Wale tuliokulia kwenye familia za kishua tukutane hapa

Wao ni wao thanx bro ,dah imenigusa sana,kikubwa usikate tamaa na usikubali watoto wako wapite njia yako,pole sana mkuu
 
Umemaliza kuchora picha yako?

Haya sasa rudi kwenye mada.

Watoto wa kishua hawana fikra za kuchora kijinga hiyo. Unaobesha ushua na wewe ni tofauti kama nyuki na nzi.
 
Kuna jamaa yangu mmja hivi alifiwa na baba yake...
2 huyu jamaa alipata matatizo kidogo ki afya yaliyomfanya akae hospal kwa muda mrefu
Baadae huyu jamaa yangu mzee wake alifariki ,kutokana na aina ya familia ile ilivyokua inaendeshwa ..naweza kusema baada ya yule baba kufariki ile familia iliyumba kidodo +watoto wengi+ wanasoma shule za ghali
Hivyo huyu jamaa yangu alichukuliwa akaenda kuishi na jamaa mmja ambae ana kampuni zake binafsi
Kwa iringa yule jamaa anaishi kule wanapokaa matajili wengi wa mkoa + wafanyakazi wengi wa serikali
Of corse jamaa ana hela na pia mke wake ni manager wa shilika moja mjini hapo hivyo unaweza pata picha ya familia hiyo
Kwasababu hata hapo nyumbani kwake ni pazuri sana (ushua mwingi)

Kwa bahati mbaya pc yangu ilipata shida kidogo kwenye hard disc ,hivyo nkawa nahitaji kumpa aniangalizie shida ni nini sababu jamaa anazijua vyema
Nkaelekezwa hadi nyumba ilipo nkafika akanipokea

Haoo tukaingia ndani ya gate ...pale nje palikua na eneo la kukaa pana kama kivuli hivi pemben ya parking
Nkakaa pale nkamuambia yeye aingie ndani aendelee tu na kuitazama me nko hapo nna msubili(nlikua nachezea simu yangu wakati huo)
Baada kama ya dk 20-25 hivi jamaa akatoka akasema kuna namna anafanya hivyo twende ndani tukakae huko ... coz Hata hivyo pc ilikua na passwords

Nlisita kidogo kwenda ila nkainuka tukaanza kupanda ngazi kuingia
Nkavua mibuti yangu (napenda sana boots) tukaanza safari ya kukatisha sebule kubwa kama darasa kuitafuta korido tuzame chumbani
Mwenzangu yuko mbele me nko nyuma yake kama siafu[emoji28][emoji28] paapu !!! Tukakutana na mama mjengo kordoni akaniangaliia nmevaa shat kubwa kubwa hiv na cape akaona nini hili[emoji848][emoji848]
Akauliza mnaenda wap?
Wakati jamaa anaanza kujibu tu yule mama
ALINISHIKA BEGA NA KUNISUKUMA AKINITAKA NITOKE NJE!![emoji21][emoji21][emoji21]
Hi ni moment mbaya iliyojihifadhi kwenye akili yangu
Hua najiuliza sana alinionaje? Au alinitafsiri vipi yote anajua yeye
Nlipofika nje nkamtext jamaa anipe tu pc yangu niondoke
Japo ilikua kwenye progression ya kufanya mchakato wa window ila nliamuru aizime niondoke pale
Nkainuka na kuondoka huku sina raha

Wewe mke wa E....E kelphin nakumbuka dhalau uliyonionesha
Kwa hakika ya bidii yangu najua ntafiki Na pengine hata kukuzidi mafanikio yangu
Ila kamwe siwezi kumfanyia yoyote kama wewe ulivyo fanya kwangu
Nmekusamehe.

Ilikua 2019!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…