Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
popote ulipo fatuma aagize Pepsi big ππTatizo ni moja..
Hawafundishwi kazi..
Mimi ki ukweli tulikua na maisha ya kawaida lakin nilizaliwa wa kike pekee miongoni mwa wavulana watano...so nilikua jicho la mama yangu.
Sikua nafanya kazi huku na huku akaja msichana wa kazi na mama alikua ashindwi nyumbani...yule dada alikua ananiforce nifanye kazi...aiseee nilimchukia kwa kipindi kile lakini natamani kumtafuta maana alinifundisha kazi.na alikaa mda mrefu balaa yaani miaka lakini ndo alinifundisha kazi...aliitwa FATUMA
Mkuu sio hasira am very objective, hapa hatuna matajiri, ni just showoff na li.bukeni za rural-urban acitement, tajiri mwenyewe kucha za miguni zilishatoka kwa shida akiwa kijijini....utajiri au ushua haujengwi kwa miaka 10 au 20, hiyo ni hali tu stuation kwa kiingereza sio utajiri........Una hasira!!!
Ukizeeka si utakua mchawi jamani [emoji2296]
Mi kapuku mmoja tu, tumekulia uji wa chumvi
Ulikuwa na raha, mpaka mna kunywa chai, sema nilipataga rafiki wa kike wa kishua. Nikamuona Kama ananizingua tuSisi kuna kipindi maisha yali yumba morng tulikuwa tuna kunywa chai na ndizi bokoboko kama unazijua tulikuwa tuna kula uku tunachekana [emoji23][emoji23] siku tukioona usiku ndizi kila mtu ana wai kulala
Nimecheka sana....Enzi izo sisi kwetu tulikuaga na mashine ya kufulia.....πππ€£π€£π€£Nilienda kwa best yangu hapo tupo form5 ananionyesha magari yao na jinsi yanavyotumiaka. Hili la mvua ikinyesha tunatumia hili, mimi nika.cheki nikasema manina Mungu kweli anagawa kwa mafungu.
Ulikuwa na raha, mpaka mna kunywa chai, sema nilipataga rafiki wa kike wa kishua. Nikamuona Kama ananizingua tu
Ni kujamba tu hvyoMazembe kikum*
Enzi izo ukipikwa ugali usiku tunagoma kula.....ππππ€£π€£π€£ Tulikua tunaona ugali sio chakula Cha kuliwa usiku......Sisi kuna kipindi maisha yali yumba morng tulikuwa tuna kunywa chai na ndizi bokoboko kama unazijua tulikuwa tuna kula uku tunachekana [emoji23][emoji23] siku tukioona usiku ndizi kila mtu ana wai kulala
kwahiyo picha ya tairi ina mahusiano yeyote na kuwa wa kishua?Haya sasa,
Kwa upande wangu mm nimebahatika kuzaliwa na kukulia kwenye familia ya KISHUA haswaa, nyumba,magari na chakula Cha Kila aina tena Kila siku.
Changamoto ya kuishi kwnye familia ya KISHUA ni kukosa muda Wa kuwa marafiki, pia ukitoka nje ya geti Kila mtu anakushangaa, marafiki wengi wa Kila aina wengine wezi wanakuibia vitu kama mipira nk, wazazi kukuona mtoto hata kama umekuwa, nimeogeshwa na Mama na wadada wa kazi Hadi namalizia la Saba.
View attachment 2503537
Nakusalimia.....upo poa....itakua tyre ya ROLLS ROYCE'Sππππ€£π€£kwahiyo picha ya tairi ina mahusiano yeyote na kuwa wa kishua?
Enzi izo ukipikwa ugali usiku tunagoma kula.....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Tulikua tunaona ugali sio chakula Cha kuliwa usiku......
Mzee alipo pewa mashitaka akasema upikwe wiki nzima....[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]
All in all kumpenda sana mtoto Kwa kumdekezaa ni kumuharibu....
Nipo kaka, inawezekana ikawa rolls royce ama ni code inayotumika na wakishua tu π πNakusalimia.....upo poa....itakua tyre ya ROLLS ROYCE'Sππππ€£π€£
Sasa hivi hali ikojeHaya sasa,
Kwa upande wangu mm nimebahatika kuzaliwa na kukulia kwenye familia ya KISHUA haswaa, nyumba,magari na chakula Cha Kila aina tena Kila siku.
Changamoto ya kuishi kwnye familia ya KISHUA ni kukosa muda Wa kuwa marafiki, pia ukitoka nje ya geti Kila mtu anakushangaa, marafiki wengi wa Kila aina wengine wezi wanakuibia vitu kama mipira nk, wazazi kukuona mtoto hata kama umekuwa, nimeogeshwa na Mama na wadada wa kazi Hadi namalizia la Saba.
View attachment 2503537
Walikuwa wachafu hao, Sisi tulivyokuwa wadogo kuna mtoto wa Rais nchi moja jirani zetu alikuwa akija nyumbani alitupenda sana, alikuwa akija anakula ugali maharage, mchicha na vilikuwa havimshindi wala alikuwa hana majivuno na ukimuona huwezi mjua kama mtoto wa Raisi, alikuwa anapenda kusikiliza nyimbo za Marekani boyz IImen, Celine , alikuwa msafi ana jeans na American boat anajipulizia manukato muda wote ana kunywa maji ya Kilimanjaro, alikuwa anatumiwa dollar elf tatu kila mwezi na Baba yake hii ni kwa kila mtoto, yani alitupenda sana kutusaidi alituchukulia kama sehemu ya familia yao, alikuwa ana akili sana ya maisha kuliko akili ya Darasani, tatizo alikuja wakati sisi tupo wadogo sana tulipo pata akili na bahati ikaondoka, mpaka leo ana tukumbuka alipenda tuwe na maisha mazuri.Niliwah kutoroka nikaenda kwa rafiki yangu kwao maisha ya kawaida wakanipa chakula niliharisha sitasahau Hadi nikapelekwa hospital usiku wazaz wa rafiki yangu wakakamatwa na urafiki wetu ukaishia hapo, nisamehe bwana Simon popote ulipo.
Tuanzie hapoππSasa hivi hali ikoje
NimeipendaWalikuwa wachafu hao, Sisi tulivyokuwa wadogo kuna mtoto wa Rais nchi moja jirani zetu alikuwa akija nyumbani alitupenda sana, alikuwa akija anakula ugali maharage, mchicha na vilikuwa havimshindi wala alikuwa hana majivuno na ukimuona huwezi mjua kama mtoto wa Raisi, alikuwa anapenda kusikiliza nyimbo za Marekani boyz IImen, Celine , alikuwa msafi ana jeans na American boat anajipulizia manukato muda wote ana kunywa maji ya Kilimanjaro, alikuwa anatumiwa dollar elf tatu kila mwezi na Baba yake hii ni kwa kila mtoto, yani alitupenda sana kutusaidi alituchukulia kama sehemu ya familia yao, alikuwa ana akili sana ya maisha kuliko akili ya Darasani, tatizo alikuja wakati sisi tupo wadogo sana tulipo pata akili na bahati ikaondoka, mpaka leo ana tukumbuka alipenda tuwe na maisha mazuri.
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app