maneno mengine ya kilaghai kama hayo. 😁Mostly hat kama mwanamke ana kipato bills zote wanaume ndio wanakava
Pesa ya mwanamke huwa haijulikani wapi inaendaga.
Sasa yaani nikave bills na pia nijiwekee maji mwenyewe[emoji15][emoji849] na kujiipika halafu wewe upo tu
Hao wanaomtetea ni wale walioshindwa kudumu kwenye ndoa zao kwa tabia zao, au hawaoleki kabisa.Safi,! Narudia tena safi!
Nashangaa et kuna watu huko juu wanamtetea huyo mwanamke kivipi kiaje
Unapoolewa definitely wewe ni mke
Utakua responsible na kila kitu kinachohusu nyumba
Mwanaume atabaki Na familiakiujumla!
Et kwakua wew n mke wangu na nmekufhngulia biashara af hiyo biashara igeuke namna yakuninyanyasa tena
Wao hawaelewi hayaa... Ukiwa chini utaona kila rangi.Mungu ana namna ya pekee ya kutunyoosha, huwezi kuwa juu milele kuna siku utakuwa chini😅 kifuatacho itakuwa majuto ni mjukuu
[emoji626][emoji626][emoji626][emoji626][emoji626]Sijaoa ila naishi na pepo juzi nmesafiri tu kauza Friji narudi nauliza naambiwa nmeongezea naagiza cm hiv ndugu zangu ni sawa ..nahitaji kuanzisha Uzi ili mnipe ushauri wakuu...sijui niendapo.
Yeye kila kiletwacho na wazungu anakibeba kama kilivyo, na anajisifia kabisa hapa.Kwa taarifa yako mmomonyoko wa maadili ulianzia huko ulaya
Kila uchafu na takataka unazoziona huku afrika vilianzia huko ulaya unakokusifia.
Kwenye suala la maadili ya kufamilia africa was the best on it .
Kuna walioajiriwa na wapo vizuri. Muhimu oa mwanamke anayejitambua, siyo hawa feminists.Siku zote nasema hapa USIOE MWANAMKE ALIEAJIRIWA, VIAJIRA VINAWAPA KIBURI SANA WANAWAKE
Mkuu akikupa namba yake usiwe mchoyo kunipa hiyo namba mkuu.Etiii kumdunga mangumi ndo kuishi nae kiakili [emoji23][emoji23][emoji23]nipe namba yake nikufundishe kumbadilisha
Huo ujinga wanaweza Pety men , sisi tunaotambua nafasi zetu hatuwezi kuwa sawa na mwanamke katika level ya kifamilia.Yeah! Ukimfanyia hivyo anakuona upo romantic, gentlemen na maneno mengine ya kilaghai kama hayo. 😁
Hahaha...Labda anamaanisha alpha marioo ,alpha bwege
Sasa si asingeoa tu ikajulikana.Kwani kupika ni dhambi yeye apike ka anataka na anajiskia kufanya hivo no problem at all, Yani awe anaskia njaa na vitu viko afe njaa akisubiria mtu amfanyie, na ka amechoka ale huko huko ashibe Cha kufia nini?
HaaUsini include. Mimi naomba kila siku mume wangu asibadilike. Responsible daddy
HaaYeah lazma probation idumu si chini ya 3 yrs
Mkuu pesa ipo lakini?
Wanaume tunaisha kwa kasi sana. Huu utandawazi na uzungu uliopitiliza ni tatizo, ni saratani.Anajimekapu na kuvaa madera kwenda kwenye vikoba
Wakati jamaa mwenye mke kakalia kibao cha mbuzi korodani ziko nje anakuna nazi.[emoji1787]
Huyo ndio jentomeni corporate ladies wanemtaka[emoji1787][emoji1787]
Kosa kubwa huwa lipo kwenye tabia za asili za wanawake ambao tuna chagua, na wengine unakuta wameziona kabisa ila kwakua amevutiwa na sura na tako anaamua kumuweka ndani akiamini kuwa atambadilisha😂. Na hili linaletwa na udhaifu wa wanaume kwa kuona kwamba akimuacha huyu hawezi pata mwingine.Nimependa hiyo para ya mwanzo. Kuna tabia ni za asili za mtu hawez zibadilisha kamwe. Zimeshakua ndio ngozi yake.