MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Hivi ni kwanini 75% ya Watoto wa Kishua au Waliozaliwa na Washua au Waishio Ushuani hasa Wavulana / Wanaume huwa au huja kuwa Mashoga?Haya sasa,
Kwa upande wangu mm nimebahatika kuzaliwa na kukulia kwenye familia ya KISHUA haswaa, nyumba,magari na chakula Cha Kila aina tena Kila siku.
Changamoto ya kuishi kwnye familia ya KISHUA ni kukosa muda Wa kuwa marafiki, pia ukitoka nje ya geti Kila mtu anakushangaa, marafiki wengi wa Kila aina wengine wezi wanakuibia vitu kama mipira nk, wazazi kukuona mtoto hata kama umekuwa, nimeogeshwa na Mama na wadada wa kazi Hadi namalizia la Saba.
View attachment 2503537
Wewe GENTAMYCINE tulia na id feki iyoHivi ni kwanini 75% ya Watoto wa Kishua au Waliozaliwa na Washua au Waishio Ushuani hasa Wavulana / Wanaume huwa au huja kuwa Mashoga?
Kuna jamaa yangu mmja hivi alifiwa na baba yake...
2 huyu jamaa alipata matatizo kidogo ki afya yaliyomfanya akae hospal kwa muda mrefu
Baadae huyu jamaa yangu mzee wake alifariki ,kutokana na aina ya familia ile ilivyokua inaendeshwa ..naweza kusema baada ya yule baba kufariki ile familia iliyumba kidodo +watoto wengi+ wanasoma shule za ghali
Hivyo huyu jamaa yangu alichukuliwa akaenda kuishi na jamaa mmja ambae ana kampuni zake binafsi
Kwa iringa yule jamaa anaishi kule wanapokaa matajili wengi wa mkoa + wafanyakazi wengi wa serikali
Of corse jamaa ana hela na pia mke wake ni manager wa shilika moja mjini hapo hivyo unaweza pata picha ya familia hiyo
Kwasababu hata hapo nyumbani kwake ni pazuri sana (ushua mwingi)
Kwa bahati mbaya pc yangu ilipata shida kidogo kwenye hard disc ,hivyo nkawa nahitaji kumpa aniangalizie shida ni nini sababu jamaa anazijua vyema
Nkaelekezwa hadi nyumba ilipo nkafika akanipokea
Haoo tukaingia ndani ya gate ...pale nje palikua na eneo la kukaa pana kama kivuli hivi pemben ya parking
Nkakaa pale nkamuambia yeye aingie ndani aendelee tu na kuitazama me nko hapo nna msubili(nlikua nachezea simu yangu wakati huo)
Baada kama ya dk 20-25 hivi jamaa akatoka akasema kuna namna anafanya hivyo twende ndani tukakae huko ... coz Hata hivyo pc ilikua na passwords
Nlisita kidogo kwenda ila nkainuka tukaanza kupanda ngazi kuingia
Nkavua mibuti yangu (napenda sana boots) tukaanza safari ya kukatisha sebule kubwa kama darasa kuitafuta korido tuzame chumbani
Mwenzangu yuko mbele me nko nyuma yake kama siafu[emoji28][emoji28] paapu !!! Tukakutana na mama mjengo kordoni akaniangaliia nmevaa shat kubwa kubwa hiv na cape akaona nini hili[emoji848][emoji848]
Akauliza mnaenda wap?
Wakati jamaa anaanza kujibu tu yule mama
ALINISHIKA BEGA NA KUNISUKUMA AKINITAKA NITOKE NJE!![emoji21][emoji21][emoji21]
Hi ni moment mbaya iliyojihifadhi kwenye akili yangu
Hua najiuliza sana alinionaje? Au alinitafsiri vipi yote anajua yeye
Nlipofika nje nkamtext jamaa anipe tu pc yangu niondoke
Japo ilikua kwenye progression ya kufanya mchakato wa window ila nliamuru aizime niondoke pale
Nkainuka na kuondoka huku sina raha
Wewe mke wa E....E kelphin nakumbuka dhalau uliyonionesha
Kwa hakika ya bidii yangu najua ntafiki Na pengine hata kukuzidi mafanikio yangu
Ila kamwe siwezi kumfanyia yoyote kama wewe ulivyo fanya kwangu
Nmekusamehe.
Ilikua 2019!
Kuna jamaa yangu mmja hivi alifiwa na baba yake...
2 huyu jamaa alipata matatizo kidogo ki afya yaliyomfanya akae hospal kwa muda mrefu
Baadae huyu jamaa yangu mzee wake alifariki ,kutokana na aina ya familia ile ilivyokua inaendeshwa ..naweza kusema baada ya yule baba kufariki ile familia iliyumba kidodo +watoto wengi+ wanasoma shule za ghali
Hivyo huyu jamaa yangu alichukuliwa akaenda kuishi na jamaa mmja ambae ana kampuni zake binafsi
Kwa iringa yule jamaa anaishi kule wanapokaa matajili wengi wa mkoa + wafanyakazi wengi wa serikali
Of corse jamaa ana hela na pia mke wake ni manager wa shilika moja mjini hapo hivyo unaweza pata picha ya familia hiyo
Kwasababu hata hapo nyumbani kwake ni pazuri sana (ushua mwingi)
Kwa bahati mbaya pc yangu ilipata shida kidogo kwenye hard disc ,hivyo nkawa nahitaji kumpa aniangalizie shida ni nini sababu jamaa anazijua vyema
Nkaelekezwa hadi nyumba ilipo nkafika akanipokea
Haoo tukaingia ndani ya gate ...pale nje palikua na eneo la kukaa pana kama kivuli hivi pemben ya parking
Nkakaa pale nkamuambia yeye aingie ndani aendelee tu na kuitazama me nko hapo nna msubili(nlikua nachezea simu yangu wakati huo)
Baada kama ya dk 20-25 hivi jamaa akatoka akasema kuna namna anafanya hivyo twende ndani tukakae huko ... coz Hata hivyo pc ilikua na passwords
Nlisita kidogo kwenda ila nkainuka tukaanza kupanda ngazi kuingia
Nkavua mibuti yangu (napenda sana boots) tukaanza safari ya kukatisha sebule kubwa kama darasa kuitafuta korido tuzame chumbani
Mwenzangu yuko mbele me nko nyuma yake kama siafu[emoji28][emoji28] paapu !!! Tukakutana na mama mjengo kordoni akaniangaliia nmevaa shat kubwa kubwa hiv na cape akaona nini hili[emoji848][emoji848]
Akauliza mnaenda wap?
Wakati jamaa anaanza kujibu tu yule mama
ALINISHIKA BEGA NA KUNISUKUMA AKINITAKA NITOKE NJE!![emoji21][emoji21][emoji21]
Hi ni moment mbaya iliyojihifadhi kwenye akili yangu
Hua najiuliza sana alinionaje? Au alinitafsiri vipi yote anajua yeye
Nlipofika nje nkamtext jamaa anipe tu pc yangu niondoke
Japo ilikua kwenye progression ya kufanya mchakato wa window ila nliamuru aizime niondoke pale
Nkainuka na kuondoka huku sina raha
Wewe mke wa E....E kelphin nakumbuka dhalau uliyonionesha
Kwa hakika ya bidii yangu najua ntafiki Na pengine hata kukuzidi mafanikio yangu
Ila kamwe siwezi kumfanyia yoyote kama wewe ulivyo fanya kwangu
Nmekusamehe.
Ilikua 2019!
Tukumbushane pia kuwa huwa kuna nature fulani ya watoto wengi japo siyo wote wa kiume wanaotoka ushuani kuwa na tabia za kike kike.
Nassikia mmebanduliwa sana na house boys.Haya sasa,
Kwa upande wangu mm nimebahatika kuzaliwa na kukulia kwenye familia ya KISHUA haswaa, nyumba,magari na chakula Cha Kila aina tena Kila siku.
Changamoto ya kuishi kwnye familia ya KISHUA ni kukosa muda Wa kuwa marafiki, pia ukitoka nje ya geti Kila mtu anakushangaa, marafiki wengi wa Kila aina wengine wezi wanakuibia vitu kama mipira nk, wazazi kukuona mtoto hata kama umekuwa, nimeogeshwa na Mama na wadada wa kazi Hadi namalizia la Saba.
View attachment 2503537
Mwanangu umeongea kitu kikubwa mno. Mimi kwenye mapambano yangu kwenda nje nikagundua mgahawa wa Macdonald's ni kwa ajili ya wale wasio na hela. Ila ukitaka vyakula vya kiafrika ni bei mbaya. Hawa wa kishua wanaoona KFC ni pa maana bado ni washamba mno.sasa, sisi wenzio ambao sio wa kishua, baada ya kupambana na shule na maisha, tumefanikiwa kupiga shule hadi tukafika majuu. kule, hizo burger ni garbage foods. yaani vyakula wanavyokula masikini vinavyonenepesha sana miili. ndio maana hata bei yake ni ndogo. na wewe hapo unaona ulikuwa mjanjaaa?
Niko financially capable kumtunza mtoto ndugu , remember niko kazini na pia niko na salary pia wife ni hustler katika ufanyakazi wake kwa upande wake so habari ya uchumi ya kumtunza mtoto sio shida labda malezi najua mama yake atamtunza kwenye malezi mazuriKuhusu mtoto, nashauri ujipange pange ili isije ikakuletea uzito flani, kwako na kwa wapendwa wako. Si unajua maswala ya kiuchumi Tena.
Unajua matunzo na uimara wa familia sio pesa tu, Kumbuka Kuna malezi, upendo na utayari baina ya wanandoa . Hope utakumbuka hiloNiko financially capable kumtunza mtoto ndugu , remember niko kazini na pia niko na salary pia wife ni mfanyakazi so habari ya uchumi ya kumtunza mtoto sio shida labda malezi najua mama yake atamtunza kwenye malezi mazuri
Pole sana samehe na endelea na maisha yakoKuna jamaa yangu mmja hivi alifiwa na baba yake...
2 huyu jamaa alipata matatizo kidogo ki afya yaliyomfanya akae hospal kwa muda mrefu
Baadae huyu jamaa yangu mzee wake alifariki ,kutokana na aina ya familia ile ilivyokua inaendeshwa ..naweza kusema baada ya yule baba kufariki ile familia iliyumba kidodo +watoto wengi+ wanasoma shule za ghali
Hivyo huyu jamaa yangu alichukuliwa akaenda kuishi na jamaa mmja ambae ana kampuni zake binafsi
Kwa iringa yule jamaa anaishi kule wanapokaa matajili wengi wa mkoa + wafanyakazi wengi wa serikali
Of corse jamaa ana hela na pia mke wake ni manager wa shilika moja mjini hapo hivyo unaweza pata picha ya familia hiyo
Kwasababu hata hapo nyumbani kwake ni pazuri sana (ushua mwingi)
Kwa bahati mbaya pc yangu ilipata shida kidogo kwenye hard disc ,hivyo nkawa nahitaji kumpa aniangalizie shida ni nini sababu jamaa anazijua vyema
Nkaelekezwa hadi nyumba ilipo nkafika akanipokea
Haoo tukaingia ndani ya gate ...pale nje palikua na eneo la kukaa pana kama kivuli hivi pemben ya parking
Nkakaa pale nkamuambia yeye aingie ndani aendelee tu na kuitazama me nko hapo nna msubili(nlikua nachezea simu yangu wakati huo)
Baada kama ya dk 20-25 hivi jamaa akatoka akasema kuna namna anafanya hivyo twende ndani tukakae huko ... coz Hata hivyo pc ilikua na passwords
Nlisita kidogo kwenda ila nkainuka tukaanza kupanda ngazi kuingia
Nkavua mibuti yangu (napenda sana boots) tukaanza safari ya kukatisha sebule kubwa kama darasa kuitafuta korido tuzame chumbani
Mwenzangu yuko mbele me nko nyuma yake kama siafu[emoji28][emoji28] paapu !!! Tukakutana na mama mjengo kordoni akaniangaliia nmevaa shat kubwa kubwa hiv na cape akaona nini hili[emoji848][emoji848]
Akauliza mnaenda wap?
Wakati jamaa anaanza kujibu tu yule mama
ALINISHIKA BEGA NA KUNISUKUMA AKINITAKA NITOKE NJE!![emoji21][emoji21][emoji21]
Hi ni moment mbaya iliyojihifadhi kwenye akili yangu
Hua najiuliza sana alinionaje? Au alinitafsiri vipi yote anajua yeye
Nlipofika nje nkamtext jamaa anipe tu pc yangu niondoke
Japo ilikua kwenye progression ya kufanya mchakato wa window ila nliamuru aizime niondoke pale
Nkainuka na kuondoka huku sina raha
Wewe mke wa E....E kelphin nakumbuka dhalau uliyonionesha
Kwa hakika ya bidii yangu najua ntafiki Na pengine hata kukuzidi mafanikio yangu
Ila kamwe siwezi kumfanyia yoyote kama wewe ulivyo fanya kwangu
Nmekusamehe.
Ilikua 2019!
Of course inatokea japo sio wote tupo hivyoTukumbushane pia kuwa huwa kuna nature fulani ya watoto wengi japo siyo wote wa kiume wanaotoka ushuani kuwa na tabia za kike kike.
Gangilonga uko uko kuna kipindi msiba ulikuwa unapewa kadi ndio uwende hii nilishuhudia kwa macho yangu jirani yetu alipo pata msiba
Kwaza usikii watu wakilia unasikia mziki uwoni watu wanaingia ovyo ovyo zaid ya magari tu
Pole sana samehe na endelea na maisha yako
Tuko tayari kumtunza mtoto hata leo nitampenda ila malezi nitamuomba wife ahusike zaidi coz sijioni kuwa mlezi bora .Unajua matunzo na uimara wa familia sio pesa tu, Kumbuka Kuna malezi, upendo na utayari baina ya wanandoa . Hope utakumbuka hilo
That's what iam talking about, usiruhusu uzembe uliokukuta ujirudie kwa mwanao, please bro jitahidi uwe mzazi bora. Dawa zipo za kuacha pombe, Tena ntakutafutia bureeeTuko tayari kumtunza mtoto hata leo nitampenda ila malezi nitamuomba wife ahusike zaidi coz sijioni kuwa mlezi bora .
Japo umri nao unaenda mbio sana
Balaa
That's what iam talking about, usiruhusu uzembe uliokukuta ujirudie kwa mwanao, please bro jitahidi uwe mzazi bora. Dawa zipo za kuacha pombe, Tena ntakutafutia bureee