Wale tuliokulia kwenye familia za kishua tukutane hapa

popote ulipo fatuma aagize Pepsi big 😊😊
 
Una hasira!!!
Ukizeeka si utakua mchawi jamani [emoji2296]
Mkuu sio hasira am very objective, hapa hatuna matajiri, ni just showoff na li.bukeni za rural-urban acitement, tajiri mwenyewe kucha za miguni zilishatoka kwa shida akiwa kijijini....utajiri au ushua haujengwi kwa miaka 10 au 20, hiyo ni hali tu stuation kwa kiingereza sio utajiri........
 
Sisi kuna kipindi maisha yali yumba morng tulikuwa tuna kunywa chai na ndizi bokoboko kama unazijua tulikuwa tuna kula uku tunachekana [emoji23][emoji23] siku tukioona usiku ndizi kila mtu ana wai kulala
Ulikuwa na raha, mpaka mna kunywa chai, sema nilipataga rafiki wa kike wa kishua. Nikamuona Kama ananizingua tu
 
Nilienda kwa best yangu hapo tupo form5 ananionyesha magari yao na jinsi yanavyotumiaka. Hili la mvua ikinyesha tunatumia hili, mimi nika.cheki nikasema manina Mungu kweli anagawa kwa mafungu.
Nimecheka sana....Enzi izo sisi kwetu tulikuaga na mashine ya kufulia.....πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£
Miaka ya 90's

Enzi izo mkiwa na friji na television πŸ“Ί mnaonekana matajiri.....

Enzi izo nyumbani Kuna Bomba la mvua unachagua maji ya moto au mixer au yawe ya baridi.....πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Ukiwakaribisha marafik enzi izo wanaona kama mpo kwenye Good Life wanaenda kusimulia.....

Ila sisi kwetu sio wa kishua.....
 
Sisi kuna kipindi maisha yali yumba morng tulikuwa tuna kunywa chai na ndizi bokoboko kama unazijua tulikuwa tuna kula uku tunachekana [emoji23][emoji23] siku tukioona usiku ndizi kila mtu ana wai kulala
Enzi izo ukipikwa ugali usiku tunagoma kula.....πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£ Tulikua tunaona ugali sio chakula Cha kuliwa usiku......
Mzee alipo pewa mashitaka akasema upikwe wiki nzima....πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£

All in all kumpenda sana mtoto Kwa kumdekezaa ni kumuharibu....
 
kwahiyo picha ya tairi ina mahusiano yeyote na kuwa wa kishua?
 

[emoji23][emoji23][emoji23] nakumbuka mama yetu alitufanyia kusudi siku ya sikuu ya mwaka mpya hakupika pilau tukagoma kula ase [emoji23][emoji23][emoji23] mzee akaja akasema jioni msipike ugali wa mchana watakula usiku af wao wakawa wanakula matunda usiku [emoji23][emoji23][emoji23] maisha tuna toka mbali
 
Sasa hivi hali ikoje
 
Niliwah kutoroka nikaenda kwa rafiki yangu kwao maisha ya kawaida wakanipa chakula niliharisha sitasahau Hadi nikapelekwa hospital usiku wazaz wa rafiki yangu wakakamatwa na urafiki wetu ukaishia hapo, nisamehe bwana Simon popote ulipo.
Walikuwa wachafu hao, Sisi tulivyokuwa wadogo kuna mtoto wa Rais nchi moja jirani zetu alikuwa akija nyumbani alitupenda sana, alikuwa akija anakula ugali maharage, mchicha na vilikuwa havimshindi wala alikuwa hana majivuno na ukimuona huwezi mjua kama mtoto wa Raisi, alikuwa anapenda kusikiliza nyimbo za Marekani boyz IImen, Celine , alikuwa msafi ana jeans na American boat anajipulizia manukato muda wote ana kunywa maji ya Kilimanjaro, alikuwa anatumiwa dollar elf tatu kila mwezi na Baba yake hii ni kwa kila mtoto, yani alitupenda sana kutusaidi alituchukulia kama sehemu ya familia yao, alikuwa ana akili sana ya maisha kuliko akili ya Darasani, tatizo alikuja wakati sisi tupo wadogo sana tulipo pata akili na bahati ikaondoka, mpaka leo ana tukumbuka alipenda tuwe na maisha mazuri.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Nimeipenda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…