masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 16,207
- 14,343
Hahhahahah upo sahihi...Ngoja nikae kimya coz JF ukitaka uonekane kua ni mkweli basi jitangaze kua unapitia magumu na upo kwenye dhiki,kila mtu atakuonea huruma na kukuombea dua kisha kukutia moyo,sijui pambana utatoka tu,
Ukisema kua una good life,utasikia acha uongo,mtu mwenyewe upo kwa Shemeji yako unagombania remote na watoto wa Dada yako.
😀 😀
Nakumbuka ilikuwa likizo mama akatupeleka kijijini wakaenda kuvuna Karanga sisi watoto wa KISHUA tukawa tunatembea tembea shamban na baskel zetu za watoto tukakuta wadudu tukaanza kuwachezea kumbe ni siafu acha watung'ate tulilia kilio Cha mbwa Koko haraka tukakimbizwa hospital
Kutoka huko Mzee akaamuru turudishwe nyumban likizo ikaishia hapo.
Tatizo ni moja..Changamoto nyingine ni kuharibikiwa maisha maana wengi wao hudekezwaa sana.......
Yaan nashuhuda nyingi za vijana kuharibikiwa ki maisha SABB ya life style za kudekezwa kupita kiasi......
Watoto wa mum..am going....🤓😂🤣🤣
Mtatuchamba bure, fikiria mtu hayo maisha tukiongea tulivyokulia anaona kama ni ndoto hayapo.Wakishua mje wengi jamani mtupe visa vyenu na sie tuburudike
Mtatuchamba bure, fikiria mtu hayo maisha tukiongea tulivyokulia anaona kama ni ndoto hayapo.
Bado amekuwa ramani haisomeki, hakuna rangi tutaacha iona.
Mungu ni mwema kila wakati kwa kweli...
Mama junia.Hahhahahah upo sahihi...
Kuna uzi uliletwa humu mtoto kalilia soda akapigwa..
Mi nikasema mi mwaangu ali chakula bila juyc...hehehe nilifatwa hadi inbox kutukanwa...
Yaani juyc just imagne juice
Hahaaahhhahaha uwiiii..umenichekesha walahMama junia.
😂😂😂😭😂😂😂😂😂😂😂😂Ngoja nikae kimya coz JF ukitaka uonekane kua ni mkweli basi jitangaze kua unapitia magumu na upo kwenye dhiki,kila mtu atakuonea huruma na kukuombea dua kisha kukutia moyo, sijui pambana utatoka tu,
Ukisema kua una good life, utasikia acha uongo,mtu mwenyewe upo kwa Shemeji yako unagombania remote na watoto wa Dada yako.
😀 😀
Habari yako mrembo?Mtatuchamba bure, fikiria mtu hayo maisha tukiongea tulivyokulia anaona kama ni ndoto hayapo.
Bado amekuwa ramani haisomeki, hakuna rangi tutaacha iona.
Mungu ni mwema kila wakati kwa kweli...
Hahhahahah upo sahihi...
Kuna uzi uliletwa humu mtoto kalilia soda akapigwa..
Mi nikasema mi mwaangu ali chakula bila juyc...hehehe nilifatwa hadi inbox kutukanwa...
Yaani juyc just imagne juice
Nzuri The Icebreaker u mzima wewe?Habari yako mrembo?
Huna baya bosi wangu Bantu Lady atakaekuzingua imekula kwake, ila boss uninunulie gari maana nimechoka kupanda matela ya ng'ombeMtatuchamba bure, fikiria mtu hayo maisha tukiongea tulivyokulia anaona kama ni ndoto hayapo.
Bado amekuwa ramani haisomeki, hakuna rangi tutaacha iona.
Mungu ni mwema kila wakati kwa kweli...
Acha jobless wa kimataifa nitulie, maana hizi sio level zangu. Acha nizidishe hustle huenda wakaishi wanangu.
Mi kapuku mmoja tu, tumekulia uji wa chumviLevel zako zipi
Salama kabisa,good to see u.Nzuri The Icebreaker u mzima wewe?
Mkuu ni ukweli tunajidanganya bure, tunafanana wote tunatofautiana viwango tu navipaumbele tu, sioni tajiri hapo, bourgeoisie au lords kama kule ulaya.......we are just lupens nikijimwambafai, hamna mwenye babu wawili matajiri, ikipata kazi TRA ya 5m@monthly na rusha ya 4m anajiona tajiri kwasbb ana vigari viwili Ist na ka crown Pumbavu.Umeandika Kwa hisia sanaa....[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]
Nimecheka sana hapo kwenye sembe ugali nafaka...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]